Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Pamoja na CCM kuwa chama dhaifu kinachotegemea dola na uhalifu kufanya siasa zake, lakini tena bado CHADEMA imekipasua chama hicho kati kwa kati. Mwaka 1995 wakati NCCR - Mageuzi kilipokuwa...
16 Reactions
58 Replies
2K Views
Wasira au Lwaitama ni watu ambao hawana tamaa kutokana na umri wao. Wana hekima, tofauti na Lissu ambaye muda mwingi anazurura akitukana kila mtu barabarani. Hongera CCM
1 Reactions
6 Replies
267 Views
Alianza Lisu kuchukua fomu na kutoa hoja zake ni nini atakifanyia chama endapo atachaguliwa , Mbowe katoka hadharani na kudai kuwa Lissu anamtukana. Amekuja John Heche , pamoja na kueleza mbele...
1 Reactions
9 Replies
319 Views
Huu ni mtazamo wangu binafsi wa mtu anayefaa kupokea kijiti Cha Komredi Kinana kama makamu mwenyekiti mpya wa CCM Taifa. Kwanza, CCM inahitaji Mzee wa mafaili kama alivyokuwa Mzee Mangula. Kwa...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Baada ya kumsikiliza Tundu Lisu Kwenye Mdahalo wa jana nimejiridhisha Lisu ni Chaguo la Mungu Katikati ya upinzani mkali Kutoka Kwa Mbowe na Wapambe wake Lisu anamtetea Freeman Kwenye mambo...
21 Reactions
65 Replies
2K Views
Mahinyila, ambaye ni muumini na mfuasi wa Sera za Lissu, ameshinda na kutangazwa ndiye Mwenyekiti wa Bavicha Taifa. Wakati wa kutangazwa Kwake, mamia ya Wana Bavicha wameinuka na kuimba kwa...
10 Reactions
41 Replies
3K Views
Hili liwe angalizo kwa vijana wa CCM wanaokesha mitandaoni kutetea wanachokiita chama chao, lakini kumbe chama kina wenyewe. Sasa ni dhahiri kwamba watu ambao kwa miaka mingi wameiponda CCM...
60 Reactions
395 Replies
44K Views
Hii nchi kumbe ina ofisi nyingi namna hii na hamsemi leo ndo nimejua kama kuna hii ofisi ya usalama Serikalini ambayo wajibu wake ni kutoa elimu kuhusu kanuni za usalama Serikalini kwa watumishi...
3 Reactions
79 Replies
13K Views
Wakuu, Tumeona CCM walivuohangaika na mkutano wao kuhakikisha unafana na kuwa talk of the town lakini bado kumedorora utafikiri hawajabeba wasanii wote Tanzania mpaka Kongo :BearLaugh...
3 Reactions
8 Replies
312 Views
Godbless Lema wiki hii ametamba kwamba anaweza kuitisha press conference hata usiku wa manane kukanusha na kuelezea mambo mbalimbali. Katika mambo ambayo Lemma katuhumiwa muda mrefu ni wizi wa...
11 Reactions
70 Replies
987 Views
Katika kinachoitwa uchaguzi wa CHADEMA kwa watu wenye akili zinasikika zaidi kelele kuliko hoja makini na zenye kufikirisha. Viongozi wa CHADEMA wamedhihirisha kuwa wengi ni watu wanaookotana tu...
0 Reactions
0 Replies
102 Views
Kwanini wagombea urais wanapenda sana wafahamike kwa wananchi mapema zaidi hata mwaka kabla ya uchaguzi lakini ni marufuku kwa watia nia ubunge na udiwani kuonyesha nia zao? Hali hii ipo kwenye...
0 Reactions
0 Replies
123 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Samia Suluhu Hassan atoa onyo kali kwa watia nia kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 walioanza kufanya kampeni za mapema kabla ya muda. Msajili wa vyana...
0 Reactions
9 Replies
451 Views
Wandugu Habarini... Nimepata Tashtwiti Ya Kuandika Leo Juu Ya Humphrey Polepole Baada Ya Kutafakari Kwa Kina. Ni Wazi Hakuna Mpenzi Wa Siasa Za Tanzania Asiyemjua Huyu Jamaa. Naweza Sema Kwa...
3 Reactions
5 Replies
313 Views
CHADEMA NA WAKENYA MNAMASLAHI GANI NA VURUGU ZA NGORONGORO? Wamasai wa Ngorongoro wamesikitishwa sana na vitendo vya CHADEMA Kuchochea vurugu Wilayani Ngorongoro Katika kata moja ya Enduleni...
2 Reactions
6 Replies
543 Views
Deo Mahinyila Mwenyekiti mpya wa Bavicha ameanza na mguu mbaya ndani ya Chadema mara baada ya ushindi wake. Mahinyila aliyejipambanua kwamba anamuunga mkono Tundu Lissu kwa siku 2 alizokaa...
5 Reactions
43 Replies
2K Views
Naona kama mna mdharau sana Mbowe kudhani ni mjinga kiasi cha kukubali mdahalo na T.Lissu. Hilo hatuwezi ruhusu Chama Cha Mapinduzi na Serikali haiwezi ruhusu. Kisha na Chadema nayo itakataa na...
2 Reactions
6 Replies
293 Views
Ni kama vile hapa Dodoma CCM Wana Imani mh Freeman Mbowe atashinda kule Chadema ndio sababu huu Mkutano mkuu wa CCM uko Sawa na Ule wa Chama Cha Kikomunisti Cha China Akishinda Lisu hizi swagger...
3 Reactions
2 Replies
152 Views
Nje ya box. Hii kwa wenye akili tu. Soma Paul Makonda: Gambo usitake umaarufu wa kijinga, uwe unahudhuria vikao vya maendeleo Mkoa wa Arusha Inaonekana hata CCM kuna moto unawaka chini kwa chini...
0 Reactions
1 Replies
269 Views
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa! Najitokeza tena kumshauri...
42 Reactions
104 Replies
3K Views
Back
Top Bottom