Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

FREEMAN AIKAEL MBOWE (Borntown) Ana huruma kiasi,anasikiliza shida za wanachama wake,ila hapendi mtu mwerevu kupita kiasi,yaani usivuke mipaka.mtaji wake ni wanachama Waandamizi yaani...
4 Reactions
10 Replies
411 Views
Wapendwa habari? Naangalia hapa kupitia ZBC Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Daktari Hussein Ali Mwinyi akiwa Kiwanja cha Kufurahisha Watoto Tibirizi Pemba. Mh. Raisi...
4 Reactions
47 Replies
3K Views
Naomba kunukuu Para A1 (21) ya Standing Orders ya 2009 kama kanuni za kudumu za Utumishi wa Umma........inasema "District Administrative Secretary" means a public servant in-charge of...
55 Reactions
249 Replies
65K Views
Bado haijabainika wala haijawekwa wazi kwamba ni sehemu gani ya katiba, sheria au kanuni za uchaguzi zilizokiukwa, lakini tayari mchakato wa kumuita na kumpeleka mbele ya kamati mahususi juu ya...
2 Reactions
61 Replies
1K Views
Chadema ina wafanyakazi 17 tu wanaolipwa mishahara Sasa Ruzuku ya Serikali na michango ya wanachama inakwenda wapi? Safarini Dodoma 😂😂
2 Reactions
8 Replies
336 Views
https://youtu.be/3F8yBt6lrOY?si=stTHOPf0ioqfr114 Huyu dada ndio mtu pekee anaweza kuziba pengo la Halima Mdee pale BAWACHA. CHADEMA itumieni vizuri hii tunu mliyopewa na Mungu, Dada anaujasiri...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Watu kama Tundu Lissu wana nafasi yao ndani ya vyama vya siasa. Machachari ya Tundi Lissu yanafaa sana kuibua hamasa kwa wanachi. Si mmeona CCM wamepotea kwenye anga tangu kinyang'anyiro cha...
4 Reactions
23 Replies
453 Views
Salaam Wakuu, Ni aibu kubwa mbele ya Dunia kuna Misafara ya Viongozi wa Tanzania inavyokuwa Mikubwa. Magari Zaidi ya 300 yanamfuata Mtu Mmoja tu. Magari ya Ulinzi sina tatizo nalo, ila magari...
5 Reactions
3 Replies
456 Views
Kama uchaguzi wote unasimamiwa na chama, huu mchango unalenga nini kama si rushwa? Chama kimelipia uchaguzi wote. Pesa hii haitamika kuhonga wajumbe na kusambaza propaganda dhidi ya chama?
0 Reactions
20 Replies
417 Views
Nilisikia kuna watanzania waliopewa dhamana kusimamia rasilimali za nchi walio gawa rasilimali zetu ikiwemo bandari zetu kwa wageni bila ushiriki wa wananchi Wanasema heti sababu ya kugawa...
0 Reactions
4 Replies
193 Views
Miaka 21 Mwamba Mbowe anazunguka tu Ukuta wa Yeriko bila Kutenda maajabu yoyote Sasa ni lini huyu Mwamba anadhani atawavusha Hawa wanaomwita Alfa na Omega? Mlale unono 😄
0 Reactions
3 Replies
95 Views
Nadhani mbowe alijidanganya na kujiona kua yeye ndo mwenye sauti ya Mwisho Chadema na kujiona yeye ndo mpanga safu ya uongozi ndani ya Chama kuanzia ngazi ya chini mpaka Juu Yani unataka...
8 Reactions
16 Replies
560 Views
“Unawezaje kwenye meza kuu Mwenyekiti unakaa na manaibu Katibu wakuu wawili ambao wake zao ni sehemu ya wabunge 19 waliopo bungeni, halafu Msigwa akawa hatari, mimi niliongea Mtwara kuwa wanapaswa...
35 Reactions
133 Replies
8K Views
FREEMAN MBOE Kwa viongozi wote wa Baraza la Wazee na Baraza la Vijana waliochaguliwa, hongereni kwa ushindi wenu! Bidii yenu katika harakati zetu imekuwa msingi wa mafanikio haya, inayowapa fursa...
0 Reactions
2 Replies
364 Views
Kuelekea uchaguzi mkuu nitoe wito kwa CCM kusimamisha mgombea ambaye watanzania wa chama hicho wata mchagua kuwakilisha chama mwenye hoja, mwenye uwezo na maono bora sio mnapitisha mtu kwa...
0 Reactions
11 Replies
449 Views
Miongoni Mwa Mafanikio Ya Mheshimiwa Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan Katika Wilaya Ya Ilala - Ujenzi wa Barabara Ya Mwendokasi; Katika Uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Kumetekelezwa Ilani Ya...
1 Reactions
0 Replies
125 Views
Kama kuna vitu vya kipuuzi, kijinga na kipumbavu basi ni uwepo wa mikakati madhubuti kutoka kambi zote mbili zinazovutana sasa (Mbowe na Lissu) kutengeneza mikakati tofauti tofauti wa kuwarejesha...
5 Reactions
20 Replies
758 Views
Hayati Magufuli alituchukia sana wapinzani ,kwake yeye aliamini wapinzani ndio wanarudisha nyuma Maendeleo na ni vibaraka wa Mabeberu. Kwake yeye lolote litakalo mkuta mpinzani awe ana husika...
17 Reactions
49 Replies
1K Views
Huyu Mzee ni miongoni mwa viongozi niliowaheshimu sana , hasa ule uwezo wake wa kujibu maswali alipokuwa TAMISEMI , lakini sasa naanza kudhani labda ile heshima nilimpa kimakosa , maana sasa...
18 Reactions
86 Replies
11K Views
Pamoja na mapungufu yake mengi, ninachomkubali Mizengo Pinda ni uumini wake kwenye Katiba Mpya. Nilishawahi muangalia akitoa maoni TBC akiwa mjumbe wa kikosi cha kutazama hali ya demokrasia nchini...
9 Reactions
34 Replies
1K Views
Back
Top Bottom