Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nashindwa kuelewa huyu jamaa kwa nini alisema alichosema. Aliyoyasema ni haya: (a)Aonya vyama vya upinzani kutoihusisha CCM na ufisadi, vinginevyo amani itavurugika. (b) Visimchafue rais...
0 Reactions
62 Replies
9K Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Dk. Idrisa Rashidi ni miongoni mwa watu kumi mashuhuri walioshiriki na kujipatia mabilioni katika kashfa ya radar. Wahusika wengine wakuu ni pamoja na Andrew...
0 Reactions
54 Replies
11K Views
* Sees revenue climbing 11 percent in year to March 31 * Expects new 600,000 hectolitre plant by Nov. 2009 * To add new bottling plant in Dar es Salaam By George Obulutsa ZANZIBAR, March 23...
0 Reactions
37 Replies
6K Views
Wadau nafikiri baadhi yenu leo mmesikiliza press conference ya Obama,kuna issue moja najaribu kulinganisha na rais wetu. Alipoulizwa swali kuhusu Stem Cell Research alijibu kwamba," angalia, hili...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mbunge: HakiELimu itaidondosha serikali na Tamali Vullu, Dodoma WABUNGE wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameitaka serikali kuichukulia hatua taasisi isiyo ya kiserikali ya HakiElimu kwa...
0 Reactions
158 Replies
22K Views
South Korean Group May Build 210-Megawatt Wind Farm in Tanzania Share | Email | Print | A A A March 23 (Bloomberg) -- A group of South Korean investors plans to build a 210-megawatt wind-power...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Kwa mtu anayefuatilia uandishi na maoni ya mhariri wa Tanzania Daima utagundua kubadirika kwa kiasi kikubwa. Kwa siku za karibuni amejitokeza kuwa mtetezi mkubwa wa Dowans na RA. Nahisi alichopewa...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Zitto ameondoka leo alfajiri kuelekea Uingereza na baadaye, Hispania. Taarifa ya Chadema iliyosainiwa na Ofisa Habari wake, David Kafulila imeeleza. Kafulila amesema Uingeza ataongoza Kongamano...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wazalendo wenzangu,kwa kipindi cha takriban miezi 12 nimekuwa najiluliza tume za zinazoundwa na raisi/serikali ziko ngapi?na utendaji wake nani anajukumu la kuufuatilia. Naona na Nadhani kuna...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nawaombeni mnijuze kama mna any updates.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mbunge Kilango aandaliwa mkutano na waandishi wa habari bila kujua Na Jackson Odoyo Date: 3/23/2009 MBUNGE wa Same, Anne Kilango amedai kuwa alipangiwa kuzungumza na waandishi wa habari kwenye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Kuna taarifa kwamba Zitto Zubeir Kabwe na Peter Serukamba wanatarajiwa/wanafanya/wamefanya press conference ya pamoja jijini Dar es Salaam leo. Sina hakika kama wanazungumzia nini, lakini...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Mbunge wa Nzega aingia matatani Fidelis Butahe MBUNGE wa Jimbo la Nzega mkoani Tabora, Lucas Selelii amelaumiwa kwa kauli anazodaiwa kutamka kwamba kila mtu anayetaka ubunge akagombee kwao na...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Mkazi wa Mtoni Kijichi akishiriki kuzima moto uliotekeza makazi ya mama mmoja hivi. Nilipoiangala picha hiyo nilibakia kujiuliza kama juhudi zetu katika mapambano haya zinalingana na uzito wa kazi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Tembelea website hiyo ujionee ziara na historia ya Zanzibar United Nations United Nations Photo enjoy!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Watanzania tunashambuliwa kwa mengi, vyombo vya habari ni mojawapo ya zinazotumika. ... Magazeti mawili ya The Citizen na The East African yanaandika habari kwa mtazamo na ushabikiaji wa Kenya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Gazeti la Africa Confidential liliandika kwa kirefu..mengine ni kutokana na "vitoto vya nzi" ambavyo havituliiuko uarabuni.. Zilitolewa Aprili 2005 It was campaign funds for his election Given by...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Miaka 32 ya CCM na visheni iliyokwenda kombo! Johnson Mbwambo Februari 11, 2009 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo WIKI iliyopita chama tawala cha CCM kiliadhimisha miaka 32 tangu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sikumbuki kuwaona hawa wenzetu wakishiriki jeshi la ulinzi au angalau kwenye upolisi. Lakini wametawala nchi kiuchumi kiasi cha kupata kiburi cha kubadili hata majina ya mitaa bila kujali wazawa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pamoja na ushabiki wangu mkubwa kwa Baba wa Taifa nikiwa mwanafunzi wake nambari moja katika mwamko wa kifikra nimekuwa na matatizo makubwa sana ya kifikra na baadhi ya maamuzi, hatua au mipango...
0 Reactions
33 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…