Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

kauli mbiu iliyoandikwa ktk mabango ya mgombea wa chama cha mafisadi CCM.. aaah samahani jamani wana JF, CHAMA CHA MAPINDUZI, hivi hii kazi ,Ari zaidi, ni kitu gani kasi zaidi wanakokimbilia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Akimnadi Lowassa, Rais Kikwete alisema, “huyu ni mtu anayewapenda sana, anawahangaikia sana, haya yote (mafanikio) yanayosemwa sasa yametokana na juhudi zake…hakuna mwakilishi mzuri kushinda...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ujenzi wa Barabara ya Babati - Hanang ukiendelea.
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Jipangeni ndugu.2020 maana sasa mmechelewa.Huwezi kutumia tobo dogo moja kuingia ikulu.Unahitaji mlango mkubwa.Jifunzeni toka kwa Wycliff Jean.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Several years ago I wrote an article in the local press that put forward a simple hypothesis: If it is true that whatever is taken to the marketplace is for sale and that what is for sale, for the...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Lisu akoroga msafara wa Slaa Monday, 06 September 2010 20:13 Salim Said, Singida MGOMBEA wa kiti cha ubunge wa Singida Mashariki kupitia tiketi ya Chadema, Tundu Lissu, amevuruga msafara wa...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
JK amnadi Profesa Maji Marefu Korogwe vijijini leo JK akimnadi mgombea ubunge wa CCM kiti cha Korogwe Vijijini Bw. Stephen Ngonyani maarufu kama Profesa Maji Marefu mchana huu katika kijiji...
0 Reactions
137 Replies
20K Views
MBIO za Mwenge wa Uhuru zinazoendelea katika mkoa wa Shinyanga, zimeingia dosari baada ya baadhi ya wakimbiza mwenge huo kitaifa kuonyesha wazi wazi kukipigia kampeni Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna mkutano wa cuf nyakanyasi.ila kuna watu wachache kama 50.
0 Reactions
0 Replies
919 Views
Thursday, 09 September 2010 Waandishi Wetu MGOMBEA urais kupitia CCM, Jakaya Kikwete ameviponda vyama vya upinzani akisema kuwa huibuka wakati wa uchaguzi tu, ukimalizika vinayeyuka. Kauli...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
kwenye taarifa ya habari TBC1 leo nimemuona mzee Makamba anaropoka kama kawaida yake alisema: wanataka mdaharo ila lazima wajue niwatugani wanaenda kukutanao yaani siku ya mdaharo, maswali yapi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
By Patrick Kisembo 17th September 2010 Email Print Comments CCM presidential candidate Jakaya Kikwete CCM presidential candidate Jakaya Kikwete has directed leaders in...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu leo Mheshimiwa J Kikwete anatarajiwa kufanya mkutano wa kampeni mjini Arusha muda wa saa 10 jioni kwenye uwanja wa kumbukumbu ya Sheckh Amri Abeid.Tayari shamra shamra za mkutano wake wa...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Jana katika kipindi cha 'This week in Perspective' kinachorushwa na TBC1, mwezeshaji wa kipindi alikuwa anawahoji Prof. Rweitama (UDSM), Maria Shaba (freelance journalist), Dr. Kitine (kada wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tanzania.....Tanzania....Nakupenda kwa moyo wote! Tanzaniaaa Tanzaniaaaa, nakupenda kwa moyo woooteee, Nchi yangu Tanzaniaaaa Stori zako ni tamuu saanaaa!! Nilalapo namwaza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
I hope kuna wanatakwimu hapa.Hivi sample space gani ni nzuri kuonyesha kura za maoni kuhusu jambo katika jamii fulani???:violin:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau... hatuna budi kutenda haki.... tutembelee hapa kampeni za Dk. Ali Mohamed Shen Zanzibar mwaka huu. Dk. Ali Mohamed Shein - Tovuti Rasmi ya Kampeni ya Urais wa Zanzibar 2010
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Watu wengi wamekuwa wakitilia shaka sana kwamba elimu bure mpaka form six haiwezekani! Ninajua kwa viongozi wa ccm wanaomaliza muda wao wa kutawala mwaka huu wanalijua hilo, kwamba elimu bure...
0 Reactions
96 Replies
6K Views
Vile vile Dokta Slaa, alisema Rais Kikwete amevunja rekodi ya kudanganywa kuliko marais wote duniani katika miaka mitano iliyopita. Alisema mwaka mwaka 2007, JK alifungua mradi hewa wa maji huko...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom