Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

:eyebrows: Prof. Lipumba anatueleza kwamba Jk hawezi taabu pale anaposema: “Mheshimiwa Kikwete namjua, nimesoma naye, tangu zamani ni mtu asiyeweza tabu [taabu], asiyependa tabu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi mama salma kikwete , mke wa Rais Jakaya Kikwete ,Rihwan Kikwete Mtoto wa Rais Jakaya Kikwete ni sehemu ya uongozi wa taifa letu? kama jibu ni ndiyo ni ibara gani ya katiba ya jamhuri ya...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Kwa waliokuwa wanatizama taarifa ya habari ya saa mbili usiku leo TBC1 bila shaka mmeyaona. Ndugu yangu Richard Ndassa alikikoroga, na mie sijapata kitu kabisa. Kanuni na sheria zasemaje...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kinacho endelea kwasasa kwenye TBC ni wazi ya kuwa CCM wanatuonyesha wazi kuwa wananchi hawatakiwi kuufahamu ukweli wa maovu wa yatendayo, kwa kitendo cha TBC kutoonyesha kampeni za CHADEMA...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Wadau...Mlimuona huyu dada jinsi Alivyozomewa baada ya kuanza kumkampenia JK..siku ya Shindano la Miss Tanzania...! I think angekuwa na Akili angeweza kuibuka hata na Taji lile ila...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimepata umaarufu mkubwa na kuandikwa zaidi na vyombo vya habari hapa nchini...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
katika zile harakati za kuhakikisha kigoda anashinda, msimamizi wa uchaguzi jimbo la muheza amebania barua ya kutupiliwa mbali pingamizi alilowekewa bw.saidi salehe mweto na mgombea wa ccm...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wadau, sasa hivi kuna kipindi kinaendelea cha mdahalo wa wagombea tarime huko Mgombea wa Chadema anaonekana kushangiliwa sana na wahudhuriaji (Mwita Mwikabe) Aliyemtangulia (Mwera) amemung'unya...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Binamu zangu wawili wanaofanya kazi serikalini hawajaona ongezeko lolote la mishahara na haionekani kama malipo ya mwezi wa tisa yatakuwa na nyongenza hiyo. Kuna yeyote ambaye anataarifa tofauti?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wengi hapa tumesoma yaliyotokea dodoma kwenye mkutano wa bilal. Jamaa alikosa watu kabisa ikabidi malori yatumike kutafuta watu sehemu zingine na kuwaleta kwenye mkutano (kwa mafungu). Hawa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwanini lawama zote apewe mama salma....kuna watu ndani ya ccm wanamtumia huyu mama unafikiri maamuzi anayo yeye?au ratiba anapanga yeye?huyu mama yeye anatumika kwa maslai ya chama lakini...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
JK claims that it is not possible to offer free education (The Guardian, 15/09/2010). Is it to tell the poor that under CCM government they should forget about better and affordable education? Is...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wanabodi, Hizi ni ilani za uchaguzi za vyama vitatu vikuu vya siasa hapa nchini, CCM, CHADEMA and CUF. Wataalam wa uchambuzi, naombeni m-compare and contrast. Attachments zinafuata.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
IMANI YA CCM • Binadamu wote ni Sawa • Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake • Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru AHADI...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kutokea kuanza kwa Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2010, mgombea urais wa CCM Mhe Jakaya Kikwete na wapiga debe wake wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kukwepa hoja zinazosababisha umaskini wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
dakika chache kabla ya JK kumaliza kuutubia Moshi uwanja wa mashujaa, Tanesco wamekata umeme. Je ni salamu kwa mjomba?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
'' Vi 'Inzi" Vilivyotangulia mitaa ya obwere ka bwana Shirati Rorya Ngome ya Mwasisi wa Mageuzi Nchini Hon Learned Mabere Nyaucho Marando (Juock Ping) vinadokeza kuwa Wananchi wa Shirati...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
CCM sasa ni ya matajiri, maskini wakafie mbele! Wengi wakimbilia Ubunge, Udiwani kuficha maovu yao Agizo la kutenganisha biashara na siasa lawekwa kapuni Na Daniel Mbega...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ilani ya CCM yadanganya Ilami ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2010 imesheheni takwimu zinazoikinzana, imegundulika. Katika ilani hiyo, ambayo anatumia mgombea Jakaya Mrisho...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Huyu ndiye mmoja wa Watanzania wa "kawaida"! - wavuti
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom