Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ndugu zangu wana JF naombeni msaada wenu kidogo, wakati nipo mdogo kule kijijini niliwahi kusikia kuwa serikali hairogeki nikakubaliana nao, lakini jinsi hali ilivyo hapa tz naanza kuamini kuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ukiisoma vizuri hii website utakuta makosa mengi sana lakini inawez akukupa insight kidogo jinsi gani ofisi ya Pinda inavyoongozwa na bunch of JOCKERS tazama upande wa policy kisha utagundua...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
I have been thinking for quite some time now about the crisis of legitimacy that is facing Tanzania's top leadership. Today I got an idea that maybe this crisis has nothing to do with our...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Lets not forget who is really driving the recovery… (Fortune Magazine) -- When lunch break comes at the construction site between Shanghai and Suzhou in eastern China, Xi Tong-li and his fellow...
0 Reactions
0 Replies
965 Views
Katika hali ya uhalifu inayotokea kwa hivi sasa na hususani za ujambazi na agali za vyombo vyetu vya usafiri, je tunaweza kusema ni kushindwa kazi kwa jeshi letu la poilisi au wahalifu hutumia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimesikia juu juu kuwa Mchungaji Mtikila atafikishwa mahakamani leo muda wowote, kuna mtu ana habari hizi na anajua hasa amekosa nini this time?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Zanzibar police yesterday seized 20 landmines at Chake Chake, Pemba, in a continuation of a mysterious series of incidents analysts associate with deep-rooted political rivalry in the Isles. The...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ili kuwaokoa msife kwa vidonda vya tumbo chukueni hii, modes please iacheni kwa muda watu wacheke otherwise watakufa kwa stress then you can move it to vichekesho...
0 Reactions
3 Replies
841 Views
Naomba maoni ya wanajamii juu ya kauli ya naibu waziri wa wizara ya kilimo na usalama wa chakula wakati anazungumzia kitu wanacho kiita mapinduzi ya kijani yenye kauli mbiu mazao na kipato zaidi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Pinda kwa mara nyinge amejitokeza na kuwadhihirisha wazanzibari nini kina ajiria katika akili yake,kwani siku zote inapofika wazanzibar kupigania haki yao anakuwa hafurahi ni zahiri shahiri haya...
0 Reactions
377 Replies
33K Views
Katika kuchangia hoja ya Richmond Mheshimiwa Karamagi alisoma kimemo alichotumiwa na mheshimiwa mwenzake na maneno yake yalisomeka hivyi Muungwana Akivuliwa Nguo huchuchumaa ili aibu ipite...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi kwa nini tusiondoe kodi on Solar panels na Wind turbines au tuseme chochote kinachosadia kwenye masuala ya alternative energy? Tumeweza kufanya hivyo on ma trekta na sioni sababu kwa nini...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
MPENDWA msomaji, unafikiri Rais Jakaya Kikwete ana watu wanaomshauri juu ya mambo mbalimbali ya kitaifa na kimataifa? Unafikiri wapo watu wanaomshauri kuhusu masuala ya kisiasa na kiuchumi...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
RAIS Jakaya Kikwete amesema ahadi zote zilizotolewa na Chama cha Mapinduzi (CCM) zitatimizwa kama ilivyodhamiriwa. Akizungumza na wananchi wa wilaya ya Manyoni wakati wa sherehe za kuweka jiwe la...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimesoma mada nyingi hapa, mtu akiandika mawazo yake kuhusu kiongozi anashushuliwa na kuanza kuambiwa kuwa analipwa na mafisadi. Imefika wakati watanzania tuwe tunakubali kuambiwa ukweli hasa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Malecela, Kilango watema cheche Imeandikwa na Maulid Ahmed; Tarehe: 6th August 2009 @ 16:53 Habari Leo Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango amesema, kuna udini na ukabila katika Bunge la...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna habari zime enea sana hapa Magu kwamba Bw.Madete naye mhandisi amenuia kugombea Ubunge Magu .Madete mwenyewe yuko kimya baada ya kuona uvumi umekuwa mkubwa nimeona nije hapa kamvini kuuliza...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kumekuwa na tabia ya viongozi wetu kutoa speech za kiswahili panapokuwa na mgeni toka nchi au taasisi za kimataifa kama IMF, UN, World Bank bila ya hata kuwepo kwa vifaa vya kutafsiri au...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna taarifa za kuzuka switafahamu katika vituo vya uandikishaji wapiga kura katika DKWK, katika jimbo la uchaguzi la Ole, Wilaya Wete Kisiwani Pemba. Hali hiyo imepelekea risasi kadhaa...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
na Amos Nyaigoti WAFANYAKAZI tisa waliokuwa waajiriwa wa Kampuni ya simu za mikononi ya Zain, wameishitaki menejimenti ya kampuni hiyo katika Mahakama ya Kazi jijini Dar es Salaam, wakidai fidia...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…