Wadau wana JF. Hebu nijuzeni -- hivi ilr hoja ya "kichuguu na mlima" ilikuja kujibiwa tena na Profesa baada ya kutokea hali halisi? Sijafuatilia sana suala hili. Na jee lilikuwamo katika mdahalo...
ninapoandika soko la uhindini ambalo liko katikati ya jiji la mbeya linaungua moto, haijulikani chanzo cha moto ni nini, lakini hali ni mbaya kwani huenda moto ukaathirimaduka yaliyo katikati ya...
Baada ya kipigo katika uchaguzi uliopita, Wachambuzi wengi wa Kisiasa, wanaishauri Chama Tawala CCM kuwakamata mapema Vijana SAFI ambao wanaonyesha Uwezo wa Uongozi na ambao wanakubalika. Majina...
Tarehe Thu Nov 18, 09:28:00 PM, Mtoa Maoni: MAINA ANG'IELA OWINO
CHADEMA mtindo huu wa Siasa za Shangwe umepitwa na wakati hasa ktk Taifa lenye uchumi unaohitaji changamoto za mawazo ya...
Haya ni mahojiano kati ya Hussein Bashe na Metty Nyang'oro wa Kombolela Show, kipindi kinachorushwa na Radio Mbao (Radio Mbao)
Chirbit - Kombolela Show, November 6, 2010 - Hussein... -...
Wazee,
Kuna jamaa mmoja aliniambia kwamba majaji ni watu makini sana katika kufanya mambo yao. Katika nchi zote duniani hata zisizofuata demokrasia na haki za binadamu majaji ni miongoni mwa...
Assalaam Alaaykum,
AMANI YA BWANA IWE NANYI
YAA NIPO NA NTASEMA KWELI TU NAJUA NI MWIBA ILA NDO HALI POKEENI
WANA JAAMII WALA MSIWE NA WAC WAC MALARIA ZANZIBAR IMEKWISHA
Wazee Wetu, Ndugu...
SIMPLE MIND DISCUSS PEOPLE, AVERAGE MIND DISCUSS EVENTS,GREAT MIND DISCUSS ISSUES.
Ninasikitishwa sn na baadhi ya wanjf wanaoanzisha threads za kujadili watu badala ya kujadili mambo ya...
Habari iliyohusisha familia ya Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, imeibua utata mkubwa baada ya kuibuka kwa vitisho vilivyosababisha kuzuiwa kuchapwa kwa gazeti la Raia Mwema toleo...
Haya mambo ya mimi CCM, CUF au Whatever might come later hayamsaidii Mtanzania.... What we need is mfumo mpya (What Chadema is fighting for) ili kuhakikisha kwamba yeyote atakayekuwa hapo juu hata...
MBUNGE wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi, ameanza kukumbana na machungu ya uongozi baada ya kukabidhiwa ofisi ambayo haina samani ndani yake.
Ofisi hiyo imebainika kukosa samani zinazotakiwa baada...
Taraifa hii utaletewa si muda mrefu ,lakini kuwa ufupi tu Peter Msolla aliingilia maslahi ya jasusi wa shirika la Irani Rostam Azizi,Profesa peter msolla alipopeleka mswada wa sheria kwenye baraza...
Kwanza, ninawasalimu wakuu
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitupia jicho jf. Nimejionea mengi. Nimejifunza mengi.
Wakati uchaguzi unakaribia nimeona jf ilipata wanachama wengi. lakini vilevile...
Send to a friend
Tuesday, 30 November 2010 23:47
0
digg
Sadick Mtulya
MHADHIRI maarufu wa masuala ya
kisiasa na kijamii, Prof Issa Shivji
ameliponda baraza jipya la mawaziri
akisema kuwa...
Wana chadema najua mnampenda huyu bana kama alivyoweza kuniongoza mgomo wa chuo enzi hizo na huku nikishangalia lakini nimeona niseme leo kwamba kijana anapoelekea ni pabaya na akika sitokuwa na...
ndugu watanzania wenzangu
kwanza nichukue nafasi hii kuwapongeza na kuwatakia utumishi mwema wenye mafanikio mawaziri wote walioteuliwa katika wizara mbalimbali pamoja na wasaidizi wao...
Baada ya mdahalo wa Freeman Mbowe na Hamad Rashid, zimejidhihirisha wazi sababu zinazo wazuia CHADEMA kuwashirikisha CUF katika baraza la mawaziri kivuli na kuacha kushirikiana nao hadi wakitambue...
Ndugu zangu... Hakuna kitu kibaya kama hawa watu wanaopata Cheo/Vyeo.. Hence Kutumia Kodi zetu in false pretence
Kama hawa watu wapo.... Evidence zipo....... (Sio vigumu kama mtu anasema alisoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.