Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kama haongei anashiriki vipi majukumu ya bunge ya kutunga sheria?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika pita pita yangu sijaona matangazo wala picha za Mgombea urais wa CHADEMA na Wabunge wa Chadema kwenye Bango lolote!!! Si mijini wala vijijini. Chadema imekuwaje kwani, maana watu wa...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Kuna taarifa kuwa Synovate wapo njiani kutoa matokeo ya maoni ya watanzania kuhusiana na uchaguzi 2010. Wasiwasi wangu ni kuwa bado watatumia sampuli ya watu 1,000 - 2,000 ambapo huenda wasipate...
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Wanaendelea na kampeni zao na wamemuita Kagasheki wa CCM muwekezaji kwa miaka 5, na kwamba amefisadi mfuko wa jimbo. Watu wengi.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau, kuna yeyote ambaye anaweza kupata ratiba za Wagombea Urais- Dk. Slaa. Prof Lipumba na Kiwete? Mtubandikie hapa ili tuweze kujua lina wagombea hao watatembelea mikoa yetu twende...
0 Reactions
1 Replies
910 Views
Serikali ya kijiji CCM yahamia Chadema Na Anceth Nyahore 15th September 2010 Yumo Mwenyekiti na wajumbe wake sita Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Mwabagimu, Kata ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
nduzu zanguni kwani watanzania wote ni ccm?ukipitita barabara ya sam nujoma utakuta watu wanaweka bango katikati ya barabara,mi nauliza hizo sehemu kweli ni kwaajili ya mabango au ndio ccm...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kutoa maagizo kwa mkuu wa mkoa wa Mara, Mafuru, awaambie wana usalama wampeleke yule mjane ikulu ndogo ili amweleze shida zake ni sahihi kweli? Kwa nini asitoe maagizo kwa mwenyekiti wa UWT? Hivi...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Itakuwaje Dr Slaa asipochaguliwa kuwa rais? Agombee uspika? ili kuendelea kutetea wanyonge bungeni? Aelekeze nguvu kwenye chama ili ifikikapo 2015 Chadema kiwe imara zaidi? Najiuliza tu nini...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
HII KWANGU NI AJABU! nilichoona cha ajabu jana kwenye taarifa za habari itv,star tv na tbc1 ni kuwa.................tbc1 ilionesha kuwa mkutano wa chadema kulikuwa watu wachache saaan wakati itv...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Naomba nieleze kwa ufupi mambo muhimu yafuatayo, ambayo kama taifa inabidi tuwe serious nayo,kipindi hiki si cha mzaha kama baadhi ya watu wanavyodhani; Dr. Slaa ameeleza vizuri sana kuhusu ahadi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi NEC na Tendwa mko wapi? JK amekuwa anagawa pesa huko Tunduma kwa wapiga kura kwa kisingizio cha kusaidia walemavu, je huku sio kununua kura za hao walemavu? Sheria ya gharama za uchaguzi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Awali katika uchunguzi huo wa kina wa waandishi wetu ambao walifanikiwa kumkuta Mahimbo akiwa amejificha juu ya ghorofa, nyumbani kwa kigogo mmoja wa serikali hapa jijini Dar es Salaam...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hii hapa imeripotiwa na IPP kutoka Musoma jana. “Tangold ambayo tulielezwa ni ya serikali ilisajiliwa Mauritius na mmoja wa wanahisa ni Andrew Chenge, lakini tunaambiwa mwenye hisa anaweza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ukifuga mbwa akiuma watu njiani unashtakiwa wewe mfugaji. Sasa ukichagua viongozi wabovu, wezi na wasiojali umma wa watanzania kama inavyoonyesha, utakuwa umeshiriki moja kwa moja kuharibu nchi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Japo mie mgeni Kunako jamvini Si wa fikra asilani Hilo nataka mbaini Enyi wana wa nchi Nchi yenu i uchi Mabedui wanaisachi Toka enzi i bichi Wameishika pabaya Waichezea ka' malaya Mwasikia enyi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mkutano wa Bilal wakosa watu, Magari yakodishwa kuuokoa Fukuto la kura za maoni lingali linachemka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiasi cha kuathiri mahudhurio ya wanachama kwenye mkutano wa...
0 Reactions
47 Replies
4K Views
Hivi mwandishi gani wa TBC yuko kwenye msafara wa Dr SLAA,? maana, lipumba ameambatana na NOELI MWAKALINDILE, Kikwete amepewa pia mwandishi.Naombeni msada wenu .
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Back
Top Bottom