Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wakuu, Kunazidi kuchangamka huko, mwishowe waje na kauli mbiu yenye matusi mradi tu kampeni zifanyike😂:BearLaugh::BearLaugh: ====== Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro amesema kuwa...
0 Reactions
2 Replies
222 Views
Muonekano Mpya huu hapa Toa Maoni yako
22 Reactions
80 Replies
4K Views
Nilikuwa nafuatilia kwa karibu bei za mafuta ya petroli, dizeli, na mafuta ya taa zilizotangazwa na EWURA mwezi huu. Baada ya kuchunguza kwa kina, nimegundua bei ya mafuta ya taa imekuwa chini...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Huyu Hapa ni Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika akieleza Wito: Ni Muhimu sana kuheshimu viongozi waliopita maana bado busara zao zinahitajika
12 Reactions
60 Replies
2K Views
At least yeye ni Rais pekee aliyeweza kuonesha nafasi adhimu ya Tanzania katika kuhakikisha kwa majirani na rafiki zetu kuna amani. Mwaka 2012 wakati kikundi cha M23 wanaleta fyoko fyoko Congo...
8 Reactions
37 Replies
1K Views
Taarifa za siri za CIA za miaka ya 1953 zinaonyesha kwamba shirika hilo liliamini kwamba baada ya Wakoloni Waingereza kuondoka Tanganyika, mtu aliyepaswa kukabidhiwa nchi alikuwa ni kiongozi wa...
10 Reactions
94 Replies
3K Views
Freeman Mbowe ni Kiongozi mzuri ila kama walivyo Wafanyabiashara wengine wote anaangalia kwanza Faida katika jambo lolote Lile na CCM iliutumia vizuri sana huu udhaifu wake. Tundu Lisu ni tofauti...
0 Reactions
5 Replies
168 Views
Wakuu, 1. Deus Clement Sangu – Mbunge wa Kwela Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alishinda kwa kura 48,918, akimshinda Ngogo Naftal Daniel kutoka CHADEMA...
2 Reactions
1 Replies
303 Views
Ukipost jambo lolote baya dhidi ya serikali hawa ndugu zetu ambao hawajakubali matokeo lazima wa-comment hivi ; " Andamaneni Dr. Slaa atoke, andamaneni mpate tume huru ya uchaguzi". Sasa hawa...
5 Reactions
42 Replies
2K Views
Wakuu, Huyu Nchimbi na mgombea mwenza wa Samia ni ndugu au majina tu? TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema chama hicho ni chama kiongozi cha ukombozi na hakikatai mazungumzo na kitafanya na mtu au taasisi yoyote, si vyama vya...
1 Reactions
25 Replies
907 Views
Mh Rais naomba unielekeze Ile mahakama mliyoiunda kushugulikia mafisadi na Majizi Iko wapi? Nina orodha Yao kubwa na ushahidi nataka nipeleke hapo
0 Reactions
1 Replies
100 Views
Mimi binafsi kwenye jambo lolote la kitaifa siweki udini au uchama. Kiongozi akifanya vizuri nitampa pongezi zake lakini siwezi kugeuka kuwa mtumwa wa mtu. Never Sitakuwa mtumwa wa mwanasiasa...
20 Reactions
101 Replies
3K Views
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Danstan Kitandula ana wakati mgumu kutetea jimbo lake la Mkinga, Tanga kwa kinachoelezwa ni kukwama utekelezaji wa miradi ya maendeleo aliyoahidi. Hali hiyo...
0 Reactions
2 Replies
216 Views
Ukanda wa SADC na Africa Mashariki umewahi kuwa na watawala nguli sana wa geopolitics na diplomasia mwaka 2015 kurudi nyuma. Nyerere, Mandela, Thabo Mbeki, Mkapa, Chisano na Kikwete ambaye ni...
0 Reactions
0 Replies
104 Views
Ni Aibu sana Kwa Nchi kama DR Congo kukodi wapiganaji wa Kigeni kutoka Romania kuja kupigana na M23. Hiyo Nchi watu wake wanachoweza ni kukata mauno tuu na kujipodoa ndio maana inatia aibu...
2 Reactions
10 Replies
399 Views
Nipo hapa Mikocheni opposite na CHADEMA HQ na ninashuhudia idadi kubwa ya Watu wakiwemo waandishi wa Habari ninaowafahamu wakiingia ofisi za Chadema Wote wanasema wamekuja kupata Neno la Kwanza...
22 Reactions
135 Replies
6K Views
Wakati Trump amesitisha kugharamia shughuli nyingi ambazo zilikuwa zinafanywa na USAID ni wakati wa kujiuliza kwa umakini kitu gani ni muhimu. Hii pesa ilikuwa inasaidia kutoa dawa wa wagojwa wa...
3 Reactions
3 Replies
238 Views
Rais Trump amesema haoni sababu ya Serikali za Nchi za Africa kuwa na Matumizi ya fedha Yasiyofaa Kwa sababu YEYE Sera yake ndani ya Marekani ni kupata Hesabu za kiukaguzi hadi Senti ya Mwisho...
9 Reactions
26 Replies
989 Views
Kutokana na misimamo yao na kwa kauli ya Lissu ya leo ya kusema watatumia "shuruti" kuleta mageuzi, sitashangaa watawala wakaja na plani hiyo ya kuwaweka ndani mpaka uchaguzi mkuu upite ingawa...
7 Reactions
37 Replies
1K Views
Back
Top Bottom