Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

US showers JK with praise on governance By Angel Navuri President Jakaya Kikwete The United States has commended President Jakaya Kikwete for playing a pivotal role in setting up...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari ndugu zanguni? Mie ndo nimepata habari ya forum hii na kuvutiwa nayo na kwa kuanzia nimeona nitowe salamu zangu za upendo wa dhati kabisa kwa wote.....kama nimekosea naomba msamaha ndo...
0 Reactions
1 Replies
938 Views
Ndugu wanajamii wenzangu. Gazeti la Rai la Tarehe 29/10/2009 katika ukurasa wake wa mbele lilichapisha sehemu ya Barua iliyoandikwa na Mh. Eduu Lowaa Hasaa aliyekuwa waziri Mkuu wa Kwanza katika...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mgomo Mlimani Na Katuni Iliyosahauliwa Na maggid mjengwa, UKISIKIA mtu amegomea jambo, unachotakiwa kuuliza ni kipi kilichomfanya agome. Maana, kugoma kuna maana pia ya kupinga. Wajibu wetu iwe...
0 Reactions
72 Replies
22K Views
Ikiwa ni Ishara tosha kuwa katika uchaguzi mkuu ujao CCM Tabora Mjini itapoteza viti vingi vya Udiwani kama mtendaji wa CCM tabora Mjini na Timu yake hawatawajibishwa! hadi Uchaguzi unafanyika...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Mgonjwa wa moyo wahi THI, upasuaji wa bure... 2008-10-17 10:32:36 Na Richard Makore Muungano wa nchi za Falme za Kiarabu kwa kushirikiana na madaktari bingwa wa moyo kutoka nchi mbalimbali...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Na Bahati Mwiko, Bariadi 28 October 2009 MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Bw. Andrew Chenge amesema hakuna mtu anayemsaka kwa ufisadi na kama yuko amfuate Bariadi amkamate. Vile vile Bw. Chenge...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Quote: Phillemon Mikael yeye ndiye anabebaga lile koba la pesa za shopping za rais nini.....maana jk akienda lazima achukue cash BOT si chini ya dola milioni 1....imprest ....na hakirudi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Zitto akwama bungeni na Sauli Giliard, Dodoma MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), jana alikumbana na wakati mgumu baada ya wabunge kugoma kuunga mkono hoja yake ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kinachoingoza Tanzania ni nini? Je ni Katibaya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au Katiba za Vyama vya Siasa na hasa Chama Tawala CCM? Je Watanzania waliopewa majukumu na dhamana ya kuingoza...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mhh, Iddi Simba, mzawa, mchacharikaji, muadilifu, msema kweli, mchapa kazi yu wapi shujaa huyu?
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Je Dr. Slaa kugombea urais TZ mwakani? Kuna kila dalili kwamba CHADEMA wanamuandaa Dr. Slaa kugombea urais 2010. Mpambano huo utakuwa mzuri sana, huenda tukamkosa sana Dr. Slaa kwenye bunge la...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Mwenzenu ninatatizwa na jambo moja nalo nihili la Umeme na maswala ya Dowans.... Nikifikiri kwa makini na kwakina natatizika, kweli hakuna mkono wa namna namna katika hili swala la kukatika...
0 Reactions
71 Replies
8K Views
jamani hivi huyu mkuu wa wilaya ya hai ana nini, mi namshangaa eti kaacha kazi za serikali anakwenda kwenye mashindano ya michezo SHIMIWI iz it right?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Angalia kwenye Ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2010 yafuatayo ni mafanikio ya miaka mitano ya kwanza ya Ari, Kasi Nguvu Mpya. 1. Mtanzania wa kwanza kufanya kazi Ikulu ya Obama 2. Mtanzania wa...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Opiyo Oloya THERE is a growing feeling around the globe that the war on terror is mostly being won, but those with keen eye-sights know terror is just starting. What is more, every forward...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakulima wa tumbaku wajipatia mabilioni Na Lucas Macha 1st October 2009 Shamba la tumbaku. Wakulima mkoani hapa wamejipatia Sh bilioni 149 kwa kuuza tumbaku katika...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Waziri Mahanga akimbilia mahakamani kudai fidia ya Sh3bilioni Na James Magai 10/26/2009 NAIBU waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana Dk Makongoro Mahanga amemshtaki mkazi wa jijini...
0 Reactions
50 Replies
6K Views
Switch on Dowans, IPTL now, businesses tell Government By Bethuel Kinyori and Florence Mugarula THE CITIZEN 2009-10-21 The Independent Power Tanzania Limited (IPTL) and Dowans electricity...
0 Reactions
209 Replies
19K Views
Natumaini wakuu mnafahamu maana na aina za ukoloni. Katika maana zote, ipo moja ambayo tumekuwa tukiiimba bila ya kuzama kwa undani kuitafakari. “inaposemwa ukoloni ni hali ya jamii moja au...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…