Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Hivi kwa kuanza hivi walivyoanza serikali ya sisiemu, yenye uzoefu wa miaka 50, inakiogopa Chadema au inamuogopa mwanaharakati Tundu Lissu??????????????????
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Na Maggid Mjengwa, REAL Madrid ya Hispania ni moja ya timu tajiri sana duniani. Mara nyingi, usajili wa wachezaji wa klabu hiyo huwa ni wa kufuru. Real Madrid ni mkusanyiko wa wachezaji...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kama watanzania wengi, nilikua napata wasiwasi kwa mh. Sitta kupelekwa wizara ya afrika mashariki. Hotuba aliyoitoa juzi hasa kipengele alichopendekeza kuwepo kugawana nafasi za kazi(quota system)...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
CHAMA Cha Mawakili Zanzibar (ZLS) kimepinga uteuzi wa majaji wa Mahakama Kuu uliofanywa na Rais wa Zanzibar (SMZ), Dk Ali Mohammed Shein Novemba 29 mwaka huu wa 2010 na kuhoji uhalali wa uwepo wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wana JF, Napenda kutoa maoni yangu huru juu ya umuhimu wa CHADEMA kuhamishia makao makuu ya chama Kanda ya Ziwa na ofisi kuu ndogo kubaki Dar es salaam na mbeya kwa nyanda za juu kusini...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Akijibu swali kwa nini CUF imekubali kushirikiana na CCM kuunda serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar,Mh. Hamad Rashid (mbunge) katika mdahalo uliofanyika katika hoteli ya movepick ulioandaliwa na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau nimepokea email na nawasilisha kwenu kama nilivyopokea. Wapendwa, Salamu kwenu nyote na nashukuru kwa jinsi Jukwaa hili linavyojumuisha watu wakabadilishana mawazo juu ya mambo tofauti ya...
0 Reactions
889 Replies
65K Views
Waungwana, Naomba kuwauliza. Hivi ni kweli kwamba Mhe. John Pombe Magufuli (MB, CCM, Chato) ametamka kwamba amewapa wakurugenzi wa idara mbali mbali za Wizara ya Ujenzi kutatua zengwe la foleni...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
  • Closed
Zitto Kabwe, sasa anatuhumiwa kuyumbisha Chama chake kwa kukiingiza katika mahusiano ya mashaka. Naibu katibu mkuu huyo wa CHADEMA anafanya mawasiliano nje ya Chama chake ambayo wachunguzi...
0 Reactions
275 Replies
21K Views
The New African KIMUKI Philosophy is a school of thought followed by Kikwete, Mugabe, and Kibaki to stay in power despite any negative election results. It invalidates all election results...
0 Reactions
0 Replies
883 Views
Wengine wetu tuliingia katika uchaguzi,hadi kwenda kujipanga kupiga kura za maoni za CCM kwa kupewa Sh. 2,000 au Tshet, kanga, skaf au kofia zenye picha ya kikwete na kauli mbiu yake Nguvu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Deus Mallya ni mpiga picha na designer rasmi wa Chadema? Jee hii habari ni ya kweli? Kuna mtu yoyote mwenye wasifu wake (CV) yake?
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Nimeshangaa sana. ITV imeonesha Mh. Rais anatoa maelekezo na ufafanuzi muhimu kwa Baraza la Mawaziri & Manaibu wao HUKU BAADHI YAO WANAONEKANA HAWANA HABARI KABISA (NOT PAYING ATTENTION AT ALL) NA...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Toka sakata la WIKILEAKS lianze nimekuwa nakuna kichwa kama viongozi wetu wamo. Je kama wamo profile zao zinasema nini? je na sisi tuna profile za viongozi wa nje ambazo mheshimiwa anapewa kabla...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tanganyika Law Society Observer Mission to the October 31, 2010 General Election in the United Republic of Tanzania Interim Report Dar es Salaam, November 5, 2010 1. Introduction The...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo. Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki...
0 Reactions
190 Replies
13K Views
Taarifa ya Lowassa kuchunguzwa balaa Raia Mwema lapata msukosuko Nakala 10,000 zaharibiwa zisisomwe HABARI iliyoihusisha familia ya Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, imeibua utata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Madiwani wawili wa CUF wameamua kuiunga mkono CDM musoma mjini katika mchakato wa kumpata meya. Musoma Mjini CDM ina madiwani 8, CCM 3 na CUF 2. Jimbo zima lina madiwani 13. Mwanzo mzuri wapinzani...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kufuatia ujumbe wa bongo tz ndani ya jf-wanamageuzi na wasio na mawazo mgando na wasio mamuluki au vibaraka wa ridhiwani tufanye yafuatayo; 1. Tuendelee kuamsha umma wa watanzania madai ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kufuatia ujumbe wa bongo tz ndani ya jf-watanzania tunatoa wito kutenda yafuatayo 1. Tuendelee kuamsha umma wa watanzania madai ya katiba mpya na tume huru chini ya uongozi wa umma wa dr slaa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom