Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wakuu, Makalla amenguruma leo kupitia Wasafi FM amedokeza kuwa kutokana na yanayoendelea CHADEMA chama hicho cha upinzani kimekosa uhalali na mamlaka ya kukosoa jambo lolote
0 Reactions
5 Replies
191 Views
Watu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu? Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe...
45 Reactions
57 Replies
2K Views
Habari zenu wanaJF wenzangu Ndugu Mbowe na baadhi ya vijana wake (wengi mnawaita chawa), wamekuwa hawaamini kama ndugu Lisu akishinda uenyekiti wa Chadema ataweza kuendesha chama na badala yake...
0 Reactions
1 Replies
121 Views
Msithubutu kabisa kumchagua Freeman Aikael Mbowe kwani mtakuwa mmetangaza hadharani ushirika wenu na ccm kwa njia moja au nyingine. Freeman Aikael Mbowe anapaswa kupingwa kila mahali na watu wote...
0 Reactions
0 Replies
143 Views
Inasemekana Martin Maranja ndiye mgavi wa pesa za rushwa kwa Wajumbe ili waweze kumpigia kura Mbowe. Chain ya pesa hizo hutoka kwa Mbowe-Boniphace na kumfikia Martin pamoja na wenzake wanao...
4 Reactions
25 Replies
949 Views
Mpo Salama bandugu! Moja ya mambo yanayofanya hii nchi ionekane ni ngumu ni pamoja na mtu kupewa sifa za Uongo. Mfano; nchi hii kuna watu utaambiwa wanaushawishi au wanapendwa lakini ukifuatilia...
0 Reactions
1 Replies
141 Views
Tunakumbushana tu kwamba kabla maaskofu Watatu na Mufti hawajamfata Mbowe gerezani Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu alishapeleka ombi la Freeman Mbowe na Wafungwa wengine wa kisiasa waachiwe Rais...
0 Reactions
11 Replies
331 Views
Fikiria Mwenyekiti wa Chadema aliyekuwa kazungukwa na Wasomi wabobevu kama washauri sasa Washauri wake ni Mwanamuziki wa kufokafoka Sugu Moto Chini, Mlanguzi wa mifugo ya Mpakani Dalali Wenje na...
10 Reactions
19 Replies
776 Views
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Amos Makalla amesema Chama hicho kimejipanga kushinda kwa kishindo kwenye uchaguzi Mkuu unatarajiwa kufanyika mwaka huu 2025. "Mimi niseme huyo mwenye...
1 Reactions
2 Replies
158 Views
Kuna Kijana alishauri kama Tanzania kuna Chama cha Walimu, sijui Chama cha Madaktari, sijui Chama cha Wanasheria na vigezo na Masharti vinazingatiwa kwa member wa hivyo vyama Mfano kama...
0 Reactions
1 Replies
76 Views
Juzi kati hapo CCM walitangaza mkutano wa kamati kuu ya chama. Sisikii lolote likiendelea kuna yeyote mwenye taarifa? Au ni kikao cha siri?
3 Reactions
29 Replies
550 Views
Freeman Mbowe: "Msifunge ndoa na chama hiki. Tokeni CHADEMA na tafuteni kweli na haki kwenye chama kingine. Nazungumza maneno haya kwasababu ni uendawazimu kufunga ndoa na chama cha siasa." Mwisho...
3 Reactions
3 Replies
239 Views
Utofauti wa fikra na jinsi ya matumizi sahihi ya akili kati ya Wana CCM na CHADEMA, unazidi kudhihirika kadri siku zinavyozidi kwenda. Wakati CHADEMA nchi nzima wako kwenye mijadala mizito ya...
2 Reactions
1 Replies
195 Views
Ushauri wangu kwa CHADEMA hamna anayefaa kuwa mwenyekiti wa chama hicho kati ya hao wawili kwa sababu zifuatazo ambazo zote zinanufaisha chama cha dolla 1.)Mmoja ni mropokaji hajui eneo lake kwa...
0 Reactions
5 Replies
188 Views
Mheshimiwa Rais, nitakueleza na kuwaeleza Watanzania wote mtazamo wangu na wa watu wanaofikiri sana na wazalendo wanaoipenda nchi hii hata zaidi wanavyojipenda wenyewe wanasemaje kuhusiana na...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuhusu kuendeea kusalia ndani ya Chama endapo atashndwa Uchaguzi Januari 21, 2025 "Nitakua Mwanachama, nitaendelea na mapambano kama Mwanachama (kwanini atabaki Chadema)...kwasababu najua...
0 Reactions
17 Replies
902 Views
Wanachi wengi hawakumwelewa yule bwana aliposema ipo siku tutapigwa mnada, leo wamasai ardhi yao imepigwa mnada kwa mwarabu. Yaani anaondolewa Mtanzania kwenye ardhi yake ya urithi anauziwa...
15 Reactions
153 Replies
7K Views
Haya waliokuwa wanasema kufukuzwa kwa Wamasai ni kwa ajili ya kutunza Hifadhi wako wapi? Kwa mujibu wa Gazeti la Mzungu wenu The Guardian sababu ya kuwaondoa Wamasai kwa nguvu ni kupisha Mwarabu...
10 Reactions
88 Replies
5K Views
Mgombea uenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema baada ya 'mastori ya town' kusambaa anataka kugombea uenyekiti aliitwa kwenye kikao na watu watatu wanaoheshimika kwenye jamii, anasema kwenye...
0 Reactions
1 Replies
283 Views
SERIKALI YA TANZANIA IELEZE UKWELI VISA VYA UGONJWA WA MARBUG ACT Wazalendo tunaitaka Wizara ya Afya ya Tanzania, kueleza ukweli kuhusu mlipuko wa ugonjwa hatari wa Marbug, na itangaze hatua za...
0 Reactions
0 Replies
359 Views
Back
Top Bottom