Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nimesoma kisa cha DC na DED kutoelewana kwa miezi kadhaa bila ya hatua kuchukuliwa kuweka mambo sawa. Nadhani tatizo ni kuwa wote huteuliwa na Rais na hivyo ndiye mwenye mamlaka ya kuwachukulia...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Hii imetoka kwenye gazeti la The new York Times. Inahusiana sana na modeli za kuleta maendeleo barani Afrika, kwa ujumla, na Tanzania, hasa: How Can We Help the World’s Poor? By NICHOLAS D...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
na Edward Kinabo CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeitaka serikali kuitikia wito wa kufanya mabadiliko makubwa ya mfumo wa utawala, ikiwa ni pamoja na kuufanyia marekebisho...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Not all of them of course - check out the one below an compare that to this quote from Nelson Mandela's Autobiography 'Long Walk to Freedom': "We arrived in Dar es Salaam the next day and I met...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna kila dalili kwamba mbunge wa Mwibara kwa tiketi ya CCM bwana Kajege atavuliwa kiti chake cha ubunge punde. Taarifa zaidi zitawajia.
0 Reactions
65 Replies
11K Views
Salma Said, Zanzibar KATIKA kile kinachoonyesha kuimarika kwa uhusiano kati ya rais wa Zanzibar, Amani Karume na katibu mkuu wa CUF, Maalim Seif Shariff Hamad, viongozi hao wawili jana...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Na Mwandishi Wetu MwanaHALISI RAIS mstaafu Benjamin Mkapa, aliyetegemea mno nchi wafadhili kuongoza serikali kipindi chote alichodumu Ikulu, analalamika. Anawatupia lawama wafadhili walewale...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ijulikane kabisa kwanza hapa natoa maoni yangu kwa jinsi ninavyo ona hali halisi. Najua kuna watakao pina na watakao kubaliana na mimi. Either way huu ni mtsxsmo wangu. Tatizo kubwa ambalo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Companero na Zakumi, Nyie ni wazee wa Kilimo Kwanza, what is your take on this? Is There Such a Thing as Agro-Imperialism? By ANDREW RICE Dr. Robert Zeigler, an eminent American botanist...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Juzi Bwana mkubwa aliporudi ziarani, aliongea uwanjani na waandishi akasema kuwa,haiwezekani kwake kupendwa na watu wote, kwa sababu watu wanatofaotiana kimtazamo, asilimia 15 ya watu wanaweza...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Serikali ijisafishe, isitubabaishe Lula wa Ndali-Mwananzela Raia Mwema Disemba 9, 2009 KUSEMA kuwa ripoti ya jopo la wataalamu wa Umoja wa Taifa waliopewa jukumu na Baraza la Usalama...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu WanaJF, Ifuatayo ni orodha ya waheshimiwa wanaotuwakilisha Bungeni lakini hawajawahi kuuliza swali lolote katika Bunge lililoanza mwaka 2005 na kumalizika mwakani! Kwa ujumla wabunge 89...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
12/9/2009 Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Udalali ya Majembe imesimamishwa kwa muda kuendelea na kazi ya kukamata daladala zinazokiuka sheria ya usafirishaji jijini Dar es Salaam. Hatua hiyo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Last update - 18:10 09/12/2009 Netanyahu cancels trip to Copenhagen climate conference By Barak Ravid Prime Minister Benjamin Netanyahu has canceled his planned trip next week to the...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kukaa kando ili kumaliza migongano yao ndani ya CCM na kumpisha kiongozi atakayestahili kuwa rais...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Heshima mbele wana JF: Kama kawaida najua wengi mtalipinga hili: CCM ni chama cha siasa ambacho kik madarakani tangu uhuru: Tulipotoka ni mbali na hadi tulipo lazima tukishukuru chama hiki...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Wana Jf, This is just a Reminder to all opposition parties. Ningependa Vyama vya upinzani wasiwe maadui, wakae pamoja waangalie majimbo yate ya uchaguzi waweke tathimini ili wayagawane na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
A couple was found with more than 100,000 bullets and military gear in their house at Narok town. Four rifles and two pistols were also found in Mr Munir Ahmed’s house. A seventh pistol was found...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Inasemekana minong'ono na kunyoosheana vidole kwingi kunakotokana na kutoolewena na wana ze mtandao na wachukia ufisadi hakutaishia hapo! habari za kuaminika zinadai ile kambi ya wachukia ufisadi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ashushiwa Kipigo na Mumewe Baada ya Kushinda Uchaguzi Tuesday, December 08, 2009 10:59 AM MWANAMKE Salma Musa mkazi wa Kiloleni Mkoani Tabora, amelazwa katika hospitali ya Mkoa huo baada...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…