Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Chris Rock stated that "Shaquile O'Neal is Rich, but the person who writed his check is Wealthy" Je sisi kama Taifa, tuna msukumo gani wa kuwa yule anayelipa mtu na kuwafanya matajiri na si kuwa...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
PAMOJA NA KUMTUMIA MENGI, MIKAKATI 14 YA WAPIGANAJI ITAWAANGUSHA (Makala hii inaweza kuchapwa na chombo chochote cha habari kwa kuzingatia jina la mtunzi linabakia lilivyo pamoja na barua pepe...
0 Reactions
67 Replies
9K Views
Jamani hii taasisi inatimiza wajibu wake kama ilivyo kusidiwa; au imegeuka kuwa ni sehemu ya polisi wa upelelezi. Ninaitafakari na kujiuliza maswali mengi ya kiuchokonozi mara zote ninajikuta nipo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa muda mwingi viongozi wanawake wa TZ, hawapewi respect kama viongozi wanaume. Maneno anayojibiwa Mheshimiwa Sophia Simba ni ushahidi wa kutosha kwamba, viongozi wanawake ndani ya TZ wanakazi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Licha ya Maalim Seif Kumtambua Karume kama rais halali wa Serikali ya Mapinduzi, Zanzibar, mambo niliyoyashuhudia hapa Pemba kwenye muendelezo wa zoezi la uboreshaji daftari la kudumu la wapiga...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
What Richmond got from the big rip-off THE controversial Richmond Development Company LLC tried to rake in more than $115m (approx. 150bn/-) from the government under dubious circumstances...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimesikia habari punde kutoka TBC ! kuwa TRA, kupitia majembe Auction Mart, imekamata mitambo ya Dowans kwa madai kuwa haijalipa kodi ya zaidi ya Sh bilioni 9.
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Na Salim Said Salim WIMBO maarufu wa dansi wa watoto wa mji kasoro bahari, Morogoro, umetokea kupendwa kwa mantiki yake juu ya hali halisi ya maisha. Kilichopendwa hasa ni ile tahadhari...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwenu Watanzania Wote, Ili tuweze kufuta umasikini Tanzania ndani ya siku moja, BUNGE letu lijalo litakaloanza kikao chake siku ya Jumanne ya tarehe 26/01/2010 lipitishe Azimio na Sheria na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
By The Citizen Reporter Chama Cha Mapinduzi (CCM) leaders, especially those from the Mainland, have been asked to keep off the reconciliation process initiated by Zanzibaris. Civic United...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Zanzibar Na Ally Saleh NILIKUWA sehemu ya historia mwishoni mwa wiki nilipokuwa katika uwanja wa Kibanda Maiti na kushuhudia Chama cha Upinzani CUF kikitangaza kuwa kimemtambua Rais wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi, mbona hatujawahi kusikia tz imefanya uamuzi ambao umepigiwa kelele na mataifa ya nje? Kutopigiwa kelele haimaanishi kuwa sie ni waungwana sana. Pengine wanaomba tuendelee na ububu na upole...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa kawaida serikali yoyote ikifanya kitu kinacho gharimu pesa nyingi huwa kuna updates ya pesa zime tumika vipi na maendeleo ya huo mpango upoje. Sasa tokea serikali yetu itoe "stimulus package"...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
KIjana mchapakazi J.Jambele amaetangaza rasmi kuwania kiti cha ubunge jimbo la Ukonga kwa tiketi ya CCM.anamini katika siasa ya Ujamaa na kujitegemea na sio ubinafsi. Kipeekee namfahamu kijana...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani nimesoma gazeti moja jana likilalamika sana utoaji wa vyeo vya polisi/jeshini kutokana na hali ya hewa hivi sasa yawezekana vyeo vinatolewa kwa mtu wa darsa la saba...na wewe umengia na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi mke wa rais ana majukumu gani ktaifa?Mbona huyu wa sasa anafanya shughuli nyingi za kisiasa na mara nyingi husafiri on her own unlike her predecessors?
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Wana JF, Nilipenda kujua ile 2005 pale Chimwaga Dodoma wakati wa wajumbe wa CCM toka mikoa yote ya Tanzania kwenda kumchagua mgombea Urasi mmoja kwa tiketi ya CCM kulitokea nini? Dr. Salim...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
HATUA ya Rais Jakaya Kikwete kukiri kuwa kulikuwapo na udhaifu katika kufanya uchunguzi wa kutosha (due diligence) kuhusu kampuni tata ya kufua umeme ya Richmond, aliyoitoa wakati wa kujibu...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Jamani salaam tena na leo narudi kutaka kujifunza. Nimeona mjadala wa mgombea binafsi unapamba moto na nikaanza kujiuliza kama Mtikila ama Mzee Es anaweza naye kwenda kuomba kufata Wabunge wa...
0 Reactions
58 Replies
9K Views
Back
Top Bottom