Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Today marks the 80th birthday of the late great Dr. Martin Luther King Jr. As I sit here listening to his speeches being played on the radio, I couldn't help but wonder what kind of relationship...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
KAMPUNI hii ya mafuta ambayo inaelekea kuagiza karibu nusu ya mafuta ytanayoagizwa Tanzania, toka EWURA kutangaza kushushwa bei imekuwa ikitufanyia vituko kwa kuhakikisha karibu vituo vyao...
0 Reactions
124 Replies
16K Views
Wana JF, Katika kuhangaikia wanetu wanaorudishwa vyuo Vikuu kwa taratibu ngumu, nilimpa kampani kijana wangu kuelekea SUA. Nimefika kwa mara ya kwanza na kujionea ambayo yamekuwa yakiandikwa...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
UCHAGUZI 2010: :: Ni Chadema v/s CCM Tanzania Bara :: CCM v/s CUF Tanzania Visiwani :: Majimbo 50 tata haya hapa Na Waandishi Wetu UKIWA umebakia mwaka mmoja ili kufikia uchaguzi...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kuna nyumba za NSSF maeneo ya Ada Estate, Kinondoni zilizojengwa pamoja na hospitali ya Tanzania Heart Institute. Zimekaa tu hazipangishwi wala haziuzwi, kuna nini?
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Henry Daffa Shekifu ameitoa eneo la Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori Burunge (JUHIBU) kwa "Wanakaya" (Dhana Investment) kama wawekezaji pasipo kufuata taratibu za...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
We have a large History which we never even cherish. Mwalimu Nyerere appreared in TIME Cover a paerson of March 1964 you can view article at TIME Magazine Cover: Julius Nyerere - Mar...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inakusudia kuja na orodha mpya ya mafisadi kama ilivyoandikwa katika gazeti la Nipashe (Jumatatu). Tunaelewa serikali ya SISIEMU bado inajikongoja...
0 Reactions
35 Replies
7K Views
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS UNITED REPUBLIC OF TANZANIA Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425 PRESIDENT’S...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Watu wengi wamekuwa wanajiuliza ni kwa nini sasa kuna ufisadi sana kuliko miaka ya nyuma,wengi wa viongozi wamekuwa matajiri katika kipindi kifupi sana,uku wakiacha wananchi walio wengi katika...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Watanzania wenzangu, ninaandika hoja yangu huku nikiwa na majonzi tele kuhusu hatima ya elimu yetu Tanzania. Inaonekana wazi kuwa viongozi wa chuo na serikali imeamua kwa makusudi watoto wa...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Kuwakamatwa wamiliki wa Tashrif kuwe somo kwa wengine Gloria Tesha Daily News; Wednesday,January 14, 2009 @20:00 Ajali za barabarani hapa nchini si jambo jipya au geni masikioni mwako...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Mojawapo ya chaguzi ambazo zimekuwa na mvuto wa muda mrefu ndani ya CCM ni ule uliofanyika mwishoni mwa juma lililopita ambapo Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Wanawake wa CCM (T) alipatikana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF; Leo nimesikia Dr. Karume akipigiwa Wimbo wa Taifa wa Zanzibar. Mjasiliamali naye alikuwepo. I might be out of touch . . . Hii ya "Dr" na "Wimbo wa Taifa Zanzibar" imekaaje?
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Kuna taarifa kwamba wamiliki wa Kampuni ya Richmond Development LLC, wanafikishwa mahakamani mchana huu, ikiwa ni dakika za mwisho za mahakama. Habari zaidi baada ya kuthibitisha
0 Reactions
77 Replies
12K Views
By Nkwazi Mhango I was shocked when I learnt that Benjamin Mkapa, Tanzania’s former president, is one of the peace mediators in the Democratic Republic of Congo (DRC). Historically...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waziri Mohammed Seif Khatib, kupitia kampuni yake ya Zanzibar media Corporation aliamua kulibadili gazeti lake la Asumini na kuliita Taifa Huru. gazeti hili lilikuwa lizinduliwe leo wakati wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hatimaye Dickson Maimu ambaye alikuwa CEO wa RITA na ambaye kwa muda wote yeye na Jack Gotham walikuwa wanajiandaa na mradi huu mkubwa amepewa tender yeye baada ya kupelekwa kwenye mradi huo toka...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Imenishangaza sana kukutana na habari moja katika gazeti la Mtanzania Daima (7 Janauari, 2009). Katika habari hiyo yenye kichwa cha habari kisemacho "Bashe Awashukia Wanaomtuhumu Mkapa" Hussein...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Katika hali isiyotegemewa, Rais Jakaya Kikwete amekumbwa na kigugumizi cha utoaji vyeti kwa wale waliosaidia kuchangia ununuzi wa pikipiki kwa makada wa SISIEMU. Fisadi huyo ni Japhet Lema...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…