Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Na Ndimara Tegambwage MwanaHALISI~Maslahi ya Taifa Mbele NI vilio vitupu. Baadhi ya wananchi wenye mifugo – Wamasai, Wairaqw, Wabarbaig na Wasukuma wanawindwa kama swala. Wanaambiwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni kuendelea na mambo yale yale ya serikali ya Mkapa. Kutokuanza upya kuelekea ujenzi mpya wa taifa la kisasa. Ni kutokukata ile kamba inayomuunganisha yeye na Mkapa na hivyo kuendelea na mtindo...
0 Reactions
71 Replies
8K Views
Wakazi wa Kigamboni, jijini Dar es Salaam, wameshutumu serikali kwa kusema mpango wa kuwahamisha ili kupisha wawekezaji kutoka nje ni "wizi mtupu." Wamedai kuwa mradi wa Kigamboni ni wa kupatia...
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Without borders... The 100 most beautiful places in the world
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Waziri wa Elimu au Afya hatakuwa na uchungu wa kubadili hali ya shule au hospitali wakati hana mtoto wake anayesoma au kupata matibabu sehemu hizo, viongozi tuache unafiki
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wenzangu inakuwaje hawa viongozi wanatuhamasisha namana ya kuwa na bora maisha, lakini hawatuelezi namna walivyopata utajiri waliokuwa nao ili tupitie njia hizo tuwe kama wao?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ole Sendeka aongezewa mashitaka Monday, 20 April 2009 16:49 Na Glory Mhiliwa, Arusha KESI inayomkabili Mbunge wa Simanjiro (CCM), Bw. Christopher Ole Sendeka ambaye anashitakiwa kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tanzania: School offers free meals, exam results soar Source: United Nations World Food Programme (WFP) Date: 20 Apr 2009 Almost all the students at the Enguike primary school in Tanzania...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
SAKATA la halmashauri ya Karatu, kugomea kulipia malazi ya Makamu wa Rais, Dk Ali Mohamed Shein na ujumbe wake limechukuwa sura mpya baada ya aliyekuwa kaimu mkurugenzi wakati wa ziara hiyo, Majid...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Vigogo Deci wasota polisi, Mtikila awatetea Na Waandishi Wetu SAKATA la Taasisi ya Development Entrepreneurship Community Initiative (Deci), sasa liko rasmi mikononi mwa vyombo vya dola...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwanamke ambaye ni mwanachama wa CCM ameongaza kura za maoni za kuwania kuteuliwa kuwa mgombea wa kiti cha ubunge cha jimbo la Busanda Mwanachama aliyeongoza kura za maoni za chama hicho ni...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
....atutangazie Watanzania kwamba Sakata la Mkapa kujiuzia Kiwira litaanikwa hadharani hapo February 18, 2009. Ngeleja kufichua siri ya Kiwira na Kulwa Karedia Tanzania Daima~Sauti ya watu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hatimaye yule kigogo wa shirika kubwa la Bima hapa nchini Mama Margreth Ikongo ameachia ngazi na kuhamishiwa wizara ya fedha kitengo cha masuala ya Bima. Kama mnakumbuka gazeti la Mwanahalisi la...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Dream team Mark Schultz, Staff Writer It is a project so big that four firms have joined to make it happen. On Tuesday, the Smithsonian announced its National Museum of African American...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema mh JK anatarajiwa kubadilisha wakurugenzi wa mashirika ya umma muda si mrefu kuanzia wiki ijayo na hasa wale anaowahisi awako nae pamoja....habari zaidi...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Half of Norwegian aid funds misused - report 2009-04-16 16:20:51 By Guardian Reporter A total of US$30 million (over 36bn/-) given to Tanzania as aid by the Norwegian government in the past 12...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wana ndugu naomba msaada kwenye tuta kidogo;hivi karibuni kumezuka kampuni zinaitwa praidi;deci na nyinginezo hatimae serikali wakaamua kuuiita DECI upatu ambao hautakiwi;kidogo inanichanganya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jeshi la polisi mkoani Kigoma wilayani Kibondo limewakomesha wachama wa upinzani waliokuwa wakileta vurugu kabla ya kuanza kwa uchaguzi wa marudio katika kata ya Kitahana. Hatua hiyo ya polisi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu,wakati wa malumbano ya Mwakyembe na Rostam,mh.Ole Sendeka aliahidi kutoa bomu la mwisho la kuwasambaratisha mafisadi.Mbona hilo bomu mpaka leo sijalisikia au ni mimi peke yangu?Mzee Ole...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya DECI kusitisha huduma zake check hii Mwananchi jana lilifika katika taasisi ya Tumaini Revolving Fund (TRFI) iliyo Tabata jijini Dar es Saam na kushuhudia wakazi mbalimbali wakiomba...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…