Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ni utaratibu ambao sijawahi kuuona kwa hapa kwetu Tanzania. Imeripotiwa na vyombo vya habari nchi kuwa Raisi Kikwete aliwatuza pesa wacheza ngoma wote waliokuwa wanatumbuiza......na hali kadhalika...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
WanaJF, kabla sijatoa machache yangu kuhusu huyu mkongwe (septugeanarean) ni bora mkasoma makala hii iliyotoka ktk Mwanahalisi wiki iliyopita. NEC isisubiri uchaguzi kuvurugika Na Mbasha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Greetings dear friends! It has been months since I was here last time. M has received the following documents from reliable and impeccable sources that wish Tanzanians, the media and our...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Hivi karibuni Mh. Pinda ulitembelea nchi za Asia ikiwemo India. Kwa muda mrefu umekuwa ukilalama kwamba watendaji wenzako ktk serikali wanapenda magari ya gharama kubwa kama vile Landcruiser VX na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
wakuu wenye influence kisutu tupatieni latest za kesi ya mseminari amatus liyumba, naambiwa mh. Hakimu ,kasimongo anaendelea na kusoma hukumu baada ya argument za pande mbili ktk kesi ya liyumba...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
1. Sungura textile....mmeua mkauza 2. Mwatex mmeua mkauza 3. Tipper mliua 4. Killitex mmeua...mkanywa 5. Bandari ...mmeuza 6. NBC...mmeuza mkala 7. TTCL...mmeuza mkala 8. General...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Habari kwamba mitambo ya kufulia umeme ya Dowans imeshauzwa kwa kampuni ya kigeni wakati sakata lao na Serikali ya Tanzania halijaisha ni habari za kukera, kuuddhi na zenye kukejeli uwezo wa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
  • Closed
Heshima zenu wakuu, Baada ya kwikwi za hapa na pale (marekebisho ya nguvu), leo tumehitimisha kabisa sehemu ambazo tunaamini zilihitaji marekebisho ya nguvu (kwenye server). Tunasikitika kwa...
0 Reactions
145 Replies
12K Views
Wapendwa wanaJF mpya, mnakumbuka kuwa mh Rais wetu JK aliahidi ajira zaidi ya Milioni moja wakati anagombea urais mwaka 2005. Mnakumbuka pia kwamba kuna wakati Waziri Juma Kapuya aliwahi kutamka...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
na Martin Malera VIGOGO kadhaa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiwamo wabunge machachari wanakabiliwa na hatari ya kufukuzwa uanachama kwa tuhuma za kujihusisha na Chama Cha Jamii (CCJ) ambacho...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
When will we ever learn:mad: 'Tourism is a curse to us' The Masai have been herding cattle across the great plains of Tanzania for generations, their nomadic lifestyle helping to preserve the...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
2010 general election countdown: New controversy over ballot paper printing By ThisDay Reporter 29th March 2010 Minister of State, Prime Minister's Office (Policy...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MWENYEKITI wa Chama Cha Jamii (CCJ), Richard Kiyabo, amevamiwa na kuporwa mkoba uliokuwa na nyaraka za chama hicho kinachopigania usajili wa kudumu. Kiyabo, anadaiwa kuwa alivamiwa na watu wanne...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
TAARIFA KWA UMMA Tarehe 17 Machi, 2010, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete alitia saini Muswada wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi na hivyo Muswada huo...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
SUBCITY - BY TRACY CHAPMAN People say it doesn't exist 'Cause no one would like to admit That there is a city underground Where people live everyday Off the waste and decay Off the discards...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
ZANZIBAR haiwezi kujengwa bila ya kuwepo umoja na mshikamano miongoni mwa wananchi na ushiriki wa viongozi wa Chama Cha CUF katika shughuli za miradi ya maendeleo ni mafanikio ya umoja huo. Rais...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
What is the stance of overhyped CCJ on EAC? Remember, there is NO 'undo' button on EAC effects this time around. Mlenge
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Wana Jamii, nimefikiri nimeona hakuna haja ya kuipa kura yangu CCM, sababu zangu za msingi ni hizi 1. Chama kisichokuwa na lengo la kuwakomboa wananchi wake kutokana na ujinga, maradhi. 2...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Najaribu kufikiria umuhimu wa kuwa na demokrasia sijaweza kupata jibu. Kwa kuwa nchi hii inakuwa na chaguzi kila baadaya ya miaka mitano…na kwa kuwa baadhi ya viongozi wengi wamekuwa wakipata...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
mwaka huu ama?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…