Nimesoma makala hii hapa chini kutoka Mwananchi. Kuna jumla ya kesi 32 dhidi ya ushindi wa wabunge wa CCM. Kuna kesi nyingine ambazo ni strong lakini hazijaongelewa, kwa mfano Kibaha, Kilombero...
Siyo siri, kwa sasa hivi CCM inavuna kile Katibu wake Mkuu alichopanda.
Luteni Makamba, Katibu Mkuu wa CCM amekifikisha chama katika wakati mgumu pengine kuliko wakati wowote tangu kuzaliwa kwake...
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa, yupo jijini Mwanza kuongeza nguvu kwa madiwani wa chama chake kumpata meya wa jiji.
Katibu wa Chadema Mkoa Mwanza...
Ubadhirifu
Kwa ufupi tu! Hakuna kitu kinatukera watanzania kuonawatendaji wa serikali wanapotumia hovyo kodi ya mkulima na mfanyakazi!! I nakera kuon anyie mnapeta na Toyota Landcruser VX au GX...
Ninashindwa kuelewa hivi mtu mmoja ataweza kujirundikia kazi kibao wakati kuna watanzania wengi wapo vijiweni.......................Mustafa Akunaay ni Mbunge kupitia Chadema wa Jimbo la Mbulu...
MBUNGE wa zamani wa jimbo la Iringa mjini na mkuu wa mkoa wa KIlimanjaro ambaye alikuwa mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini kupitia chama cha Mapinduzi (CCM) Monica Mbega amefungua kesi...
Dodoma.
Mkutano wa kuchagua viongoz wapya wa umoja wa vyuo vikuu Tanzania umefanyika na hatimae Rais na Katibu wamepatikana.
DHANA na mbinu chafu za CCM zikiongozwa na mtoto wa rais wa...
Hivi wadau tume ya uchaguzi imewabeba ccm hilo lipo wazi inakuwaje tena huyu mbege kwenda mahakamani ina maana nao hawana imani na tume?nahakika ameshauriwa viongozi kabla ya kwenda kupinga...
Ni habari za kuvunja moyo kabisa baada ya wananchi waliowengi kuonekana kujuta juu ya kuzipeleka kura zao CHADEMA ,baadhi ya wananchi walisikika wakisema hawa CHADEMA hawajatulia na imekuwa boa...
Stella Aron na Christina Gauluhanga, jijini
SAKATA la Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Mbeya, Sambwee Shitambatala, kujiuzulu kwa tuhuma za kupokea rushwa ya sh...
Asema ni kiongozi makini, mwenye msimamo, asiyekubali kuyumbishwa
Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harrison Mwakyembe
Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harrison Mwakyembe, amesema amefurahishwa sana...
Inaendelea……
Uwekezaji kwenye madini!
Waheshimiwa; hivi serikali ya Tanzania imelogwa? Nkumbuka sana kauli ya Hayati baba wa Taifa aliposhauri serikali isipaparike kuwapa wawekezaji...
Kwenu waheshimiwa!
Salaam!!
Hii ni barua yangu kwenu; najua itawafikia! Kama hamtaisoma wenyewe kupitia JF basi najua wale tunaowaita "wapambe" watakudokezeni nini kimeandikwa, haijalishi...
Kukiwa na madai mengi kutoka chama cha chadema dhidi ya cuf,ambapo binafsi niliwahi kuzungumza kuwa chadema ipo dhidi ya cuf sio ccm,nikapingwa na watu ambao upofu huita kengeza... mambo mengi...
Wana JF nisaidieni n iweze kuelewa nani kati ya hao anao uwezo wa lutuletee neema kiutendaji na kufanikisha malengo ya wizara husika?? Binafsi ninadhani Katibu Mkuu ndio hasa "engine" ya wizara na...
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116539
E-mail: press@ikulu.go.tz
Website: Mawasiliano Ikulu
Fax: 255-22-2113425...
CDM-Jiji la Mwanza kimemteua Diwani wa Nyakato, Josephat Manyerere, kuwa mgombea wa umeya wa jiji hilo, huku nafasi ya unaibu ikichukuliwa na Charles Machinchibera wa Mahina.
Chama hicho pia...
Katika pita pita zangu nikakutana na hotuba hii ya Rais wa Tanzania Mwl Julius Nyerere; utangulizi wake unasema hivi (msisitizo mweusi wangu):
In the presence of a very large crowd of workers...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.