Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Katika gazeti la Mtanzania 21/09/2010 imeandikwa kwamba Mama Salma amesikitishwa na kuangushwa kwa Mwantumu Mahiza, Naibu Waziri wa elimu. Kwenye Majira 21/09/2010 Mama Salma anasema kuwa WAMA...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Napongeza jitihada za Chadema, kwenye kampeni zao za uchanguzi, Watanzania tumekuwa tukifuatilia maoni na mapendekezo ya Watanzania wanaopenda mabadiliko ya uongozi wa taifa letu. Hali kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hawa jamaa matangazo yao wanafagilia chama tawala tu
0 Reactions
22 Replies
4K Views
This will happen on sunday 31st October, 2010 whereby CCM will be burried at the NEC Cemetery. You are all welcome to say a word of goodbye to our neighbour!!
0 Reactions
0 Replies
691 Views
WanaJF, nimegundua kuwa ni CHADEMA na vyama vingine vya upinzani ndiyo vinasema kuwa vikipata madaraka vitapiga vita ufisadi. Je ni kwa sababu CCM imejaa mafisadi wengi?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
The secret of victory votes to Ikulu Revealed: The secret of victory votes to Ikulu By Guardian on sunday team 19th September 2010 However, according to our analysis, Dodoma, Tanga and...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nkwazi Mhango anauliza hivi: "Hivi Kikwete angejibu nini kama angeulizwa [kuhusu] chanzo cha fedha zinazomwezesha mke wake kumpigia kampeni...?" Source: MwanaHalisi, Septemba 15-21, 2010...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Look at this foolishness....
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ulimi wamponza Yusuf Makamba • wakazi Kariakoo wadai amewadhalilisha • Washinikiza aombe radhi, ajiuzulu Kauli iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bw Yusuf makamba...
0 Reactions
56 Replies
6K Views
Mchumba wa Dk. Slaa, Josephine, akisalimia wananchi wa Karatu mkutanoni, juzi Alhamisi. Dk. Slaa hatumii shangingi. Hiki ndicho kipanya anachotumia katika ziara zake za kampeni. Katika picha...
0 Reactions
25 Replies
8K Views
jamani tumsaidie kikwete kama binadamu mwenzetu kwa nia nzuri tu juu ya mwenendo wa kampeni za uchaguzi na uhuni wanaomfanyia wenzake/timu yake ya kukusanya watu kwa malori,kuwapa elfu hamsini...
0 Reactions
2 Replies
38K Views
Wananchi wenzangu kuna suala nahitaji tuliangalie kwa uzito wake; je ktk uchaguzi wa mwaka huu wafungwa watapiga kura kuchagua rais, wabunge na madiwani? Mwanzoni mwa mwaka huu nilibahatika...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa amedai kwamba wale wasiorudisha Fomu za Gharama za Uchaguzi hawataongezewa muda na wataondolewa katika kujihusiha na uchaguzi! Kazi ipo mwaka huu, wagombea...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Team, I have been going Through a lot of Blogs around and am Seeing almost 90% are covered by green and yellow news!! Has anyone else noticed this?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nimeelezwa na jamaa aliyekuwapo uwanja wa mashujaa Moshi katika kampeni za JK Moshi kuwa hali haikuwa kama picha zilizoonyeshwa TBC1 ktk taarifa za habari. Ukweli ni Kuwa CCM walitangaza kuwa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Mwenye kujua kusoma gonga hapa KULIKONI UGHAIBUNI: CHAGUO LA MUNGU: "Mafanikio" ya Kikwete 2005-2010 Katika Picha.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
WanaJF tarehe 01/09/2010 Television ya CCM (CCMTV) au kwa kifupi TBC1 muda wa kuanzia saa 3 usiku warusha kipindi maalum "utendaji wa Jeshi letu" kabla ya hapo serikali ilitoa taarifa kuwa tarehe...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tufikiri upya na kwa makini zaidi. Nadhani ni wakati mwafaka sasa tukae na kujiuliza kama mtu/chama kinaweza kuwa madarakani kwa miaka mingi na mtu ukasema hakijafanya chochote.Kujifunza nini...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
katika mkutano wake wa kampeni huko Arusha Dr. Slaa ameahidi kuunda baraza la dogo la mawaziri ambao hawatazidi 20 ukichanganya na manaibu wao, wizara zitakuwa kama ifuatavyo: 1.fedha na uchumi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani, baada ya kasi mpya, nguvu mpya kushindwa, sasa waja eti na kasi zaidi, 'maisha bora' yaliposhindikana, wakaona walete 'kilimo kwanza'. sentesi hizi sizielewi kabisa, bora waseme ufisadi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom