Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Habari zenu waungwana wana JF. Idumu JF, Tukumbukane wazee wa enzi za BCS Times. Ningependa kufahamu ile shutuma ya kutapeliwa wanawake matajiri wake za vigogo kupitia mchezo wa Upatu iliyomkabili...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Tanzania International Container Services (TICTS) ilipewa mkataba tata imeishia wapi?? wenye taarifa leteni mezani maana ina kila harufu kuwa kuna ufiasadi namna ilivyopewa/kuongezewa mkataba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ninasikitishwa sana na utendaji wa wizara ya fedha katika suala zima la uandaaji wa bajeti kwa serikali ya Tanzania. Kwasababu kila bajeti inaposomwa hakuna jipya katika kuongeza mapato kwaajili...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Dr. Slaa bado alia na CCM 2008-12-15 12:59:27 Na Joseph Mwendapole Mbunge wa Karatu (Chadema), Dk. Willbroad Slaa, amesema ana ushahidi wa vimemo vilivyokuwa vikiandikwa na Chama Cha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Wakuu kuna tetesi kuwa leo au kesho mkuu fereshi anashusha noma jingine hapo kwa mh.mama ady lyamuya kisutu. Wakali ingieni vitani mapema
0 Reactions
5 Replies
3K Views
JK: UVCCM inavurugwa Martha Mtangoo, Dodoma Daily News; Sunday,December 14, 2008 MWENYEKITI wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete amewaonya watu maarufu walio nje na ndani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau wa JF, leo Rais Bush wa marekani aliingia Baghdad kwa siri kubwa na baada ya kuonana na wenyeji wake akaitisha mkutano wa waandishi wa habari.Mmoja wa waandishi wa habari mIraq, akavua kiatu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mheshimiwa Mwenyekiti wa Umoja wa Nchi Huru za Afrika, maarufu kama AU, Bwana Jakaya Mrisho Kikwete, naomba utege sikio umsikilize Mchungaji. Najua nimekuwa nikiongelea sana kuhusu mambo ya...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Digging their own graves? We've allowed them to get away with this for years. I'm pretty sure they don't think they are digging their own graves. For them it's just business as usual...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kikwete ashauriwa kuivunja serikali Mwandishi Wetu Disemba 10, 2008 RAIS Jakaya Kikwete, ameshauriwa kuvunja Serikali ili aunde ya mpito itakayoanzisha mchakato wa kujenga misingi...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Tunabishania vitu visivyo na msingi, tunapingana kwa mambo ya kitoto, na tunabakia kushutumiana kwa visivyo na umaana. Vile vya msingi tunaviacha kimya; hakuna mwenye hasira, hakuna anayekerwa; na...
0 Reactions
72 Replies
10K Views
Naomba kuwauliza ndugu zangu wa CCM, kuanzia ngazi ya juu mpaka ya Chini, kwamba wanapopitisaha eg Miswada ya Bunge wanajua maana yake na madhara yake kwa nchi au ndio kusindikiza Bwege wakati...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Dr. Steven Chu, mwanasayansi aliyeshinda nishani ya Nobeli katika fani ya Fizikia ameteuliwa na Rais mtarajiwa wa Marekani Bw. Barack Obama kuwa waziri wa Nishati. Nanukuu majukumu yake na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
The four horsemen of Apocalypse, gripping the fate of the nation! Choice is yours, which color belongs to each one of these horsemen! Wasifu wao: Andrew Chenge: Mwanasheria Mkuu;-Mikataba...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Unless of course, if you have to!!
0 Reactions
76 Replies
11K Views
Nimepata taarifa toka kwa mtu aliye mbeya mjini kuwa kuna maandamano ya wafanyakazi wa kiwila coal mine ati wana miezi minne hawajapata mishahara yao.Mwenye nondo zaidi mwaga hadharani
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tunahitaji vyombo jasiri vya habari - Sitta Mwandishi Wetu Disemba 10, 2008 Raia Mwema~Muungwana ni vitendo SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta, hivi karibuni alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jaji Warioba: Hii Ni Hatari WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema amekerwa na tabia ya wanasiasa kupakana matope na kuonya kuwa kisingizio cha utawala bora kisitumiwe kutaka...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
KENYA’S DAILY NATIONS VIEWS ON TANZANIA AND EAST AFRICAN This is a restrained response to an article on Tanzanias stand on East Africa as written and posted by one Mr. Gitau Warigi. I am a...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nimesoma kwenye ThisDay leo ANALYSIS: Mramba and Yona’s case: Is this the beginning of the end? IBRAHIM WERREMA THE presidential jet was bought. I am told it is currently not of...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…