Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kama kura za uraisi zingekuwa zinapigwa kupitia mtandaoni na kujumuisha wapenda mtandao tu, na hasa kama JF ndio ingekuwa ni kituo pekee cha upigaji kura, basi Slaa angeshinda kwa kishindo. Hilo...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Jana nilikuwa naangalia kipindi cha usiku wa habari TBC1.Kilichonistua si kingine ni huyu mgombea ubunge wa jimbo la Mtera kupitia CCM,aliyemwangusha Mzee Malecela(TingaTinga) katika kura za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Lipumba: Kikwete amekosa umakini Monday, 13 September 2010 20:22 0diggsdigg Elias Msuya, Masasi MGOMBEA wa kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya CUF, Profesa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Utafiti uliofanyika hivi karibuni ulibaini kwamba katika vyama vitano makini Afrika CCM ni Namba moja vingini ni: Frelimo (Msumbiji), MPLA (Angola), ANC (Afrika Kusini) na chama cha ukombozi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hivi umewahi kujiuliza ni kwa sababu gani nchi ya Tanzania inazidi kudoroda katika nyanja zote za kijamii-kimaadili, kiuchumi, kiteknolojia, n.k? Ni wakati muafaka sasa Watanzania tutambue kuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
HOTUBA YA SHUKRANI YA KUTEULIWA KUWA MGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KWA TIKETI YA CHAMA CHA NCCR-MAGEUZI 1 AGOSTI, 2010 Ndugu Mwenyekiti, Ndugu viongozi wa kitaifa wa chama...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Tanzania tumeendelea. Wakati Kikwete anachukua nchi, shule za sekondari zilikuwa chache, kwa sasa ni nyingi... kila kata tanzania ina shule ya Sekondari. Hizo shule zisingekuwepo, hawa wangekuwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Angalia yafuatayo: 1. Manifesto isiyozungumzia Katiba Mpya wakati realities ziko wazi 2. Suala la Siasa za Zanzibar Vs Muungano 3. Kuchakachuliwa kura kupata wagombea wa CCM wengi wao wasio na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mimi ni mwenyeji wa wilaya ya Ludewa, mkoa mpya wa Njombe., lakini siishi huko. Wana Ludewa wenzangu, nimepata habari kuwa, mgombea ubunge aliyepita sasa aligawa kadi nyingi kwa wanafunzi wa shule...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hebu tuzungumzie japo kidogo tu kuhusu hali ya raisi wetu. Mwaka 2005 alianguka pale jangani tukapewa sababu hizi na zile. Ameenda Mwanza CCM Kirumba ameanguka tena jukwaani, sababu...
0 Reactions
249 Replies
31K Views
Mimi nina wasiwasi na mikakati mibaya ya chama tawala dhidi ya vyama vya upinzani kwa malengo ya kupata ushindi kwa njia yoyote ile. Tumewaona wagombea wa nafasi za ubunge waliopikwa na hichi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ILI kuhakikisha kwamba wanaotoa ahadi katika kampeni zinazoendelea hivi sasa wanazitekeleza, tena wanazitekeleza kwa wakati ninapendekeza kuundwa kwa kamati kuu ya kufuatilia ahadi za kitaifa na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Lile sakata la kada wa chama cha mapinduzi (CCM) Hussei Bashe kuenguliwa katika nafasi ya kugombea ubunge katika jimbo la Nzega mkoani Tabora kwa kisingizio kuwa si raia ,limechukua sura Mpya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wana-jamvi, Nimesoma vichwa vya habari na kuona mahali Dr. Slaa anashauri wanasheria wa Chadema wamfungulie mashtaka mke wa Rais. Huko Zambia yafuatayo yametokea - nimenukuu kutoka gazeti la...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
NIMEFUATILIA kwa karibu mwenendo wa kampeni za uchaguzi mkuu wa rais, bunge na madiwani nchini, utakaofanyika Oktoba 31, mwaka huu. Licha ya kusimamiwa na sheria, kanuni, utaratibu, bado kuna...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi Muungwana alianguka tena jukwaani huko Sengerema na Mbeya? Hii ilifichwa bila shaka, ingawa siamini iwapo inawezekana kufichwa! Hebu someni sehemu hii ya makala ya Tegambwage katika...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Wanabodi, Katika mapumziko ya long week-end hii, nilipata kajinafasi, nikaamua kubadili upepo, this time, nikaenda mitaa ya Moshi Vijijini, Nilianzia Njia Panda, nikapandisha Marangu, nikasimama...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Adai analindwa na jini Subiyani. Jamani huku si kumdhalilisha Slaa, kwa kumfanya kwenye jamii yetu aonekane ni MSHIRIKINA? Ushauri wangu wa bure kwa SHEIKH... ni bora aingie rasmi kwenye kampeni...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Mgombea wa urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrid Slaa, akilakiwa na wananchi wa mji wa Bunda, alipowasili katika Uwanja wa sabasaba mjini huomo jana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
I usually devote some of my time to considering issues beyond my professional identity but today I am departing from that practice to address a very personal matter. I do so following the most...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom