Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Chadema na CCM zimeungana katika kumkemea askofu Gwajima kuhusiana na msimamo wake hasi kuhusu chanjo ya Corona. Katika mambo ya msingi ni jambo jema kuwaona Chadema na CCM wanakuwa Wamoja katika...
6 Reactions
10 Replies
1K Views
"Usije kufanya siasa kwenye chanjo, uhai wako sio mali ya Kanisa lako, utakufa Kanisa lipo, uhai wako sio mali ya Serikali, utakufa Serikali ipo, uhai wako sio mali ya Msikiti, uhai wako ni mali...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Dkt. Mwamposa aliwahi kuonywa hili, tunashukuru amekuwa msikivu Ukisikiliza matangazo yake aliwakuwa anatangaza wanaingia saa sita wanatoka 6pm mwisho akanza toa watu saa 3 usiku Vibaka...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
1. Kumekuwa na Hiyari ya LAZIMA kupokea chanjo ya UVIKO 19. 2. Serikali imejitoa kudhamini raia wake katika kuwajibika endapo chanjo itamletea madhara aliyechanjwa 3. Nguvu kubwa inatumika...
0 Reactions
6 Replies
767 Views
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Bunge, Sera, Ajira, Kazi, Vijana na Walemavu, Jenista Mhagama Mbeya. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera amesema Serikali imesitisha kuwepo kwa mikutano minne...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Leo nimekaa nikaiskiliza video nzima ya Askofu Gwajima Youtube kitu nilichogundua ni kwamba Gwajima ana chuki binafsi kwa Rais Samia but ametumia kigezo tu cha chanjo kupitisha chuki zake. Point...
34 Reactions
107 Replies
9K Views
MAJIBU YA MASWALI MBALIMBALI YALIYOTEKA MJADALA WA CHANJO YA CORONA KULETWA NCHINI Toka Serikali kupitia kwa Kamati maalum aliyoiunda Rais Samia Suluhu Hassan itangaze uamuzi wa kuruhusu chanjo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jana nimemuona Channel ten akiwa na mtangazaji Albert Kilala katika kipindi cha Msema kweli na wote wawili walikuwa hawajavaa barakoa. Leo asubuhi nimemuona Dr Mollel akiwa na Sam Sasali na...
6 Reactions
33 Replies
3K Views
Tangu Rais atangaze kuruhusu chanjo kuingia nchini limeibuka wimbi la mchanganyiko wa mitazamo juu ya ubora na uthabiti wa chanjo yenyewe Watanzania wengi ni Kama hawajaridhika na yanayosemwa juu...
0 Reactions
6 Replies
698 Views
Hizi tuhuma zinaenezwa sana kupitia mitandao ya kijamii. Hii mitandao ya kijamii ina nguvu sana maana ndio source of information. Wanaoeneza hizi tuhuma wameenda mbali na kudai kuda hata hawa...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Nimeona taarifa ya wizara kua chanjo itaanza kutolewa Agost 3 Nashauri Serikali yetu pendwa chini ya Rais samia, wahakikishe kwenye vituo vya chanjo kuna Chakula Napendekeza Pilau na nyama...
17 Reactions
55 Replies
5K Views
Kwa mujibu wa taarifa hapo juu, Gloves sio lazima kuvaliwa wakati wa kuchoma chanjo ya COVID-19. Hivyo tunapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa Mhudumu aliyewachoma chanjo Mhe. Rais Samia Suluhu...
15 Reactions
95 Replies
10K Views
Hatimaye serikali ya awamu ya sita ilitangaza rasmi uwepo wa ugonjwa hatari wa Corona hapa nchini. Hii ikienda sambamba na kutolewa kwa maelekezo thabiti ya hatua gani za kuchukuliwa tunaposubiria...
9 Reactions
76 Replies
5K Views
Mbunge wa Kawe Josephat Gwajima ameendelea kusisitiza kuwa viongozi na wananchi wanaohimiza watu kuchanjwa chanjo dhidi ya Covid19 ni wajinga na akili zao zimeenda likizo kwa sababu ya kile...
14 Reactions
106 Replies
8K Views
Leo katika uzinduzi wa chanjo. Waziri wa Afya kaongea mambo mengi ili kuhalalisha mchakato huo. Ameenda mbali na kushawishi watu kuwa kujaza fomu ya kuridhia kuchanjwa ambayo inasema ukipata...
6 Reactions
40 Replies
3K Views
Azim Dewji: Tunasema kwamba, kazi kubwa ya mkuu wa Dini ni kuongoza waumini wake sio kuwapotosha, unazungumza maneno ya kuwapotosha waumini na kuleta taharuki kwenye Jamii, hiyo haifai kabisa na...
20 Reactions
151 Replies
13K Views
  • Poll Poll
Kupitia BBC, haya ni maoni ya baadhi ya Watanzania kuhusu chanjo ya Corona iliyozinduliwa jana na Rais Samia. Kwenye video hii, walioipinga [waliokataa kuchanjwa] ni wengi kuliko walioikubali...
1 Reactions
61 Replies
5K Views
Niliona kundi kubwa la wansiasa waliowahi chanjo lakini nasikitika kwamba watu wawili ktk siasa za sasa hawakuonekana; Spika wa bunge letu, mzee wa presentation na mstaafu Kikwete, mzee wa...
3 Reactions
43 Replies
4K Views
Serikali yaamua chanjo dhidi ya Uviko 19 (Korona) itolewe nchi nzima. Utoaji wa Chanjo utaanza tarehe 03 Agosti, 2021.. Hivi hapa vituo 550 vitakavyotoa chanjo hiyo.
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Waziri wa afya Dkt. Gwajima amesema mikoa itakayoonyesha kusuasua kwenye uchanjaji wa Corona basi watanyang'anywa hizo chanjo na kupelekewa mikoa iliyochangamka katika uchanjaji. Chanzo: Star tv...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom