Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Inawezekana kabisa majina ya wateule wa CCM yakawa ya mwisho kabisa kufikishwa Tume ya Uchaguzi ili kuepusha wale ambao hawatakiwi wakishakata wasihamie upinzani. Kuna nijadala inaendelea kuwa...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Maganja hawashinda Magufuli na Lissu mbele ya wafugaji, apewa ng'ombe wawili Mihale, Bunda Leo tarehe 13.08.2020 nikiwa kijiji kwetu Mihale wilaya Bunda mkoa wa Mara. Nimebahati kuzungumza na...
1 Reactions
3 Replies
861 Views
Tafadhali naomba mje kwenye ukurasa huu mnijibu, maana mimi sielewi na siwaelewi! Kila siku nasikia mara Kibajaji kashikiriwa akitoa rushwa kwa wajumbe wa Uchaguzi katika kura za maoni, mara...
0 Reactions
0 Replies
520 Views
Sisi wengine tutasema ukweli hata kama ni mchungu. Tutasema tu. Hata kama nitabaki peke yangu kuusema ukweli nitasema tu Tundu Antipas Lissu - hatokuwa Rais wa Tanzania hata iweje. Hawezi apishwa...
10 Reactions
28 Replies
3K Views
Naam ndugu wajumbe wasaalamu, Leo imekuwa ni siku ya fanaka kwa chama cha CHADEMA Meatu baada ya kuchukua fomu za ubunge na udiwani kwa mafanikio makubwa. Kuweka kumbukumbu sawa:Wilaya ya Meatu...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Huu ni ushauri ninaoupeleka kwenye ofisi ya Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mh John Mnyika kwamba wagombea watakapozichukua fomu hizo kutoka kwenye ofisi za Tume ama kwa Wakurugenzi baada ya kuzijaza basi...
13 Reactions
30 Replies
3K Views
Lissi kafanyiwa mahojiano(kwa lugha ya kingereza) huko Ubelgiji(probably leo) kuhusu swala zima la kama tutarajie uchaguzi huru na wa haki, ila alivyojibu,ni wazi mwenzetu huyu sUala la kutegemea...
19 Reactions
59 Replies
9K Views
Kutoka maeneo mbalimbali kwenye viunga vya mji wa Dodoma, Tundu Lissu leo anachukua Fomu ya Urais. === Tundu Lissu leo kwa Mara ya kwanza anarejea katika mji wa Dodoma akienda kwa ajili ya...
66 Reactions
730 Replies
67K Views
Akiwa mjini Kahama, mgombea urais wa Jamhuriya muungano ndugu Tundu Antipas Lissu amesema kuwa makampuni makubwa matatu kwa mwaka huu pekee yameishtaki Tanzania kwenye mahakama za kimataifa. "Si...
54 Reactions
197 Replies
16K Views
Ni Kama vile shughuli zimesimama katika mji wa Kibiashara wa Kahama. Mamia kwa Mamia ya wakazi wa mji wa Kahama wako majiani wakisubiri ujio wa kipenzi chao Tundu Antipass Lissu anayetarajia...
50 Reactions
205 Replies
24K Views
Kuelekea ushirikiano wa kusimamisha mgombea mmoja wa upinzani napendekeza pawepo na mdahalo wa wagombea ili wapiga kura tuwstathmini. Wagombea wakuu Tundu Lissu na Bernard Membe na ikiwezekana...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa...
19 Reactions
123 Replies
10K Views
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama kinapokea taarifa za watia nia wanaotoa rushwa kutoka kote mikoani kila siku. Polepole amesisitiza kuwa watu hao ambao majina yao...
1 Reactions
109 Replies
12K Views
Kuna taarifa kuwa mipango inafanywa kwa hali na mali kuhakikisha kuwa PM wa sasa Majaliwa anapita bila kupingwa na chama chochote uchaguzi wa Ubunge. Hiyo itakuwa ishara mbaya sana na...
10 Reactions
24 Replies
3K Views
Juma hili hili mtoto wa JPM - Jesca Magu amehamishiwa REA kwenye mishahara mizuri wakati juzi JPM mwenyewe alimsifia Daktari mmoja wa Falsafa aliyekuwa akifanya CCM kuwa alikuwa anapata mshahara...
30 Reactions
140 Replies
11K Views
MGOMBEA WA CHADEMA MH TUNDU ANTIPAS LISU, KAMA HAELEWI! Na Elius Ndabila 0768239284 Leo nikiwa napitia mitandaoni nimekutana na Twitter ya Mh Lissu ambayo imepambwa na Picha ya Mh Rais Dkt...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Ratiba za kichama hapa Makao Makuu Dodoma zinaonesha kuwa vikao vya Kamati Kuu wa CCM almaarufu kama CC vilipaswa kufanyika tarehe 7 na 8 ya mwezi huu. Hata hivyo, hadi sasa hakuna kikao cha...
46 Reactions
137 Replies
12K Views
Tulishasema hapa idadi ya wabunge sio upinzani. Upinzani ni fikra. Ubunge na udiwani unaweza kuiba kura hata kulazimisha. Kitu ambacho huwezi kulazimisha ni upendo. Kama mtu anampenda mtu mwingine...
28 Reactions
78 Replies
5K Views
Back
Top Bottom