Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Uliokuwa ugonjwa kama yalivyo mengine, ulifanywa siasa hatimaye kuwa vita tokea kwa mabeberu na watu wakaaminishwa hivyo. Badala ya gonjwa kuwa chini ya wataalamu wa Afya, Sirro na hata...
0 Reactions
0 Replies
954 Views
Hakika Mzee wetu Lowassa alikua sahihi sana kisema kipaumbele chake ni ELIMU, ELIMU, ELIMU Rais Samia unakazi sana kuongoza vichwa vya namna hii. Mtu unamuuliza nipe sababu za kukataa chanjo...
18 Reactions
101 Replies
6K Views
Au sisi wengine ni washamba jamani? --- Rais wa USA, Joe Biden akichomwa chanjo === Wizara ya Afya watoa ufafanuzi kuhusu hoja hii, soma hapa chini: -...
10 Reactions
195 Replies
51K Views
Habari za jioni wanaJF! Mimi ni muumini wa kumsikiliza kiongozi katika mapambano yoyote. Upo muda wa taharuki,kutoaminiana, kuchallange, kujadili na hatimaye kuchukua upande na uelekeo. Mwaka...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Leo Tarehe 29 Julai, 2021 Benki ya Dunia inazindua Toleo la 16 la Ripoti ya Hali ya Kiuchumi ya Tanzania, yaani "16th Tanzania Economic Update" Toleo la Hali ya Kiuchumi Tanzania huchapishwa...
0 Reactions
37 Replies
6K Views
Kwa kauli hii ya Mkuu wa Jeshi la Polisi maana yake kuna waliodanganya/kupotosha jamii. Tunasubiri hatua zaidi zichukuliwe!
0 Reactions
2 Replies
961 Views
Hizi ni picha za Marais watatu wa east africa wakichoma Chanjo ya Covid 19. Huu ndo uongozi unavyopaswa kuwa. Kuongoza kwa mfano.
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Leo ni siku ya furaha kuwa chanjo ya Corona inazinduliwa. Hatimaye pana Nuru tena katika maisha yetu. Baada ya uzinduzi huu na kutupa maelekezo ya wapi kila yeyote alipo anaweza kwenda kuchanjwa...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Wakati akitoa hotuba ya uzinduzi wa chanjo ya Covid 19 aina ya Johnson and Johnson. Waziri wa Afya, Dr. Dorothy Gwajima amesema kuwa Serikali ya Marekani imetumia chanjo hiyo kuwachanja raia...
11 Reactions
80 Replies
6K Views
Ndugu zangu, Kwa walichoma chanjo ya Corona wanachoma sindano mbili ndani ya wiki tatu (3) na baada ya hapo unapata cheti ambacho kinakuwa halali ndani ya miezi (6) kisha unatakiwa kuchanjwa tena...
7 Reactions
38 Replies
3K Views
Mtangazaji: Tuanze na suala la chanjo, tumepata taarifa kesho Rais Samia Suluhu atazindua utaratibu wa chanjo na yeye atachanjwa. Utaratibu utakuwaje kama umeshawekwa na Serikali? Msigwa: Baada...
3 Reactions
88 Replies
6K Views
Nukuu za Katibu wa itikadi na Uenezi CCM wakati akizungumza leo katika Uzinduzi wa Chanjo ya Uviko 19 Ikulu Jijini Dar Es Salaam. "Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa hatua hii muhimu ndani ya Taifa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Hali ni mbaya sana uraiani. Watu wana hofu kubwa. Watu hawana imani na chanjo. Japokuwa wamepewa matumaini kuwa chanjo ya Jonhson ni single shot. Watu wakiugua mafua sababu ya kibaridi cha...
0 Reactions
0 Replies
598 Views
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Dorothy Gwajima amesema kauli ya hayati Dk John Magufuli kuhusu chanjo inapotoshwa kwani hakusema watu wasichanje ila kuwe na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Dar es Salaam. Baada ya chanjo ya Covid-19 kuwasili nchini Serikali imejiweka lengo la kuwachanja asilimia 60 ya Watanzania wote. Waziri wa Afya, Dk Doroth Gwajima amesema awamu ya kwanza ya...
5 Reactions
54 Replies
5K Views
Nimetafakari tu maneno ya Gwajima ila nimeamua kukaa kimya kwani leo ni siku ambayo nimewakumbuka. Marine Hassan, Mama Lwakatare, Balozi Mahiga, Joseph Kambangwa, Benard Lowasa, Maalim Seif...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Waziri wa afya Dr Dorothy Gwajima amesema yeye na viongozi wenzake walishachanja chanjo ya Corona na sasa wamebaki kuwa walimu wa kuelimisha wananchi nao wachanjwe. Chanzo: ITV habari Mungu ni...
4 Reactions
60 Replies
5K Views
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema, Serikali haitamlazimisha mwananchi kuchanjwa chanjo ya corona. Amewataka Watanzania wapuuze upotoshaji unaosambazwa “Chanjo ni hiari tusipotoshane kwa sababu...
11 Reactions
53 Replies
5K Views
Tusije kuweka matumaini makubwa kwenye chanjo halafu tukabakia tunaombea ifanye kazi tofauti na inavyofanya kazi kwenye nchi nyingine. Hapa Marekani jana CDC imetutangazia kuwa hata sisi tuliopata...
6 Reactions
18 Replies
1K Views
Hebu angalia alichosema msomi huyu kuhusu Chanjo ya Corona katika Awamu ya Magufuli na Awamu ya SAMIA. Herufi A wakati wa MAGUFULI Herufi B wakati wa SAMIA
0 Reactions
3 Replies
672 Views
Back
Top Bottom