Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Rais wa Tanzania Samia Suluhu leo akiwa anahutubia kwenye baraza la Eid amewatoa hofu mashehe na watanzania kwa ujumla kuwa Tanzania siyo uwanja wa majaribio na haitakubali kupokea chanjo ya...
3 Reactions
135 Replies
11K Views
Nyumba za ibada zikaguliwe mara kwa mara na kuhakikisha zinazingatia yafuatayo; Ziweke vifaa vya kunawia mikono (maji safi tiririka na sabuni au Vitakasa mikonoSanitizers) na muumini atakaye...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wakati wakazi wa Dodoma nchini Tanzania wakitakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Uviko-19, uongozi wa mkoa huo umesema hospitali zake hazijazidiwa na idadi ya wagonjwa. Aidha, Hospitali...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Serikali imeagiza kuanzia kesho kila anayetumia usafiri wa umma kuvaa barakoa huku stendi za mabasi zikitakiwa kuwa na miundombinu ya maji tiririka, sabuni na vipima joto.
6 Reactions
65 Replies
6K Views
Mikoa hiyo ya kipaumbele ni Dar es Salaam, Mwanza, Kilimanjaro, Mbeya, Arusha, Kigoma, Singida, Dodoma, Iringa na Mtwara. Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Tanzania sio kisiwa, kila tunachokifanya kwenye mapambano dhidi ya Covid 19 kinavuka mipaka na kuonekana duniani kote. Ni wazi kuwa sasa tumekubaliana kuwa maambukizi ya COVID-19 yapo hata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi. Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo...
4 Reactions
82 Replies
4K Views
Serikali kupitia Wizara ya Afya, leo imesema Mazoezi na shughuli zote za michezo ni sehemu muhimu katika kuimarisha afya na kujikinga na magonjwa mbalimbali. Hata hivyo, imesema shughuli hizi...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Maeneo ya Saluni na vinyozi ni lazima yakaguliwe mara kwa mara na maafisa afya wa Halmashauri na kuhakikisha mambo yafuatayo yanazingatiwa; - i. Wamiliki wa Saluni na Vinyozi wanatakiwa kuwa na...
6 Reactions
31 Replies
3K Views
"Kama chanjo ya COVID ni suala la hiari, kwanini bila kuchanjwa chanjo siruhusiwi kutoka nje ya Afrika?" Siku ikitokea idadi kubwa ya wanadamu Afrika wamechanjwa, itakuwa ni ngumu sana kwa mtu...
0 Reactions
0 Replies
533 Views
Baada ya kiini macho cha chanjo kupatikana ndani ya mwaka mmoja bila kuwepo kwa takwimu zisizotia shaka za majaribio kwenye wanyama kama panya na baadaye binadamu ambao lazima wapewe taarifa...
0 Reactions
7 Replies
887 Views
Uwanja ulishajaa watu bado wanaingia Corona kuna wagonjwa Kigoma lakini uwanja umejaa kupita kiasi. Watu bado wanaingia mpaka sasa Halafu kesho munaanza kutusumbua kwenye public transport eti...
12 Reactions
56 Replies
4K Views
Prof. Abel Makubi Katibu Mkuu Wizara ya Afya Tanzania amenukuliwa akisema “Misiba yote ibada isizidi dakika 30 mpaka saa 1 na wahudhuriaji wawe wachache, hatujazuia kukaa misibani lakini...
5 Reactions
35 Replies
3K Views
Hivi ni kweli kabisa Rais Samia ana nia ya kweli ya kupambana na COVID-19? Sijui kama na nyie mnafuatilia yanayoendelea huko India sasa hivi! Akina Narendra Modi walikuwa huko West Bengal...
14 Reactions
156 Replies
8K Views
Serikali ya Tanzania imesitisha rasmi matamasha, sherehe na mikusanyiko na masharti kwa watakaolazimika kuwa na kibali maalumu kutoka kamati maalum ya Mkoa husika.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Matumizi ya Barakoa kwa wananchi wote kwenye sehemu zenye mikusanyiko (Mass Masking) ni hatua muhimu ya kukata mnyororo wa maambukizi katika jamii. Aidha, matokeo ni makubwa sana pale ambapo...
1 Reactions
0 Replies
884 Views
Vituo vya Polisi vitatakiwa kufanya yafuatayo: - 1) Kuweka maeneo ya kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni 2) Watumishi na watu wote wanaoingia katika vituo vya polisi wavae barakoa muda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SOCIAL DISTANCING Hakuna asiyejua hii ndo key element ya kupunguza maambukizi ya magonjwa yanayofanana na Corona. Nimeanza na hilo Tangazo hapo juu ili hili suala lieleweke kwa sababu tukiacha...
11 Reactions
61 Replies
6K Views
Ni jambo la kheri kuwa sera rasmi kuhusiana na Covid-19 hatimaye imebadilika uelekeo kwa nyuzi 180. Kwamba kama uelekeo ulikuwa mashariki, tumegeuka nyuma kuelekea magharibi. Mwanga mpya wa...
6 Reactions
28 Replies
3K Views
Tanzania ni nchi ambayo ilipofikia kwa sasa ipo njia panda. Macho ya maadui bado yameelekezwa kwetu kuona tunakwenda vipi baada ya kuondokewa na hayati Magufuli na viongozi wengine waandamizi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom