Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mgombea CHADEMA apigwa kinyama na Violet Tillya, Arusha MGOMBEA udiwani kwa tiketi ya Chama Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kata ya Mjini Kati, Salumu Seif Simba, amelazwa katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi hawa polisi wanaokuwa zamu, vituoni, barabarani na kusimamia vituo vya kupigia kura muda wote wanapiga kura saa ngapi na wapi? Au wenyewe huwa hawataki kupiga kura? Au CCM wanajua wakipiga...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Waliokuwa wanasema Chadema haikujipanga kwa kampeni walikosea, baada ya Zitto kusawazisha mambo nyumbani ameanza kampeni zake katika mikoa ya Pwani na Kusini kwa lengo maalum. NAIBU katibu mkuu...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Wadau, Jana lilizinduliwa tamko rasmi la wanaharakati wasio wa kiserikali - kuelekea Uchaguzi Mkuu 2010, pale Blue Pearl Hotel. Please see attachments.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu kama tutakumbuka toka mfumo wa vyama vingi uanze in 1995 kila uchaguzi mgombea uraisi wa CCM picha yake huwa ya kwanza kwenye ile karatasi ya kura, i.e far left. Je mwaka huu vyama vya...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
JAJI mstaafu wa Mahakama ya Rufaa nchini, Lameck Mfalila Patricia Kimelemeta JAJI mstaafu wa Mahakama ya Rufaa nchini, Lameck Mfalila, amewataka Watanzania kuchagua mgombea aliyethubutu...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
NEC imetangaza mikakati ya kulinda kura wakati wa uchaguzi Mkakati wa kwanza - Matokeo yatajumlishwa kisayansi majimboni na ya urais yatabandikwa kila yatakapohesabiwa - Kutakuwa na kituo cha...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
"The United States will focus our development efforts on countries like Tanzania that promote good governance and democracy; the rule of law and equal administration of justice; transparent...
0 Reactions
2 Replies
819 Views
Ningependa kuuliza wana jf,kwenye fomu za kuwania ubunge hakuna kipengele cha- jee umewahi kushtakiwa kwa kosa la jinai?nashangaa kikwete ni kiongozi wa serikali na kila siku anatamba kesi za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WanaJF nimeikopi hii mahali, Tafakari, chukua hatua KIONGOZI BWM Vs JK MWAKA 2000 -2004 Vs 2005-2009 Unga 460 Vs 1000 = 217% Mchele 600 Vs 1200 = 200% Sukari 760/kg Vs 1600/kg = 210%...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Policy Forum releases TV Spot on Mining...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Kinana anasema Dr Slaa akipunguza mishahara ya wabunge haitotosheleza matumizi anasahau kwamba kuna Methali ya Aba na Aba Hujaza Kibaba nakumbuka vizuri Dr Slaa amehahidi hata kupunguza baraza la...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari iliyoripotiwa na Sadick Mtulya kutoka Zanzibar na kuchapishwa katika gazeti Mwananchi inasema kuwa, Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi - Civic United Front (CUF)...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama ilivyotarajiwa, "ushindi wetu" wa Tuzo ya Milenia (MDG) umeshageuka mtaji kwa Serikali ya Chaguo la Mungu Jakaya Kikwete.Nimeonelea kuandika makala ya habari-picha kutoa pongezi kwake...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Dk Slaa, NEC wamshukia Tendwa Boniface Meena, Rombo na Salim Said Dar - Mwananchi TUME ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imemshukia Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa, ikibainisha kuwa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Governments both national, regional and local are some of the biggest funders of sport. Recent years have seen a number of national and city governments support the staging of sports events, and...
0 Reactions
0 Replies
886 Views
Hayo ni matokeo ya ripoti moja iliyotolewa jana.. HABARI NDIYO HIYO! CHANZO: Habari Leo UTAFITI wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Uwezo, umebaini kuwa kati ya wanafunzi 10 wanaomaliza darasa...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
....... Dk. Chegeni alisema, “Sisi tuna mtaji mkubwa, hao wasiolalamika hawana mtaji…hatuwezi kuacha ikawa taarifa ya (anataja gazeti) na Synovate. Hapa inagusa vyama na sisi tuna maslahi. Sisi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
wadau napenda kufahamishwa ni kampuni gani ita/ zita husiika ku supply, kuchapisha makaratasi ya kupigia kura.? Kampuni gani zimeshind ku supply maboksi na vifaa vingine vya uchaguzi. kampuni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tetesi na uchambuzi wa masuala ya kisiasa Tanzania: Kwa jinsi Salma na wana familia wengine wa Kikwete walivyoingia kwa nguvu kwenye siasa inasemekana kuna mchogo wa kumfanya huyu mama mashuhuri...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom