Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wajameni, Pamoja na kuvurunda serikali na mawaziri wake, hii ni pamoja na baadhi ya kauli za viongozi zinazotetea mafisadi... nimuweke JK kwenye nafasi gani? Hii inaonyesha moja kwa moja kwamba...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Yale maandamano ya kumuunga mkono JK yaliyokuwa yameandaliwa na waliokuwa wamejinadi kuwa taasisi za kidini hayatakewepo. Akithibitisha kutokuwepo kwa maandamano hayo mmoja wa waandaaji na ambae...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kuvunja Baraza la Mawaziri kama njia ya kujipanga upya kukabiliana na ufisadi. Rai hiyo imetolewa juzi na Mwenyekiti wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakati macho na masikio ya watanzania wengi ni kusubiri kwa hamu kuhusu “Nani na Nani’ watakuwepo kwenye baraza na watakuwa ‘wapi’; mjadala wa MUUNDO umetawaliwa zaidi na kutazama “sura”. Mjadala...
0 Reactions
79 Replies
12K Views
Aliyekuwa waziri mkuu Joseph Warioba Nkwazi Mhango INGAWA hii inaweza kuonekana kama kejeli, kuna ukweli usiopingika kuwa wakongwe wa Chama Cha Mapinduzi wanamuonea Mwenyekiti wa chama chao, Rais...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
I'm sorry to say this but the way things look from where I stand; we are simply screwed individually and as a nation! Or.. we are screwing ourselves.. otherwise, how can we explain the reality...
0 Reactions
70 Replies
6K Views
Chanzo: Raia Mwema WAKATI Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ikisubiri matokeo ya kamati teule ya rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, habari zinasema kwamba Rais Jakaya Kikwete...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu, Natumaini wengi wetu tumepata taarifa kuhusu matokeo ya darasa la Saba. Inatia aibu na kusikitisha sana kuona kuwa Hisabati ndiyo somo linaloongoza kwa wanafunzi kufeli. Zaidi ya asilimia...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Whilst I am not against this idea or Prof Katima whatsoever (Soma hapo chini). As an Alumni at this very institution I am inclined to believe kwamba siasa inaua hiki chuo especially the College of...
0 Reactions
119 Replies
12K Views
Na Aristariko KONGA UCHUNGUZI wa matumizi mabaya ya fedha katika Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) umemuumbua Mkurugenzi Mtendaji, Dk. Idris Rashidi. Miongoni mwa mambo ambayo yamegundulika...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naombeni kuuliza? Huu mtindo wa wafanyabiashara haswa hawa wenzetu wenye asili ya Kiasia kutaka publicity wanapotoa misaada inanikera! Hebu angalieni hii picha hapa chini ya huyu mhusika wa...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
NCCR Mageuzi leo imefungua kesi mahakamani ya kuishinikiza serikali ivunje tume ya taifa ya uchaguzi na iunde nyingine ambayo itakuwa huru kabla ya 2010, Swali je ktk muda mchache huu uliobaki...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
mjadala umeshakuwa wa wazi sasa ambapo mwanzo tulikuwa tunanong'ona. Je unadhani kuna mwanaccm ambaye ni kuntu kupokea kijiti kutoka kwa muungwana??? lete jina na wasifu tuchambue hapa...
0 Reactions
53 Replies
6K Views
Kutwa leo ndani ya Kikao cha Baraza la Mawaziri (Extra Odinary Meeting)Walioko kiungani tupeni yanayojili.
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Na Mwandishi Maalum NIMEFUATILIA kwa siku nyingi sana kelele zinazopigwa na viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuhusu kile kinachoitwa kuwa ni "kashfa" ya...
0 Reactions
56 Replies
6K Views
Hivi bakuli la serikali analolitembeza rais wetu mheshimiwa sana JMK kwa watu weupe na lile bakuli la ombaomba Matonya je zina utofauti? Matonya alikuwa mzee, wengine hawana mikono, miguu, elimu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya mtifuano uliotokea hivi karibuni ambapo wanasiasa wakongwe nchini Joseph Butiku na Matei Qaresi kueleza udhaifu wa raisi kikwete katika uongozi wake kwa kushindwa kufanya maamuzi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
EPA scandal: Dar law firm continues to evade prosecution By ThisDay Reporter 14th December 2009 The BOT Twin Towers headquarters in Dar es salaam MYSTERY continues to surround the...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Tunataka kufahamu reaction ya wananchi huko Tanga leo imekuwaje? Je Chadema bado wana momentum ile ya mwanzo? Mnyika njoo utupe jibu humu ndani na tunataka na pícha za umati!
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Beno Ndulu aikingia kifua mikopo ya watumishi BoT. Je, hii ni sahihi?
0 Reactions
0 Replies
986 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…