Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

kwa wale wanaotaka kugombea uongozi ktk uchaguzi mkuu ujao wamejiandaaje iwapo mh rais atalazimika kuvunja bunge kutokana na serikali yake kushindwa kutekeleza maazimio ya bunge, inawezekana rais...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu, Nilisema nitakuwa naandika taratibu juu ya yale niliyoyaona kwenye safari yangu ya TZ siku za karibuni. Kule Kyela niliambiwa na kugundua kwamba ni tatizo, mkakati wa kutumia wanachama...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
TUNAHITAJI fikra mbadala katika siasa zetu. Hili ni dhahiri. Nilijaribu kujadili hali halisi ilivyo katika chaguzi zetu na hasa za wabunge. Nikaeleza changamoto na matatizo muhimu yanayotukabili...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna habari zime enea sana hapa Magu kwamba Bw.Madete naye mhandisi amenuia kugombea Ubunge Magu .Madete mwenyewe yuko kimya baada ya kuona uvumi umekuwa mkubwa nimeona nije hapa kamvini kuuliza...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nadhani watz hakuna budi kukuvali mapema kwamba mh kikwete ataibuka na ushindi wa sunami 2010 baada ya kuonekana mtendaji mzuri hasa huu uhuru aliotuachia.lkn swala la wabunge kijinafasi bungeni...
0 Reactions
53 Replies
8K Views
Tangazo limetolewa kwenye Daily News ya tarehe 25 Julai, 2009 kuhusiana na ratiba ya uchaguzi wa Serikali za Mtaa kwa mwaka 2009. Uchaguzi huo utafanyika tarehe 25 Oktoba, 2009. Baadhi ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
askofU mukiwa anasema leo wazi wazi kwamba uchaguzi wa 2010 utakuwa mgumu sana kwa wanasiasa wengi kwa sababu wananchi wengi wameshajua haki zao ni zipi!. .''....wanasiasa waongo hawana...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Ndugu zangu, si vibaya kama wadau wa maendeleo ukaanza kujadili kero mbalimbali za jiji letu la lukuvi. Kwa ufupi ni kwamba kwa mtu kama mimi, naitwa mrekebishaji, najua kabisa siwezi kugombea...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naanza Zito Kabwe (Kigoma kaskazini) ,Nape Nauye (Kinondoni) ,Said Kubenea (mafia),Husein Bashe (Nzega) Jery Slaa (Ukonga) ,Amos Makal (mvomero) ,John Nchimbi (Kigamboni), Sango Kasera...
0 Reactions
42 Replies
12K Views
Jina langu. MzeewaHhoja Elimu yangu. Inatosha kupitishwa. Kadi yangu. nishailipia kama kijana itikadi yangu. maendeleo Chama Changu. C Nilitembelea kisiwani Mfia hivi karibuni. Nilianzia Dar...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Jamani naomba tuanze kampeni rasmi kwa ajiri ya uchaguzi ujao nchini Tanzania bila ya kujali chama.kuna mwamko mkubwa sana duniani kwa kufanya vijana wawe viongozi wa leo.kwa kuanzia ni lazima...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Sijui ni lini uchaguzi Mkuu wa Chadema utafanyika japo nakumbuka ulikuwa ufanyike katikati ya mwaka huu. Kwa vile muda uliobakia kuelekea uchaguzi mkuu wa 2010 ni kama mwaka mmoja na nusu tu, je...
0 Reactions
155 Replies
14K Views
Ole wao wapinzani mwaka 2010 • Mambo ya Ndani Kuajiri askari wapya 7,000 kukabili vurugu za uchaguzi na Salehe Mohamed, Dodoma SERIKALI inatarajia kuajiri askari 7,000 pamoja na kununua...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ambaye pia ni Mbunge wa Bukoba Mjini, Hamis Kagasheki, ametangaza kutogombea ubunge katika uchaguzi mkuu mwakani. Akizungumza na Tanzania Daima Jumatano hivi...
0 Reactions
87 Replies
12K Views
Waziri awatahadharisha wapiga kura wa Busanda kuwa wasipomchagua mgombea wa CCM watabambikiwa kodi na kunyang'anywa leseni - Makame kimya ! Katibu Mkuu wa CCM amtisha msimamizi wa uchaguzi...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
CHAMA cha wananchi (CUF) kimezindua mkakati mpya unaolenga kushinda uchaguzi mkuu ujao, huku ikitoa tuhuma dhidi ya serikali na Chama cha mapinduzi (CCM) kuhusu undanganyifu. Katika mkutano wa...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Sharon Sauwa Jumla ya shilingi bilioni 67 zinatarajiwa kutumika katika kufanikisha maandalizi ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwakani kwa ajili ya kuwapata madiwani, wabunge na rais...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Zichungeni shilingi,bajeti inazotoa, Matapeli wako wengi, wanazifuatilia, Msibumbwawe kwa wingi,tumboni zitaishia, Na kitakachobakia, uchaguzi wanukia! Twabeba nizigo mingi, hakuna wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
2009-06-09 07:59:00 Opposition threatens to boycott elections THE CITIZEN CUF leader Prof Ibrahim Lipumba (left) and secretary-general Seif Shariff Hamadi address a press conference in...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Back
Top Bottom