Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

MAJIBU dhidi ya mke wa Rais Jakaya Kikwete anayokabiliwa na tuhuma za kutumia fedha za serikali katika kampeni limekanushwa na kutolewa ufafanuzi na chama hicho...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Please, kuna anayejua matokeo ya Kura ya Maoni yanayotarajiwa kutolewa hivi karibuni na Kampuni ya Snovate (zamani Steadman)? Nani anaongoza kura hii ya maoni baina ya wagombea urais wa Jamhuri ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna ule ukweli kwamba DAMU nzito kuliko maji ambao ndio hasa unambeba mtanzania hyyu ambaye ameandamwa na kila aina ya harufu ya ufisadi na ujambazi wa mali za umma. Kwanza kwa kulazimika...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
katika hali inayoonyesha kuwa kuingia kwa Dr. Slaa katika uchaguzi wa mwaka huu ni pigo kubwa kwa CCM na Kikwete, CCM wanahaha kutafuta ushindi ambao wanadhani unaweza kuwaponyoka wakati wowote...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Jana nilikuwa mitaa ya Sinza Kumekucha,nilikuwa napita nikakuta wana CCM wako kwenye Kampeni,na mgeni wa heshima alikuwa Hiza Tambwe,kwa hakika nilishangaa kuona vijana wengi wahuni wasichana kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Revealed: The secret of victory votes to Ikulu By Guardian on sunday team 19th September 2010 Email Print Comments About ten regions holds crucial key to decide who...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Urambo Mashariki, Tabora, kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samuel Sitta, ameelezea kushangazwa na kauli za baadhi ya wagombea wa vyama vya upinzani kwamba...
0 Reactions
62 Replies
6K Views
Mgombea urais wa Ccm amekuwa akifanya mikutano ya kampeni sehemu mbalimbali nchini. Mikutano hiyo imekuwa ikifanywa ionekane mikubwa sana kwa kusomba watu kwa mabasi na malori kutoka sehemu za...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Mark Mwandosya Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Mark Mwandosya, ameainisha sababu kadhaa za kumpigia kampeni...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
na Tamali Vullu, Mbulu MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete, amesema serikali yake ijayo itazipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini ziwe za rufaa, ili...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
wakati kampeni zinaendelea kupamba moto mpaka sasa hatujawasikia Mkapa, Mwinyi, Msuya, Warioba na Sumaye wanampigia kampeni Kikwete....kuna tatizo gani? au ndo wamemtosa? Nyerere alimsaidia sana...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ninasikia vyuo vingi vya Tanzania hasa vikuu vitafunguliwa baada ya uchaguzi except SAUT ambao wanafungua kesho. Implication I. Vijana waliojiandikisha maeneo ya vyuo wasipige...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimemesoma kwa masikitiko makubwa kuwa wananchi wa monduli wataendelea kumchagua lowasa kwa sababu amewaletea maendeleo makubwa katika jimbo lake. Kwa mtazamo wangu naona hii inaonyesha jinsi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kampeni zamng’oa Mkurugenzi Arusha Harakati za uchaguzi mkuu jimbo la Arusha, sasa zimechukua sura mpya baada ya kuhamishwa ghafla Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Raphael...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Katika hali isiyotarajiwa na inayotia shaka Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chadema Ndugu Godbless Lema amekutwa Bar akiwa amekaa na viongozi wa andamizi wa Chama Cha Mapinduzi katika Bar ya Family...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Uchaguzi wa Mwaka huu hautaleta mabadiliko makubwa kwenye ngazi ya Raisi na hata Wabunge na Madiwani pamoja na kwamba hapa JF panaonyesha kuwa watu wanamwamko mkubwa wa mabadiliko. Nikiangalia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu kesho Dr W Slaa atakuwa na mikutano miwili jijini Arusha.Mkutano wa kwanza utaanza saa nne asubuhi Mbauda sokoni na mwingine utafanyika saa tisa Kijenge. Dr W Slaa ataambatana na makamanda...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Kwa kweli kuna mwamko na hamasa kubwa baada ya ujio wa Dr Slaa.Kwa sie tulio mbali na huko nyumbani kipimo kidogo ni comments katika tovuti za magazeti na nyinginezo.Binafsi nimekuwa nikifuatilia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Siku ya jumanne tarehe, 21/9/2010, DR SLAA, anatarajia kuhutubia wakazi wa tarakea, na kutumia uwanja wa shule ya secondary Tarakea, ambao uko zaid ya kilomita 3, kutoka tarakea mjini, tangazo...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Mwaka wa huu wa uchaguzi tume ya taifa ya uchaguzi inakuwa na bajeti iliyopitishwa kughaimia uchaguzi katika kila jimbo Je wastani wa gahrama ya uchaguzi kwa kila jimbo ni shilingi ngapi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom