Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mheshimiwa Susan Kiwanga na wenzake Monica Nsaro na Aisha Luja wameshindwa kurithi nafasi ya Halima Mdee ya mwenyekiti wa BAWACHA kitaifa. Kwa msingi huo, Sharifa ambaye ni kama makamu mwnyekiti...
12 Reactions
114 Replies
11K Views
Kwa akili kubwa kama za Lissu unapelekaje aina hii ya waendesha vipindi vya burudani (sio Waandishi wa Habari) kumhoji? Mtu kahojiwa BBC Hard Talk tena kwa lugha ya Kiingereza utamuweza wewe...
17 Reactions
53 Replies
2K Views
Wakuu, Mambo yanaendelea kuwa moto. Godbless anasema kuwa tuhuma za kwamba yeye na Lissu walikuwa wanataka kumpindua Mbowe kupitia kampeni ya Join The Chain ni za uongo kwani Mbowe pia...
17 Reactions
74 Replies
3K Views
Nimemsikia Tundu Lissu akidai Mbowe alipotoka jela alibadilika kalamba asali!, Mbowe mstaarabu sana aisee jamaa anampaka vibaya sana hata kwenye mdahalo. Najiuliza hivi, yeye aliporudi nchini...
2 Reactions
20 Replies
620 Views
Kila anayepingana na mtizamo wa Yeriko Nyerere anaonekana kama siyo mwadilifu na hana nia njema na chadema. Yeriko anaamini anavyotambua yeye kampeni zilipaswa ziwe na elementi ya heshima kwa...
4 Reactions
5 Replies
169 Views
Alianza Lisu kuchukua fomu na kutoa hoja zake ni nini atakifanyia chama endapo atachaguliwa , Mbowe katoka hadharani na kudai kuwa Lissu anamtukana. Amekuja John Heche , pamoja na kueleza mbele...
2 Reactions
2 Replies
111 Views
Hawa jamaa chama chao hakijatulia kwa kiwango cha kupewa nchi au wabunge. Ndani kimeoza, kina vita, fitna, mapambano, husda. Mbowe alijaribu kuonyesha mambo yako sawa kwa busara zake kabla...
3 Reactions
20 Replies
268 Views
Tundu Lissu amesema ni kweli aliishi Nyumba aliyopaswa kuishi KUB lakini kwa sababu Mbowe alikuwa na Nyumba nyingine tulimwomba Katibu mkuu Dkt. Kashilila Nyumba hiyo ilaliwe na Kiongozi mwingine...
8 Reactions
87 Replies
2K Views
Natambua kwamba wapo wagombea wasiotaka kushindwa ndani ya chadema. Wanaweza wakawa upande wa Mbowe na wengine upande wa Kisu. Ili kuwatakia safari njema nje ya CHADEMA na kuwafanya watafakari...
0 Reactions
0 Replies
152 Views
1. Bongo hakuna mkate mgumu mbele ya chai "pesa". 2. Hizi "harakati uchwara" ni njaa tu. 3. Likiwekwa dau mezani kila mtu anawaza TUMBO lake.
5 Reactions
60 Replies
1K Views
Tundu Lissu anasema siyo Kweli kwamba Mbowe ndio amemuonya kisiasa Kwa sababu 1995 wote Wawili waligombea Ubunge majimboni mwao Lisu akiwa NCCR Mageuzi na Mbowe akiwa Chadema Lissu anasema YEYE...
0 Reactions
0 Replies
185 Views
DP world ilianza kama ubuyu means tetesi na walioongoza huo ubuyu walikuwa wana habari. Walikaa kiti cha uzalendo wakidai wanawatetea wanyonge kumbe wanalo jambo nyuma ya pazia. Mhe. LEMA yupo...
2 Reactions
0 Replies
211 Views
Habari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia. Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka. Baada ya Maongezi ya muda...
18 Reactions
161 Replies
8K Views
Kwa hali ya uhasama ilipofikia baina ya wagombea wenyewe, lakini pia hali ya uhasama na uadui wa kweli kabisaa baina ya wafuasi wa wagombea uenyekiti wa Chadema Taifa. Posho na malipo ya kujikimu...
1 Reactions
28 Replies
670 Views
Mpaka kieleweke hapa ni Bampa to Bampa hatimaye Godbless Lemma kumjibu Ezekiah Wenje “Jana nilipoamka niliona tweet ya Mnyika na jana Waandishi mlikuwa na Wenje na nilimsikia, niliona...
9 Reactions
53 Replies
3K Views
Ni rahisi sana KUIHUBIRI Demokrasia lakini ni ngumu sana kuiishi Kuna watu ndani ya CDM ni WAZURI sana wakiwa WANAONEWA kidemokrasia lakini ni wa HOVYO sana wanapotakiwa kui PRACTICE demokrasia...
2 Reactions
14 Replies
461 Views
Mgombea nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Tundu Lissu, jana katika mdahalo uliorushwa na Star TV ukiongozwa na mwandishi wa habari Chief Odemba. Alisema kuwa anaikubali dhambi ya kushiriki...
1 Reactions
8 Replies
331 Views
Inasikitisha sana kuona aliyekuwa kijana ambaye tulitegemea awe mzalendo ndiye alikuwa akichangisha fedha ili kuhudumia kampeni chafu ya kumchafua Magufuli kimataifa. Kukiri kwake kunaongeza...
3 Reactions
13 Replies
475 Views
Jana usiku kulikuwa na mdahalo kwa wagombea wa Uenyekiti wa CHADEMA Taifa ili kunadi sera zao na wapiga kura kuwapima kama wanatosha kushika nafasi hiyo. Katika mdahalo huo mgombea muhimu sana...
1 Reactions
4 Replies
362 Views
Back
Top Bottom