Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetabiriwa mabaya ikiwemo kung'oka madarakani katika miaka 10 ijayo, au kusababisha mapambano na wananchi wanaodai haki na uhuru. Aidha, viongozi walio madarakani...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
waheshimiwa wameamua kujenga gjhorofa Unguja kwa kutumia BILIONI 20 litaukwa linaitwa GHOROFA LA MUUNGANO as if wakishalijenga hilo ghorofa Zanzibar watayaachia hayo mafuta wao hawautaki...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Makamba kasema hiviiii! CHAMA NI CHETU, SERIKALI NI YETU, BUNGE LETU, NA SPIKA NI WETU. Bandugu, huyu mzee ana-akili timamu?
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Mara nyingi huwa tunajadili nani anastahili kuwa rais, nani ana nafasi kubwa ya kuwa rais, nk. Mimi najiuliza swali moja ambalo labda lingemsaidia yeyote anayeingia IKULU kujua watanzania...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Sijui kama kweli tunataka mabadiliko au tunaombea mabadiliko yatokee. Sijui kama tunafanya ili kusababisha mabadiliko au tunasubiri wengine wafanye ili tufurahie mabadiliko; Sijui hata kama...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Tuliwacheka wahenga kwa kuwauza ndugu zetu utumwani. Mpaka sasa tunajiuliza kama kweli walikuwa na akili timamu. Sisi tumekwenda zaidi! Vizazi vijavyo, vitatushangaa sana, si kama vile...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mfanyabiashara maarufu akabidhi mil 700/- Mwandishi Wetu February 22, 2008 BAADHI ya waliochota mabilioni ya fedha serikalini chini ya mpango wa kuagiza bidhaa mbalimbali nje ya nchi yaani...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Nimeona nirudie mjadala huu ambao ulijadiliwa kwenye forum hii Juni 5, 2006. Pengine tunakumbuka muswada uliokuwa ukijadiliwa Bungeni miaka ya nyuma ulioletwa na mzee Iddi Simba kuhusu uzawa...
0 Reactions
48 Replies
12K Views
Kiukweli mimi binafsi, nimeshitushwa na nimeshangaa na kujiuliza maswali mengi mno baada ya kuona picha ya Rais akimzawadia mtoto Pipi. nimejiuliza maswali mengi kuwa kwa mfano huo anataka sisi...
0 Reactions
210 Replies
20K Views
BARUA YA WAZI KWA ROSTAM na LOWASSA: Kwa niaba ya Watanzania wote wanaoipenda nchi yao, nawaamuru kusoma barua hii niiandikayo kwenu kupitia mtandao huu wa Great Thinkers. Kama hamtasoma humu...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Mwalimu mkuu msaidizi wa shule ya msingi Kunzugu iliyopo tarafa ya Serengeti, wilayani Bunda , Seus Mogasa akiwafundisha wanafunzi wa darasa la sita wakiwa wamekaa chini. Zaidi wanafunzi 400 wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Akutana na kigingi Igunga ZAMA za mbunge wa Igunga, Rostam Aziz kushinda kinyang'anyiro cha ubunge bila kupingwa ndani ya chama chake, sasa zimefikia tamati, imefahamika. Anayejitosa kumaliza...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Katika kile kinachoonekana kutofautiana na maamuzi ya NEC, baadhi ya wapambe wa Mh SS wanaoshi katika jimbo la Urambo wanafanya maandalizi makubwa ya kumpokea Mh SS kwa maandamano makubwa ikiwa ni...
0 Reactions
131 Replies
15K Views
Katika pita pita zangu nikajikuta nimetembelea tovuti yahttp://www.chadema.net na mara moja macho yangu yakavutwa kama na sumaku na maneno haya yaliyo katika ukurasa wa mbele. Nilipoyasoma mara...
1 Reactions
74 Replies
8K Views
Tanzania tourism to reap nothing from World Cup, others to gain By Apolinari Tairo, eTN Staff Writer | Aug 24, 2009 DAR ES SALAAM, Tanzania (eTN) - Failure by Tanzanian government...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chenge aandaliwa mashitaka ya rada Mwandishi Wetu Aprili 1, 2009 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo Adokezwa aandae wadhamini wake Lengo ni kumuepusha asiende lupango BAADA ya...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, ameipongeza Ofisi ya Ukaguzi ya Taifa, NAO, kwa kazi nzuri inayofanya ya kutoa ripoti ya ukaguzi kwa wakati, hivyo kusisitiza ripoti hizo lazima zifanyiwe kazi kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Everyone can say yes because saying yes no longer says much, and saying no has become too costly. Acceptance of the two-state solution signals continuation of the Tanzania-Zanzibarians struggle by...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ijumaa ya tarehe 21.08.2009;katibu mkuu wa chama kinachotawala nchini Tanzania(CCM) Yusuph Makamba alisema, “Rais Jakaya Kikwete atatimiza ahadi zake alizotoa katika uchaguzi mkuu wa mwaka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom