Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

SAMIA HOUSING SCHEME Mradi wa ujenzi wa nyumba kwaajili ya makazi ya Kaya (Familia) 5,000 unaotekelezwa kwa awamu wa Kawe Jijini Dar es Salaam, umekamilika kwa asilimia 78% na upo kwenye hatua...
9 Reactions
72 Replies
3K Views
Salaam. Kwa kuwa January Makamba ni mchapa kazi na anakubalika na wanachama wa Chadema basi tunamuomba achukue kadi ya chadema haraka sana ili tumpitishe kugombea urais mwaka 2020 akipambana na...
18 Reactions
134 Replies
12K Views
Anaandika Baba Askofu Rev.Dr.Benson Bagonza (PhD), Mkuu wa KKKT, Dayosisi ya Karagwe. ____ 1. Tundu Lissu siyo Donald Trump. Wanafanana ukali wa maneno lakini hawafanani ujinga wa kisiasa. Wote...
4 Reactions
5 Replies
242 Views
Mikakati ya Mbowe kumwengua Lissu kwenye nyadhifa ya vice chairman haikuwa bahati mbaya. Ilikuwa planned vizuri, na mwishowe angefukuzwa uanachama kwa hisani ya chama kile kilichofadhili kampeni...
2 Reactions
12 Replies
454 Views
Wakuu, Akiwa anazungumza leo kwenye hafla ya utoaji tuzo, Rais Samia ametangaza kwamba kwanzia mwaka kesho tuzo hizo hazitakuwa chini ya TRA lakini zitakuwa chini ya Rais. Rais Samia amesema...
0 Reactions
3 Replies
244 Views
Wanabodi, Nimesoma mahali kuhusu Kamanda Tundu Lissu kuandika barua mbili kwa IGP kuomba kuhakikishiwa usalama wake ndipo arejee nyumbani Tanzania. ..Nimesikiliza mahojiano kati ya Mh.Tundu...
35 Reactions
127 Replies
14K Views
Wanabodi, Leo nimepata fursa ya kuliangalia bunge live asubuhi hii kupitia TBC-1, Spika wa Bunge, Mhe. Anne Makinda ameshindwa kabisa kuliendesha Bunge!, amepwaya sana na ameendesha kikao cha leo...
43 Reactions
237 Replies
24K Views
Wanabodi, Leo nawaendeshea somo la kitu kinachoitwa assets and liabilities, kwenye siasa. Kwenye biashara assets ni mtaji na rasilimali na liabilities ni madeni, na hasara, biashara ikiwa nzuri...
22 Reactions
65 Replies
2K Views
Wanabodi, Juzi katika kikao cha bunge, Spika wa Bunge, Mhe. Anne Maklnda, alimtaja Mbunge wa Singida, Mhe. Tundu kama ndie Mbunge anayeongoza kuwa chanzo cha vurugu za bungeni, kwa kuongoza kwa...
59 Reactions
241 Replies
34K Views
Mwenye CV yake atuwekee ili tuichambue kwa kina isije kuwa ndio walewale akina PK na M7 2025 siyo mbali jamani na alitakalo mmarekani huwa 2020 Tundu Lissu alikuja " kibabe" sana kugombea Urais...
6 Reactions
101 Replies
5K Views
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali tuu, Ili uchaguzi wa 2020 usiwe ni igizo tuu la uchaguzi, Je tumchagize na kushinikiza Tundu Lissu ndiye asimamishwe na upinzani kumkabili John P. Magufuli...
82 Reactions
583 Replies
74K Views
Kuna mashabiki na wanachama wamekuwa wakitishia kwamba endapo Lissu hatokuwa mwenyekiti wa Chadema basi wataondoka nae kwenye chama. Wanapiga mikwala hiyo ili kushinikiza Mbowe amuachie kiti...
10 Reactions
75 Replies
2K Views
Wanabodi Msingi Mkuu wa kazi ya uandishi wa habari ni ukweli, kuwa mkweli kuusema ukweli na kuandika ukweli!. Sisi waandishi wa habari wa zamani tulifundishwa na waalimu wazungu, mimi mpaka leo...
26 Reactions
110 Replies
7K Views
Kuna taarifa zinasambaa mitandaoni kwamba familia ya kihindi ya Ladwa inatumia hati za kusafiria za Tanzania na Uingereza. Vyombo vya habari na baadhi ya watu wameenda mbali zaidi kusambaza...
10 Reactions
49 Replies
9K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge jijini Dar es Salaam leo tarehe 22...
22 Reactions
355 Replies
33K Views
Kitendo cha kujipendekezea jina lake lipite ni wazi samia kuna mtu au watu anawaogopa. Itakuwa makamba? Au akina nani wengine? Luhaga Mpina hapana huyu hakuwa na issues kwenye UraHis. Watu...
8 Reactions
25 Replies
1K Views
Ni katika sherehe za kuwakabidhi Tuzo Walipa Kodi Bora nchini Mlipa Kodi maarufu zaidi nchini ni S S Bakhresa Mlipa Kodi mkubwa ni NMB Na huyo Kijana Shujaa wa Tegeta Tukio liko mubashara...
1 Reactions
0 Replies
164 Views
Tundu Lissu - Mwenyekiti mpya CHADEMA 2025 - 2029 John Heche Makamu Makamu Mwenyekiti mpya 2025 - 2029 Hongereni sana ndugu zetu Tundu Lissu na John Heche. Pia soma Pre GE2025 - Freeman...
10 Reactions
36 Replies
3K Views
Bwana Lissu almaarufu kibaraka kwenye Kampeni zake ukiachilia mbali kuchafua wagombea wenzake pamoja na Rais ila mojawapo ya ajenda yake kuu aliyowapigia fix Wajumbe wa Chadema ni kwamba kama...
8 Reactions
165 Replies
4K Views
Nimeona hii clip, wenyeji wa huko tuambieni kama ishu ina ukweli hii? ====================================== Wakizungumza na Wawakilishi wa Mbunge wa Jimbo la Namtumbo, Vita Rashid Kawawa...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…