Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Jamani tuache utani, watanzania ni watu "wazuri" na nchi yao pia ni nzuri sana! Kwa nini? 1. Mbunge akiona hajafanya chochote ndani ya kipindi cha miaka 4 anarudi mwaka wa tano na kuwaahidi...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Kuteuliwa kwa wabunge hawa: 1) Jussa -- Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CUF. 2) Janet Mbene -- Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Masaki kwa tiketi ya CCM, Kuna maswali ya kujiuliza. i) JK katoa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu, Natumaini wote tumesikia kuwa Serikali itatumia jumla ya shilingi bilioni 200 kwa ajili ya Vitambulisho. Haya yanafanyika wakati karibu watoto milioni 4 wa shule zetu za msingi wanakaa...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Wana JF nimesikia kupitia radio KASIBANTE (iliyoko Bukoba) ya huyu Bwana "live" wakati akiwahutubia watu waliokusanyika katika kufunga wiki ya shehere za miaka 33 ya CCM. Yafuatayo ni baadhi ya...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
As received: MKUTANO WA HADHARA MAALIM SEIF SHARIF KUNGURUMA LONDON Jumuiya ya wazanzibari UK (ZAWA) inafuraha kuwaalika mkutano wa hadhara utakaohutubiwa na Katibu Mkuu CUF-Taifa Maalim SEIF...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Hali sintofahamu, imeendelea kuvigubika vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya CCM, ambavyo vimekuwa vikiahirishwa, na kuahirishwa na sasa kuahirishwa tena na tena!. Vikao hivyo ambavyo CC...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari nilizozipata ni kuwa Baraza La Vijana CHADEMA(BAVICHA) limetangaza uchaguzi wa ngazi ya taifa ambao ulifanyika mwezi agosti lakini ukafutwa..Habari zilizonifikia ni kuwa zoezi la kuchukua...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Kwa Muda mrefu nimekuwa nikisikia mbiu hii kwamba ''CCM NI NAMBARI ONE''. Yaani CCM NI NAMBA MOJA. Baada ya kufikiri sana, nimegundua kuwa sijui maana ya SLOGAN hii. Naamini hapa jamvini...
0 Reactions
65 Replies
7K Views
Tumekuwa na mijadala mingi sana kuhusu viongozi wetu, wanavyoenenda na wanavyoongoza taifa letu na hata asasi mbalimbali katika jamii. Ninachojiuliza je wanajua hata maana ya kuwa kiongozi?? Kwani...
0 Reactions
0 Replies
11K Views
Kisa cha Gavana Ndullu na Lazaro maskini M. M. Mwanakijiji KATIKA vichwa vyetu kuna matatizo. Matatizo makubwa kiasi kwamba hatuoni ubaya na makosa ya kukubali ujenzi wa nyumba mbili...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Ok.. I know I know I know.. Hivi ni kweli kumeanza mpango wa kubadilisha title deeds kwa kuwa zile za zamani zinakuwa digitized na hivyo wananchi wanatakiwa kwenda kulipia title deeds mpya...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
na Martin Malera SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Samuel Sitta amesema madai kwamba ofisi yake ndiyo chanzo cha wabunge kuukataa muswada wa kuundwa kwa Baraza la Usalama wa Taifa ni ya...
0 Reactions
89 Replies
8K Views
Waziri ndani ya sakata la Muro - na mwandishi wa Gazeti la Raina Mwema Achunguzwa kwa mahusiano na waliotimuliwa Bagamoyo !! WAZIRI Mwandamizi katika serikali ya Rais Jakaya Kikwete...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk .Wilbroad Slaa KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk .Wilbroad Slaa, amesema kuna haja kwa Rais Jakaya...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Inatubidi tuwe tunakumbushana mapema ili kuepusha mivutano .
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Naamini Utajifunza kitu! Ifuatayo ni sehemu ya mahojiano kati ya Jaji Mkuu na Naibu Mwanasheria Mkuu Jaji Mkuu: Nikuulize katika uelewa wako jopo la majaji watano wa mahakama ya rufani...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Napendekeza kufanyike maandamano ya mshikamano wa wananchi kuonesha kutokuwa na imani na bunge na uongozi wa serikali. Any takers? Manake mimi yamenifika utosini.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
WIKI jana ilikuwa tuandike barua kwa Jack Zumaa kumfahamisha kuwa hatupendi matendo yake. Kipigo na mauaji ya jamaa yetu yalitufanya tusifanye hivyo. Hata hivyo nina rafiki yangu Sibusiso...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sorry couldin't make it
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hawajatoa mchango wowote kama wabunge tangu 2005 Dk. Slaa, Msindai na Lubeleje ni wachangiaji wazuri Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa (CCM) na Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz (CCM), ni...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…