Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kwa mara ya kwanza ni ngependa kutoa ushauri kwa wale washauri wa Rais wetu. Nimetafakari kwa muda mrefu, Kutokana na misukosuko mingi iliyopo ndani ya nchi yetu kwa sasa,tukianzia katika swala...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
It is now obvious that the president wasn't ready for primetime. It is obvious that he is overwhelmed. It is obvious that he is discombobulated and doesn't know what to do. It is obvoius that he...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Na Julius Samwel Magodi INGAWA baadhi ya wanasiasa ndani ya CCM wanasema malumbano makali yanayoendelea katika chama hicho ni ya kukiimarisha; ukweli ni kwamba. sasa kinaelekea kufikia kwenye...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
CCM inahimiza mara kwa mara wapiga kura kuchagua Chama badala ya Mtu! Je, hoja hii wapendwa wanaJF mnaionaje? Japokuwa mtu hafungwi kuchagua chama fulani lakini mimi naona msisitizo huu wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Imeandikwa na Maulid Ahmed Tarehe: 9th November 2009 NAIBU Waziri wa Fedha na Uchumi, Omar Yussuf Mzee amesema,viongozi serikalini ni wabinafsi, wanajali maslahi yao kuliko ya taifa. Mzee pia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
The so called "WAPIGANAJI" wana sema kuwa CCM wote ni MAFISADI je, huyu bwana mwenye uwanachama wa CCM tangu tarehe 18 Aprili,1977 na kadi Na. B124595, iliyotolewa na Tawi la Kisutu, Wilaya ya...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
RAIS Jakaya Kikwete, hivi karibuni, "alijianasua katika mtego" aliowekewa na baadhi ya viongozi wa jamii ya wafugaji wa Kimasai katika Bonde la Hifadhi ya Ngorongoro la kumtaka aruhusu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
A malaise of despair, state of confusion, and just being downright overwhelmed...Is it just me or does everybody or most people feel this way? Viongozi wa serikali na chama tawala kulumbana na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Five Tanzanians to study U.S. electoral process and observe 2009 U.S. election October 16, 2009 The U.S. Embassy is sending a group of Tanzanian political party officials and an academic to the...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa karibu miaka kadhaa sasa kuna mlolongo wa matukio ambayo yangetokea nchi nyingine yoyote yangetoa nafasi ya pekee kwa vyama vya upinzani. Mlolongo huo kwa Tanzania hata hivyo haujatoa nafasi...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
*Inahusu zabuni ya kumpata bosi mpya NHC *Alipuuza mapendekezo ya Ernst & Young NA MWANDISHI WA RAIA MWEMA WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Kapteni (mstaafu), John...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
NINI MAONI YAKO? Moses Mashalla, Arusha JESHI la Polisi Mkoani Arusha limeendesha operesheni ya kukamata dawa za kulevya aina ya bangi wilayani Arumeru mkoani Arusha na kufanikiwa kukamata...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Rais Jakaya Kikwete, amepewa ushauri kupanga upya safu yake ya viongozi. Na Waandishi Wetu Mwananchi 11/9/2009 RAIS Jakaya Kikwete ametakiwa kutumia malumbano yanayoendelea baina ya wabunge...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hatimaye nimepata Takwimu mpya za Elimu kwa mwaka 2009. Haijawahi kutokea katika historia ya Tanzania wanafunzi kuingia Sekondari kwa wingi kama wakati wa kipindi cha Edward Lowassa. Historia...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Inasikitisha kwamba chama tawala kimejaa mafisadi....Nakubaliana na hoja zote za makombora waliorushiana wabunge wa CCM kwenye kikao cha mzee mwinyi...nimetafakari sana kuhusu uchafu huu. sasa...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Baada ya kusubiri kwa muda mrefu sana, inaelekea sasa ujenzi wa makao makuu ya EAC utaanza wakati wowote kuanzia sasa. Ile parking ya magari ambayo wafanyakazi walioko kwenye jengo la AICC...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
What we have witnessed in the past few days can be described as extremely shameful, disgraceful, and a clear evidence of a failed leadership. If I were to pin point the exact nature of this...
0 Reactions
99 Replies
11K Views
Habari nilizozipata toka ndani ya Kikao cha Tume ya Mapatano na Maridhiano ya CCM na wabunge wake kilichomalizika jana hapa mjini Dodoma, Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, ametema cheche na kukubali...
0 Reactions
163 Replies
17K Views
"Inawezekana tatizo la paka kwa panya lingekwisha kama paka angefungiwa kengele shingoni: taabu ni kumpata panya wa kuifanya kazi hiyo. Na panya watakuwa wajinga sana wakidhani kuwa paka...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Rafiki yangu ndugu Baha kaniletea hotuba hii ya Katibu Mkuu wa chama cha ANC. Kutokana na yanayoendelea hivi sasa nchini kwetu. Ninaomba mpate muda kusoma hotuba hii ndefu kidogo. Ina mafunzo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom