Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Vijana "CCM" wamwogesha mwenzao Chadema - Habari Leo. KUNDI la vijana tisa wanaosadikiwa kuwa wafuasi wa CCM mjini hapa, wanadaiwa kumvamia kijana mkereketwa wa Chadema na kumvua nguo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Dk. Slaa, Sitta kuvaana ruksa - Makamba na Irene Mark KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Makamba, amerudia kauli yake inayowazuia wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya chama...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Ijapokuwa MRAMBA, ana kashifa kubwa ya matumizi mabaya ya uongozi, jk amempigia debe B MRAMBA, achaguliwe tena kuwa mbunge wa ROMBO, JK alikuwa anampigia debe MRAMBA, leo katika mkutano wa siasa...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Baada ya Baba wa Taifa Mwalimu J. K. Nyerere kusoma alama za nyakati na kuelewa kuwa kwa uwezo wake wa kibinadamu aliweza kuwafikisha Watanzania mahali alipowafikisha...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
CCM: Slaa illegally named president By Gadiosa Lamtey 16th September 2010 CCM campaign Manager, Abdurahman...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
NAAPA huu ndio muda wa kulishwa ahadi hadi tunajiona pepo ikitusogelea. Nasema kama kila kinachosemwa kitatekelezwa mbona Bongo itageuka pepo mwanangu? Kama kila ziwa kubwa hapa nchini...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nilishangazwa sana na kitendo cha Nakaaya kuamua kukabidhi kadi ya CHADEMA kwa Mwenyekiti wa CCM ambaye pia ni mgombea urais kupitia chama hicho. Nakaaya kwenye Magwanda ya CHADEMA nilikuwa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Haki ya nani mimi siwezi chagua Prezident mzembe namna hii. teh tehe tehe...........!!!!!!!!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kumekuwa na ubishani mitaani kama kweli ahadi ya CHADEMA ya kutoa huduma za jamii kama elimu bure inawezekana.Hilo linawezekama bila ya shida yoyote kupinga ni uvivu wa kufikiri kwa baadhi yetu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
CUF yaomba fedha za kampeni kwa mafisadi? Kuna tetesi kuwa Mbunge wa kuteuliwa wa Chama Cha Wananchi (CUF), Ismail Jussa, wiki hii amekutana na mtuhumiwa mkubwa wa ufisadi hapa Tanzania, Yusuf...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hi wana jimii kwa mara ya kwanza najitokeza kwenye jukwaa la uchaguzi 2010 nimeona nianze kwa kuwakumbusha vijana wenzangu zile kadi siyo za kufungulia account za benki tu lakini 31 october...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jana Niliona kwenye TBC1 wakati Viongozi wa Chadema Wakihojiwa ( Prof. Baregu na Mabere Marando). Katika uchambuzi Prof. Baregu aligusia point moja kuu sana ambayo nadhani inachangia sana kwa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
MGOMBEA ubunge wa jimbo la Mbeya Mjini kwa tiketi ya Chadema, Joseph Mbilinyi amewaahidi wananchi wa Mbeya kuwa endapo atachaguliwa kuwa mbunge atahakikisha serikali inaweka bandari ya nchi kavu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Baada ya masha kumdhalilisha kikwete kuhusu uraia wa bashe, spika sita naye ameongeza zaidi.amedai kuwa dr.slaa ni saizi yake,wawe na mdahalo na wamuache kikwete afanye kampeni tu. Tunajua...
0 Reactions
53 Replies
6K Views
CCM wavamia mkutano wa Dk Slaa Friday, 17 September 2010 07:31 0diggsdigg Katibu mkuu wa CCM Mr Yusuf Makamba Tumaini Msowoya, Iringa na Boniface Meena, Bariadi WAFUASI wa CCM jana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Napenda kuushauri uongozi wa CHADEMA watenge kama shilingi milioni 12 na kuweka matangazo yasiozidi dakika moja kwenye redio angalau tatu. Matangazo hayo kwa kila redio yatangazwe angalau mara nne...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau ule ushirika wa Zitto na Kafulila katika kampeni uko vipi huko Kigoma??? Coz ilivuma sana katika media then, but naona imekuwa kimya sana. Mwenye taarifa na atujuze kinachoendelea eti...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa Ilani ya CCM inadanganya 15 September 2010 ILANI ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2010 imesheheni takwimu zinazokinzana, imegundulika. Katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimekuwa nikisikia minong'ono ya chini chini ambayo sasa imeanza kupazwa sauti na wagombea wa CCM kuwa ahadi za mgombea urais wa Chadema, Dr W Slaa, ni za uongo na hazitekelezeki. Kuna watu ambao...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Ingelikua nimeambiwa, wala singediriki kuyasema haya, lakini kumbe ni uongo? Kwanza, JK ametamka jana kwenye kampeni mkoani Kilimanjaro kwamba Serikali imefanikiwa kuwapeleka watumishi 47 wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom