Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Baada ya kusikia habari za Nyamagana, Mbeya Mjini na sasa Iringa Mjini; na kuja kugundua kuwa viongozi wa umma wanaweza kufanyia matengenezo ofisi za umma na kuzipamba kwa gharama zao na muda wao...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mbunge CCM akataliwa na Janet Josiah, Karagwe USHINDI wa Mbunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Jimbo la Karagwe, Gosbert Blandes, umewagawa wananchi wa wilaya hiyo na kusababisha uhasama wa...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Rais wa Zanzibar Dr. Mohamed Shein amekumbana na mtihani wa kwanza kwenye uongozi wake pale uteuzi wa majaji watatu kati ya wanne wa mahakama kuu ya zanzibar ulipopingwa na chama cha mawakili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nijuavyo mimi, miongoni mwa shabaha kuu za kuwa na vyama vya wana-taaluma ni kuwa na mfumo dhabiti wa kuhakikisha kuwa wana-taaluma husika, wanaendesha shughuli zao kwa kuzingatia "professional...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ukweli unabaki ile minofu waliokuwa wakichukua wazungu na kutuachia sie kula mabaki ilituathiri sana sana hata kwenye ufahamu wetu na wattoto zetu mashuleni..nasema hivi nikiimanisha kitendo cha...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu, Nimeamua kuchokoza hii mada ili kupata mawazo ya wachambuzi wa mambo. Hivi karibu, rais jk aliteua baraza jipya la mawaziri lenye sura mpya na za zamani zilizozoeleka. Katika mawaziri...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kimsingi namchukia mkwere. Hata hivyo sikuamini kama anaweza kuwa na hotuba za kipuuzi kama zile alizokuwa akitoa huku akikenua meno kama ngiri. Kumbe sikujua kuwa hotuba hizi ni za January...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Closed
Jamani hii iwe treated kama tetesi hadi hapo itakothibitika kikamilifu kabisa. Habari hizi za uhakika kiasi zimefika mezani kwangu kwa njia za panya. Baada ya kuona kuwa Mzee Makamba atapata...
0 Reactions
51 Replies
6K Views
Jamani hii ni kwel au tetesii? nasikia waliyokosa uwaziri mwaka huu kikwete atawapa nafasi nyegine sababu walikua ni wachapa kazi?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Leo mchana kupitia TBC1, wamemtangaza kijana mmoja aliyesafiri kwa baiskeli kutoka Geita hadi Dar kwa lengo la kumpongeza JK kwa ushindi wake....! Great Thinkers, hii imekaaje? Mbona mimi naona...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Home Affairs minister Shamsi Vuai Nahodha greets staff who turned up to welcome at the ministry`s headquarters in Dar es Salaam yesterday. watamtumia Nahoda kwa kadri watakavyoweza ,wakati...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nawaomba kwa dhati ya moyo na hapa natoa pendekezo langu Wabunge wa CDM wakae na uongozi wa chama wakubali kila mbunge akubali kutoa asilimia 10 ya mshahara wake kila mwezi kwa kipindi cha miaka...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Pitia hapa...... The Standard | Online Edition :: Corruption watchdog takes back 24 council houses watchdog takes back 24 council houses
0 Reactions
0 Replies
994 Views
Wana Jf, CDM naomba kufahamu, Sambwe Shitambala alikubali kendelea kuwa M/kiti wa CDM Mbeya baada ya kuandikiwa barua na Dr. Slaa au kujiuzuru kwake kunaendelea?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naye aliyekuwa Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Peter Msolla, alisema ameridhishwa na uamuzi wa rais kumuacha nje ya baraza hilo. “Nimeridhika kabisa na maamuzi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Without doubt, these days there are lots of angry Tanzanians out there than any other time in our country's history. And nobody is angrier these days than me, myself, following the recent unfair...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
And yes, though there is no such thing as perfect leaders, we can be sure of a few things that good leaders have: [1]A vision of the future (where he/she want to take the nation). [2] The...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
nimepigiwa simu na jamaa aliyeko ifakara( kilombero) kumetokea mgogoro mkubwa kati ya wakulima na halmashauri ya W/ya kilombero kisa halimashauri kudai ushuru wa sh 3000 kwa gunia la mpunga...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nikitatafakari sana suala la Hamad Seif ( Makamu wa kwanza wa Rais) baada ya kusoma mabadiko yaliyofanywa kwenye katiba, naona kama vile utawala wake utashabihiana sana na utawala wa Malkia...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Closed
wanajamvi,nimefurahishwa mno na tamko la tundu lisu hasa kuhusu msisitizo juu ya zitto kabwe.ni wakati muafaka wa kumtimua huyu kibaraka.aondoke mapema ili akamshukuru vizuri jk.viva tundu...
0 Reactions
215 Replies
16K Views
Back
Top Bottom