Kwa mara ya kwanza ni ngependa kutoa ushauri kwa wale washauri wa Rais wetu.
Nimetafakari kwa muda mrefu, Kutokana na misukosuko mingi iliyopo ndani ya nchi yetu kwa sasa,tukianzia katika swala...
It is now obvious that the president wasn't ready for primetime. It is obvious that he is overwhelmed. It is obvious that he is discombobulated and doesn't know what to do. It is obvoius that he...
Na Julius Samwel Magodi
INGAWA baadhi ya wanasiasa ndani ya CCM wanasema malumbano makali yanayoendelea katika chama hicho ni ya kukiimarisha; ukweli ni kwamba. sasa kinaelekea kufikia kwenye...
CCM inahimiza mara kwa mara wapiga kura kuchagua Chama badala ya Mtu! Je, hoja hii wapendwa wanaJF mnaionaje? Japokuwa mtu hafungwi kuchagua chama fulani lakini mimi naona msisitizo huu wa...
Imeandikwa na Maulid Ahmed
Tarehe: 9th November 2009
NAIBU Waziri wa Fedha na Uchumi, Omar Yussuf Mzee amesema,viongozi serikalini ni wabinafsi, wanajali maslahi yao kuliko ya taifa.
Mzee pia...
The so called "WAPIGANAJI" wana sema kuwa CCM wote ni MAFISADI
je, huyu bwana mwenye uwanachama wa CCM tangu tarehe 18 Aprili,1977 na kadi Na. B124595, iliyotolewa na Tawi la Kisutu, Wilaya ya...
RAIS Jakaya Kikwete, hivi karibuni, "alijianasua katika mtego" aliowekewa na baadhi ya viongozi wa jamii ya wafugaji wa Kimasai katika Bonde la Hifadhi ya Ngorongoro la kumtaka aruhusu...
A malaise of despair, state of confusion, and just being downright overwhelmed...Is it just me or does everybody or most people feel this way? Viongozi wa serikali na chama tawala kulumbana na...
Five Tanzanians to study U.S. electoral process and observe 2009 U.S. election
October 16, 2009
The U.S. Embassy is sending a group of Tanzanian political party officials and an academic to the...
Kwa karibu miaka kadhaa sasa kuna mlolongo wa matukio ambayo yangetokea nchi nyingine yoyote yangetoa nafasi ya pekee kwa vyama vya upinzani. Mlolongo huo kwa Tanzania hata hivyo haujatoa nafasi...
*Inahusu zabuni ya kumpata bosi mpya NHC
*Alipuuza mapendekezo ya Ernst & Young
NA MWANDISHI WA RAIA MWEMA
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Kapteni (mstaafu), John...
NINI MAONI YAKO?
Moses Mashalla, Arusha
JESHI la Polisi Mkoani Arusha limeendesha operesheni ya kukamata dawa za kulevya aina ya bangi wilayani Arumeru mkoani Arusha na kufanikiwa kukamata...
Rais Jakaya Kikwete, amepewa ushauri kupanga upya safu yake ya viongozi.
Na Waandishi Wetu
Mwananchi
11/9/2009
RAIS Jakaya Kikwete ametakiwa kutumia malumbano yanayoendelea baina ya wabunge...
Hatimaye nimepata Takwimu mpya za Elimu kwa mwaka 2009. Haijawahi kutokea katika historia ya Tanzania wanafunzi kuingia Sekondari kwa wingi kama wakati wa kipindi cha Edward Lowassa. Historia...
Inasikitisha kwamba chama tawala kimejaa mafisadi....Nakubaliana na hoja zote za makombora waliorushiana wabunge wa CCM kwenye kikao cha mzee mwinyi...nimetafakari sana kuhusu uchafu huu. sasa...
Baada ya kusubiri kwa muda mrefu sana, inaelekea sasa ujenzi wa makao makuu ya EAC utaanza wakati wowote kuanzia sasa.
Ile parking ya magari ambayo wafanyakazi walioko kwenye jengo la AICC...
What we have witnessed in the past few days can be described as extremely shameful, disgraceful, and a clear evidence of a failed leadership. If I were to pin point the exact nature of this...
Habari nilizozipata toka ndani ya Kikao cha Tume ya Mapatano na Maridhiano ya CCM na wabunge wake kilichomalizika jana hapa mjini Dodoma, Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, ametema cheche na kukubali...
"Inawezekana tatizo la paka kwa panya lingekwisha kama paka angefungiwa kengele shingoni: taabu ni kumpata panya wa kuifanya kazi hiyo. Na panya watakuwa wajinga sana wakidhani kuwa paka...
Rafiki yangu ndugu Baha kaniletea hotuba hii ya Katibu Mkuu wa chama cha ANC.
Kutokana na yanayoendelea hivi sasa nchini kwetu. Ninaomba mpate muda kusoma hotuba hii ndefu kidogo. Ina mafunzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.