Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

+Zisikubali kunyamazishwa! Baada ya Kanisa Katoliki kutoa waraka kuhusu Uchaguzi Mkuu 2010, kumezuka mjadala mkubwa nchini huku baadhi ya Watanzania wakiunga mkono vipaumbele 7 vilivyopendekezwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa utaratiiiiiibu kama kumsukuma mlevi mteremkoni vile, Mwandosya anazidi kumpiga fimbo ya kisiasa kigogo wa wanamtandao Lowasa. Katika kipindi kisichozidi miezi sita ya ugomvi na ushindani...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Jamani naweza kuulizia ni wapi limefikia lile zoezi la kuwatambua wauaji wa maalbino na vizee ambalo serikali ya CCM iliona ndio njia pekee ya kuwatia hatiani watuhumiwa wa mauaji hayo kwa kupitia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa mlio Tanzania, nasikia Tambwe amemvaa Mwanakijiji "Live" katika Tv ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam almaarufu UDSM... Kipindi kinaendelea kwa wakati huu, kama kuna ambao wanaangalia tafadhali...
0 Reactions
157 Replies
20K Views
WATU wasiojulikana wamesambaza vipeperushi katika maeneo mbali mbali kisiwani Pemba vyenye ujumbe wa kuwataka watu wenye kuweka vikwazo kwa wananchi kujiandikisha wajitayarishe mwaka 2010 utakuwa...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
NEC imeingilia uhuru wa Bunge-Slaa Wednesday, 19 August 2009 Na Waandishi wetu - Majira. UAMUZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kuwakata makali wabunge wake kwa lengo la kupunguza mashambulizi...
0 Reactions
58 Replies
6K Views
1 )"Kwa hiyo tumesema inatosha, hapo tulipofikia tusiendelee mbele. Wanaoropoka hovyo ni walevi ....! - Chiligati Chiligati ni kimbelembele na anajiona yeye ni mwenye kupendeza ndani ya serikali...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Huyu jamaa alitakiwa aitwe saa saba mchan viwanja vy mnazi mmoja apigwe risasi na umma ushuhudie ili kusitisha ufisadi lakini hapa anakumbatiwa. gonga hapo umuone mwenyewe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Toxic waste returns from Brazil...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Sikiliza hii nyimbo ni ujumbe tosha kwa Chama Cha Mafisadi (CCM) na MAFISADI wengine waliopo Bongo. Ni Ujumbe wa Leo Ijumaa. http://www.zilipendwaradio.com/files/b7e456f44ec8a013.mp3
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu zangu Wana JF! Ufisadi ndio unayoifanya hii Tanzania isiwe nchi ya Asali na Maziwa kama ambavyo tumekuwa tukiahidiwa kuifika na wanasiasa wetu Uchwara wa Tanzania, Nisema hivyo kwasababu...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kama leo tunasema raisi ni mpita njia ama baba yetu ni kwanini tunamlaumu kwa kutotimiza sera yake ya maisha bora kwa kila mtanzania ama hii sera ametimiza ama hakutuahidi hili ili tumpe kula...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Haya ni mabunge ya wenzetu wapinga ufisadi TURKEY Mexico South Korea South Korea South Korea Ukraine Ukraine Russia...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
I have tried to scrutinise the political situation in Tanzania with focus on the presidency. The just ended CCM, NEC left much to be desired and reflects the next politcal platform for the TZ. It...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikijaribu mara kwa mara kujinasua kutoka kwenye tuhuma za ufisadi zinazoelekezwa kwake, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeibuka na kuanika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sijazunguka sana dunia hii, lakini katika nchi mbili tatu zilizoendelea nilizobatika kupita nimeona kuna tofauti kubwa katika baadhi ya taratibu na namna nchi hizi zinavyoendeshwa na nyumbani...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Hivi jamani hawa wabunge wa mkoa wa Rukwa wamechangia nini katka maendeleo ya mkoa wao na je kuna umuhimu wa wao kuendelea kugombea ubunge na kuzeekea bungeni?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Things fall apart, the center doesn't hold.... Can you find any parallels?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Three Zanzibar residents have filed a case in the Isles’ High Court seeking an end to the voter registration exercise in Pemba over “conflicts of legal provisions”. The court’s registrar, Yessaya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HABARI ZA LEO BWANA MICHUZI, SISI WAFANYAKAZI WA UWANJA WA NDEGE WA NYERERE TB II TUNA MALAMIKO AMA MA DUKU DUKU YALIYOJAA NA TUMEONA LEO TUWEKE WAZI ILI ANGALAU IJULIKANE NINI KINACHOENDELEA...
0 Reactions
37 Replies
6K Views
Back
Top Bottom