Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Watanzania wanakabwa kulipa kodi kila sehemu kodi, Ukigeuka kushoto kodi, Kulia kodi mpaka vichwa vinawauma! Wamam wajane, masikini waliofutiwa bima ya afya kwa watoto wao, Walionyimwa madawati...
13 Reactions
45 Replies
965 Views
Wananchi wa Ileje kutoka Ikinga, Isongole, Ngulilo, Ndola, Luswisi na Itale kwa pamoja wameonyesha uzalendo wao kwa kumchangia gharama za kuchukua fomu ya ubunge. Msomi Dr Ntimi Mtawa ili agombee...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
  • Redirect
Uteuzi wa uongozi Mwezi wa Ramadhani Hivi vinaweka mbali na waislam
0 Reactions
Replies
Views
Kwa mujibu wa katiba yetu ,rais aliyepo madarakani ikitokea kapata dharula ya ugonjwa ambao hawezi Tena kuhudumu kama rais wa nchi ama kupatwa na umauti basi makamu ndiye atarithi nafasi yake...
0 Reactions
26 Replies
588 Views
  • Redirect
Leo tarehe 12 Machi 2025 Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof. Mussa Assad ametoa mafunzo ya Uongozi kwa Viongozi wa Chama wakiwemo Wajumbe wa Kamati Kuu...
4 Reactions
Replies
Views
Jana, kijiji cha Lekurumuni kilikumbwa na upepo mkali ulioleta uharibifu mkubwa, ukiwaacha wananchi wakiwa katika hali ya hofu na wasiwasi. Upepo huo, ambao ulikumba wilaya ya Siha mkoani...
4 Reactions
9 Replies
209 Views
Wakuu Yaani gari wanunue wao CWT alafu RC Kilimanjaro kaenda kuzindu tu! == Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Bwn. Nurdin Babu akizindua gari la chama cha walimu Moshi manispaa wakati wa Kliniki ya...
0 Reactions
4 Replies
271 Views
Leo tarehe 12 Machi 2025 Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof. Mussa Assad ametoa mafunzo ya Uongozi kwa Viongozi wa Chama wakiwemo Wajumbe wa Kamati Kuu...
4 Reactions
5 Replies
511 Views
https://www.youtube.com/watch?v=It3WB1-ceDw&ab_channel=JAMBOTV Isihaka Mchinjita - Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ACT Bara "Kama tulikuwa tunasubiri kuona maneno ya Rais Samia ni ya kweli au...
8 Reactions
29 Replies
1K Views
Nimejaribu kutafakari kwa kina sakata la bodi ya ligi kuhairisha mechi ya Yanga dhidi ya Simba baada ya Simba kufanyiwa figisu za kuzuiwa kutumia uwanja wa taifa siku moja kabla ya mechi. Hivi...
1 Reactions
1 Replies
76 Views
Rais ametoa tamko rasmi kuwa serikali imesaini (itasaini?) mkataba wa kununua umeme kutoka Ethiopia ili kuondoa kama sio kupunguza kabisa tatizo la umeme kukatika katika ovyo katika mikoa ya...
3 Reactions
20 Replies
533 Views
Hii ni taarifa rasmi kutoka Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, ikitangaza uteuzi wa viongozi mbalimbali uliofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan...
0 Reactions
0 Replies
337 Views
Wakuu Hii ni kwamba Wananchi wamefanyishwa sherehe ya kukamilika ujenzi wa kituo cha afya, wananchi ni kama wamepewa maelekezo ni cha kusema. Hii ni sehemu ya ajenda ya kumpigia kampeni ya mitano...
0 Reactions
1 Replies
83 Views
Wakuu, Kamati ya Ushauri ya Wilaya Missenyi mkoani Kagera (DCC), imepitisha azimio la kubadili jina la Jimbo la Uchaguzi la Nkenge na kuitwa Jimbo la Missenyi, ili kuleta muunganiko wa kiutawala...
0 Reactions
3 Replies
162 Views
Sijawahi kujivunia Utanzania Wangu Nakumbuka nyimbo za shule za kipindi kile tulizokuwa tukiimba kwa furaha na bashasha. Tukiwa tumevalia uzi mweupe na bukta za blue, tuliimba “Mungu ibariki...
28 Reactions
222 Replies
3K Views
Wakuu, Hivi CCM wanapojitambaga kwamba wana wanachama Milioni 10, hawa wanachama likija tukio kubwa la kitaifa, huwa wanaendaga wapi? Au hawa wanachama wote hawana simu na devices za...
4 Reactions
16 Replies
463 Views
Mkoani Ruvuma kuna kijiji kinaitwa mlilayoyo ambacho kipo wilaya ya Namtumbo kihuduma za kiserikali. Lakini cha ajabu kutoka hapo kijijini kuelekea Mamtumbo hqkuna gari ya kwenda halmashauri ya...
0 Reactions
4 Replies
138 Views
Wakuu, Kama picha zinavyojionesha Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Amos Makalla ameongoza ujumbe wa NEC ya CCM katika ziara yake nchini China. Makala alikutana na Mkurugenzi Mkuu...
0 Reactions
2 Replies
121 Views
Nataka nitangaze kuwa naunga mkono msimamo wa Chama cha CHADEMA wa NO REFORMS NO ELECTION na pia nauunga mkono uongozi wa sasa wa CHADEMA wa Mwenyekiti Lissu na Makamu wake (bara) John Heche...
8 Reactions
71 Replies
2K Views
Wakuu, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba amesema uamuzi wa Tanzania kuchukua umeme Ethiopia ni kitu chenye faida na si hasara kama watu wanavyodhani. Mramba amesema ni faida kwa...
11 Reactions
125 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…