Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Leo asubuhi nilibahatika kuyaona mahojiano live kati ya Mlimani TV na Mzee wa Propaganda Tambwe Hizza. Pamoja na kukosoa uendeshaji mbovu wa kipindi kile kilichoongozwa na kijana niliyemtafsiri...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Source:Majira ...Kabla ya maswali ya waandishi wa habari, Rais Kikwete alikuwa amezungumzia juu ya ziara yake iliyomchukua katika nchi tatu tofauti na kuhitimishia Marekani alipokutana na...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
TAARIFA KWA UMMA Taarifa inatolewa kwa umma kwamba Kikao cha Kamati ya Uongozi ya Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Mkoa wa Kinondoni Kanda ya Dar es salaam kilikaa kikao chake tarehe 1...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Off Daily News (http://nyerere.dailynews.co.tz/news.php?id=9) Source: MOHAMED SAID; 14th October 2009 @01:17 IT is a pity that the late Mwalimu Julius Nyerere did not reveal much about his...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Wanabaraza, kesho ni siku kubwa kwa Taifa hili,,lakini hapa barazani mbona tumeisahau kabisaa...kama vile haina maana kwetu, KULIKONI!! Kama sio tarehe 9 December Tanzania Ingekuepo?
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Kwa nini tufanye uchaguzi mkuu huku hatuna fedha za kujifanyia uchaguzi? Kwa nini tufanye uchaguzi ambao utajaa rushwa na takrima na umeshaongeza vitendo vya hujuma na ufisadi? Kwa nini tuwe...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
5th December 2009 Baada ya Mbuge wa sasa wa Jimbo la Dodoma Mjini kupitia (CCM), Ephraim Madeje, kutangaza kuwa hatagombea tena ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa mwakani, Askofu mstaafu wa Kanisa...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
( Nimeunasa mjadala unaopamba moto kule kwanzajamii.com Mbashiri said: Mchomeko; Ni nini hasa nia ya Butiku na wenzake? Na Abdul Mbashiri wa Mbashiri KWA watu walioshikilia madaraka...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Bandugu, nimesoma hii habari kwa mshangao mkubwa, pengine ni 'ignorance' yangu kuhusu umuhimu wa viwanja vya ndege. Lakini mshangao wangu ni hapa ambapo tunalipa watu wa Kipawa kupisha upanuzi wa...
0 Reactions
69 Replies
9K Views
Kikwete amka au unakwenda na maji TATIZO la rais wetu mpendwa ni kujisahau na kuwaachia maofisa wa Ikulu kuendesha nchi. Inaeleweka tena sana kuwa ni aina ya watu gani tuliokuwa nao pale...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
MAKAMBA ADAI MAKADA WANALIPWA NA MAFISADI na Hellen Ngoromera MASHAMBULIZI ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) dhidi ya Rais Jakaya Kikwete kuhusu udhaifu wake wa uongozi, yameleta sokomoko...
0 Reactions
130 Replies
12K Views
Wakuu Nimeona ni vema niwaletee swali la Msingi la Mhonga Said (MB) VIti Maalum CHADEMA alilouliza kwenye Bunge Nov 4 Mwaka huu. Akitaka kufahamu yafuatayo na Jibu alilopewa na Waziri. Jamani...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimelazimika kujibu makala ya ANSBERT NGURUMO nikiamini kwamba kama ilivyo kwa binadamu wote akiwemo NGURUMO mwenyewe wana mapungufu ya kibinadamu. Msingi wa mapungufu haya ndiyo hatua muhimu ya...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Wasomi waamua kumuanika Makamba Thobias Mwanakatwe Mtandao wa Wasomi na Wataalam Mkoa wa Mbeya, umemshambulia Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba na kumuonya kuacha kuingiza porojo na utani...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wiki chache zilizopita nilitakiwa nitoe taarifa wazazi wangu walizaliwa lini na wapi. Nikataja mwaka na kwamba walizaliwa Tanzania. Jamaa akaniuliza nina uhakika mara tatu na mimi kwa kujiamini...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TBC Taifa saa 2 usiku, IPTL imezima mitambo 6 kati ya saba iliyokuwa ikifanya kazi kwa ukosefu wa mafuta mazito ya kuiendesha. Lakini kuna utata kwani bwana...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
3rd December 09 Muhibu Said Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa (CCM), ‘amerushiwa kombora’ jipya, akituhumiwa kumwaga fedha na simu za mkononi kwa wananchi jimboni humo, zikidaiwa kuwa ni sehemu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
We can take a story of Kalumekenge as a system of accountability in any government system. The story is as follows: Once upon time Kalumekenge alikataa kwenda shule. Fimbo ikaambiwa imchape...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
YAONYESHA MBOWE, NDESAMBURO WANAKIDAI CHAMA SH53 MILIONI Fidelis Butahe CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema) kimesema kwamba kama kuna mtu mwenye ushahidi kuwa kuna baadhi ya...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
By Chambi Chachage It is Norwegian interests in the island's strategic location and offshore oil deposits that are behind Norway's recent flurry of engagement in Zanzibar's local politics and...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom