Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wakuu Mwanasiasa mkongwe, Profesa Tibaijuka amemwambia mtangazaji wa Wasafi TV, Charles William kuwa hatakii mema baada ya kuulizwa kuhusu tathimini yake juu yake jinsi unavyokwenda.
0 Reactions
6 Replies
562 Views
Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?" Mbowe umedhalilishwa sana. Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila. Umeitwa mlamba asali...
11 Reactions
95 Replies
2K Views
NB. JK ameonekana rasimi ni adui wa Demokrasia nchini, aliamia kuchukua mamlaka ya kujimilikisha uenyekiti wa kikao na kutoa pendekezo la udikteta kwa kulazimisha kupitishwa majina ya wagombea...
1 Reactions
5 Replies
368 Views
Kwako Rais wa JMT, Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, Awali ya yote napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru Mungu kwa kutujalia kufika muda na wakati tukiwa tu wazima wa afya na kuendelea kulijalia...
0 Reactions
0 Replies
109 Views
Natoa tu angalizo Maana hata ODM ya Kenya ilijiegemeza sana Kwa Mawakili na Wanasheria ila sasa imekuwa Mdebwedo kama Matokeo ya huo ubia Happy New Year Tundu Lisu Ahsanteni sana 😄
6 Reactions
84 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Unaweza mshauri uonavyo Mimi langu nimemaliza. Tafakuri ya kina kwa wenye elimu.
0 Reactions
18 Replies
568 Views
Habari, Binafsi nlikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la Kushambuliwa Tundu lissu. Alichokifanya...
28 Reactions
151 Replies
15K Views
Mwana CCM GODFREY MALISA ameamua kusema ukweli. "Sasa hivi tayari inafahamika kwamba Chama cha Mapinduzi katika Mkutano wake Mkuu kilipitisha kwa kauli moja na kumtangaza Samia Suluhu Hassan...
7 Reactions
54 Replies
2K Views
Kwa Miaka yote ya Uenyekiti wa Mbowe CHADEMA amekuwa akifadhiliwa na Makada wa CCM katika mambo mbalimbali ya Kisiasa na hata Kikanisa Hii ndio sababu alimshukuru Mwenyekiti wa CCM Mpendwa wetu...
1 Reactions
0 Replies
58 Views
Mh Waziri Mwigulu Nchi Ina mambo mengi sana yaliyohitaji matumizi sahihi ya Brain. Katika Utulivu wa Akili na Mwili wako, hivi kweli hata ukikaa unaweza kusema una Kila sababu ya SAINI yako...
1 Reactions
9 Replies
656 Views
Tufuatilie Mbashara Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Ndg Stephen Wasira Mkoani Dodoma. https://www.youtube.com/live/dqbzX1ecfZc?si=mXnTADLSIu9MFw7X
4 Reactions
45 Replies
2K Views
Mwenyekiti mteule wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameeleza uadilifu wa John Mnyika na namna ambavyo aliendesha Uchaguzi wa ndani ya Chama. Soma, Pia: Tundu Lissu...
0 Reactions
0 Replies
208 Views
Wanabodi, Bado niko hapa mjini Dodoma, nikijivinjari katika viwanja vya Bunge kwa haya na yale. Japo mpaka sasa kitendawili cha Waziri Mkuu bado hakijatenguliwa, nimeonelea niwatajie baadhi ya...
23 Reactions
113 Replies
18K Views
Wakuu Mwanachama na aliyekuwa Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA, Odero Charles Odero amesema ile kura moja aliyoipata katika uchaguzi huo ni ya mpiga kura sio yake. Kwa maana hiyo hata...
1 Reactions
9 Replies
520 Views
My friends ladies, and gentlemen.. Ni wazi, utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM kwa zaidi ya 95% chini ya serikali sikivu ya CCM inayo ongozwa na rais kipenzi cha waTanzania wote Dr.Samia...
3 Reactions
20 Replies
441 Views
Baadhi ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilayani Makete mkoani Njombe wamezungumzia uchaguzi wa viongozi wa chama hicho taifa pamoja na namna uchaguzi huo ulivyofanyika...
0 Reactions
2 Replies
220 Views
Hicho ndicho kiwango cha nyongeza ya pensheni ya wastaafu toka serikalini! Kama mtu anapata say 100,000 basi nyongeza ni shilingi 2,000 1,000,000 nyongeza ni 20,000 Hayo ndiyo matusi kutoka...
8 Reactions
23 Replies
789 Views
Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa...
73 Reactions
479 Replies
21K Views
Emmanuel John Nchimbi alizaliwa tarehe 24 Desemba 1971 mkoani Ruvuma, Tanzania. Alikulia katika familia yenye maadili ya kijamii na kisiasa, jambo ambalo lilimwandaa mapema kwa ajili ya kuingia...
0 Reactions
0 Replies
451 Views
Duru ndani ya Kambi ya Lissu zinatabanaisha, ndugu Godbless Lema sasa anaenda ku mrithi John Mrema katika nafasi ya Msemaji wa Chama Taifa (CHADEMA). "...awali ilikuwa awe SG lakini yeye mwenyewe...
12 Reactions
61 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…