Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mgogoro CCM aibu ya Taifa Lula wa Ndali-Mwananzela Novemba 11, 2009 WAPO wanaofurahia na kuchekelea mgogoro unaoendelea ndani ya CCM. Wapo ambao wanaombea kuwa mgogoro huo uendelee ili hatimaye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tanzania hupata nafasi chache sana kuandikwa na gazeti hili la wiki. Wastani ni makala 1 kwa mwaka kuhusu Tanzania. Habari za Mkutano wa maalim Seif na Karume zimepata uzito katika The Economist...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Nimeshangazwa sana na picha na nimeachwa hoi bin taabani baada ya kusoam maelezo yanayohusu shule moja huko Mbeya, Wilaya ya Chunya, Kijijicha cha Udinde. Shule inaitwa Iboma. Hii ni kwa mujibu wa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Ni Mafisadi United dhidi ya nani? KWA wale 'vijana wa zamani' watetezi na waumini wa Marxism, watakumbuka kwamba huwezi kufanikisha mapinduzi au mabadiliko katika jamii (kama vile Maisha...
0 Reactions
0 Replies
982 Views
Lukuvi: Kiama cha wamachinga Okt 30 Na Hilary Komba MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw. William Lukuvi ametangaza kuwa ifikapo Oktoba 30 mwaka huu wamachinga wawe wameondoka katika maeneo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kikwete atakiwa kuisafisha CCM Molloimet akerwa na kauli za mzaha za Makamba Na Mohamed Hamad, Manyara MWENYEKITI wa CCM, Rais Jakaya mrisho Kikwete ametakiwa kuchukua maamuzi magumu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bank ya stanbic imeamua kushikilia cheque za mishahara ya wafanyakazi wa ATCL ya mwezi october Akiongea na mwandishi wetu meneja uhusiano wa stanbic amesema kampuni ya ATCL ilikuwa na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hongera mzee seif.s kwa uamuzi wako wa busara kila la heri na ulaji mtarajiwa
0 Reactions
15 Replies
4K Views
CCM is dying but CCM, like a cat, has more lives than one. Suddenly, somehow things begin to happen and men go at work ! Chadema has to tread very very carefully and take appropriate actions...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
hi waungwana. leo nimejiunga rasmi uwanjani hapa JF. ni matarajio yangu kuwa tutaendelea kuwasiliana na ndugu wote na kubadilishana mawazo na michango mbalimbali kwa maendeleo yetu kama binadamu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Selemani Rehani Chanzo ni CCM kukaa madarakani muda mrefu YAPO mambo mengi yanapita katika jamii yetu. Mambo haya yanaibua maswali mengi sana vichwani mwa Watanzania. Ufisadi na rushwa. Ni mambo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Joseph Mihangwa IMANI za kishirikina kutawala nyakati za chaguzi za kuwania nafasi za kisiasa na uongozi, sasa limekuwa jambo la kawaida lisilotisha wala kuonea aibu miongoni mwa wagombea...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
JERRY OKUNGU An East African perspective Let us not put the cart before the horse. If we do that, the horse will tumble over and our journey will end prematurely. Right now we are busy sorting...
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Tunapozungumzia wabunge waliokaa bungeni kwa muda mrefu, hatuwezi kumsahau Mzindakaya ambaye alitimiza miaka arobaini bungeni mara baada ya uchaguzi wa 2005. Tunapopima maendeleo ya jimbo la...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Lets face it matajiri ndio walipa kodi wakubwa na kwa hali jinsi inavyoelekea inasemekana kuwa kule TRA japo kila kukicha tunapewa stats kuonyesha kuwa kodi zimeongezeka alakini ukweli ni kuwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Katika kuleta mabadiliko ya kidola kuna njia tatu, kwanza ya kikatiba, pili kuingia msituni, tatu kupindua uongozi uliopo. Hakuna njia ambayo si halali hapo. Uhalali na si uhalali inategemea na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NI NANI HUYU ? 1. Anashirikiana na wasio wazawa ili kuikamua nchi na hata msipokuwa na maziwa yuko tayari kuwakamua damu. 2. Wakati ng'ombe katika jimbo lake wanakufa kwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
A PROMINENT business tycoon linked to Kagoda Agriculture Company made frequent night visits to the Bank of Tanzania (BoT) to finalize plans for the looting of more than 40bn/- from the central...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa miezi mitatu nimefanya uchunguzi wa kina kugundua CCM iliwatumia vijana gani "kudunda" watu kwenye chaguzi ndogo za Busanda na Biharamulo hatimaye nimefanikiwa. CCM iliwatumia vijana wake wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MALUMBANO makali yameendelea kuitikisa Kamati ya rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi baada ya makombora ya juzi kuelekezwa kwa Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango na mumewe, mzee John Malecela...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom