Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Katika kusherehekea miaka 48 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga na Mjumbe wa Kamati Kuu, Rajabu Abdulrahaman, ametembelea katika Shule ya Sekondari Mgwashi...
0 Reactions
0 Replies
112 Views
Ukifuatilia hata Law Bar Associations ya Rwanda tu utagundua huwezi wakuta wanaenda kulia lia kwa Kagame mara wapewe Gari mara Kagame awwpunguziwe Kodi, nenda Law Bar ya Uganda huwezi kuta huu...
4 Reactions
37 Replies
860 Views
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, anatarajia kupokea tuzo ya “The Gates Goalkeepers Award” ikiwa ni kielelezo cha matokeo makubwa ambayo yamepatikana katika uongozi...
1 Reactions
5 Replies
410 Views
Ndugu zangu Umofia kwenu, Tanzania kama ilivyo nchi nyingi duniani ina wahamiaji wasio halali ( nachelea kusema harama kwa kuwa binadamu hawez kuwa haram) Tofauti na nchi nyingine, pengine...
0 Reactions
0 Replies
237 Views
Wife juzi kanipigia simu kuniambia kuna watu wamekuja home hapa Nzega mjini, kata ya Nzega Mashariki, wanagawa mitungi ya gas bure nikamkatalia kuchukua. Sasa leo ikabidi nimdodose yaani ni kina...
23 Reactions
119 Replies
3K Views
Uongozi wa Klabu ya Simba Pamoja na wachezaji wamehudhuria Mkutano wa 18 wa Bunge leo tarehe 4 Februari, 2025, jijini Dodoma ambapo wapo jijini humo wakiwa wameweka kambi ili kuikabili Fountain...
1 Reactions
2 Replies
366 Views
Heshima sana wanajamvi, Kila mwanajamvi alijua msimamo wangu sina haja ya kuendeleza ligi uchaguzi umekwisha Lissu na Heche ni washindi. Nawapongeza Lissu na Team yake ya kampeni kwa kazi kubwa...
6 Reactions
13 Replies
466 Views
Binafsi nadhani CHADEMA wajiandae kwa uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025. Kinachotakiwa ni wao kubadilika na kufanya kazi kubwa ya kubadilisha mindset za Watanzania. Kuendelea kulalamika kwamba...
2 Reactions
7 Replies
328 Views
DK. Harrison Mwakyembe, Waziri wa Katiba na Sheria, amesema kuwa Tanzania ni bora iendelee kutaambika na watanzania wafe wakiwa masikini kuliko kuendelea kunyanyaswa na mataifa ya ulaya, Mwakyembe...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Na Prince M. Bagenda DAVID Kafulila ni Mbunge wa Kigoma Kusini kwatiketi ya chama cha NCCR-Mageuzi, siku zote amekuwa akikuza na kutoa taarifa zisizo sahihi juu ya kusitishwa misaada ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Awali ya yote nimshukuru Mwenyezimgu kwa kutupa uhai tena na tena.. Kumekuwepo na ngonjera nyingi na awamu nyingi zikinadi kutengeneza hii barabara kwa kiwango cha lami Wamekuwa wakiitumia Sera...
3 Reactions
90 Replies
5K Views
Sasa imethibitika kuwa Bodi ya MCC iliyokaa tarehe 16 Dec 2015 imehairisha rasmi kuidhinisha msaada wa Millenium Challenge uliokuwa umekusudiwa kwa Tanzania kwa mwaka wa fedha 2016. Sababu kuu...
0 Reactions
162 Replies
18K Views
Mwaka 2004 USA goverment iligundua kwamba World Bank iko Corrupt sana na nitatoa mfano baadae wakaanzisha ili MCC. Tofauti yake ni kwamba pesa hazipiti mikononi mwa nchi husika na kiongozi wao ni...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu vibweka ni vingi sana huu mwaka, Mbunge wa jimbo la Mbarali Bahati Ndingo amewataka wanawake wa UWT kusambaza habari na mambo anayoyafanya Rais Samia, wakiwa kwenye shughuli mbalimbali...
1 Reactions
9 Replies
332 Views
AGOA na MCC ni nyenzo mbili kuu zinazotumiwa na Marekani katika kuzisaidia nchi za Afrika kukabiliana na changamoto za ndani ya nchi ikiwa ni pamoja na masuala ya kiuchumi, kisiasa na hata...
1 Reactions
88 Replies
11K Views
Kwanza napenda kupongeza taarifa iliyotolewa leo baada ya majadiliano ya karibia miezi miwili na Barrick. Tumepata tulichopata na makubaliano mengine ambayo itabidi tusubiri kuona faida yake huko...
18 Reactions
87 Replies
7K Views
Wanabodi, Kuna vitu fulani fulani vinchi masikini vinalazimishwa kufuata sera fulani fulani wanalazimishwa kuzifuata na nchi mabeberu. Sasa vinchi hivi vinapowekewa masherti na mabeberu...
7 Reactions
28 Replies
2K Views
Israel ni taifa linalosifika ktk kila nyanja ktk uso wa dunia ni kwasabb imepitia misukosuko ya kivita kwa muda mrefu sana. Hii imepekea waisrael dhaifu kufariki na kubakia wale wenye nguvu ama...
6 Reactions
8 Replies
345 Views
MACHI 30, mwaka huu, gazeti moja la kila siku nchini liliripoti kuwa Shirika la Changamoto za Milenia (MCC) la Marekani, limesitisha msaada wa zaidi ya dola milioni 700 kwa Tanzania, kiasi ambacho...
4 Reactions
56 Replies
9K Views
Back
Top Bottom