Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Baada ya kutafakari kwamba huu ni mwaka wa uchaguzi kwenye ka- Nchi ketu haka maskini sana ulimwenguni (wa mipango) nimeona haya mambo ni muhimu sana kuhusiana na uchaguzi huo. Itikadi, Sera...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wana JF, sijaona thread yoyote inayozungumzia hoja ya mgombea binafsi. Naona hoja hii ina maana kubwa sana kwa watu wenye kutaka kuingia kwenye siasa ila wanakwamishwa na mambo ya vyama...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ninapokumbuka kwamba uchaguzi mkuu wa rais na wabunge utafanyika mwaka kesho, naona ni vema tukashauriane mambo muhimu ya kujiandaa ili uchaguzi huo uwe wa mafanikio makubwa.Tena uwe huru na wa...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Hili ni suala nimekuwa najiuliza sana huko Tanzania. Tunaelewa kuwa Mwaka huu mwezi Oct kuna chaguzi za Serikali za mitaa yaani kuchagua wenyeviti wa Serikali za mitaa na wajumbe wao. naona kuwa...
0 Reactions
39 Replies
7K Views
  • Closed
Leo Katibu Mkuu wa CHADEMA ametoa tamko rasmi la Mkutano Mkuu wa Ndani ya Chama nalo ni kama ifuatavyo; TAARIFA KWA UMMA WA WATANZANIA. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...
0 Reactions
1K Replies
161K Views
  • Closed
Katika hali ya kustaajabisha kuna taarifa kuwa yule mwandishi wa habari na mmoja kati ya wamiliki wawili wa gazeti la mwanahalisi amekuwa katikajuhudi kubwa ya kutengeneza mazingira ya kugombea...
0 Reactions
59 Replies
8K Views
Kwa watu makini sana kwa karibu sasa miaka 10 hivi imepita tumeshuhudia mabadiliko makubwa sana mwamko kutoka kwa Watanzania walio wengi katika dimbwi kubwa sana la umaskini. Katika hili Vyama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ummy Muya KATIBU wa Kamati ya Kutetea Haki za Waislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema waraka maalum utakaowaongoza waumini wa madhehebu hayo katika uchaguzi mkuu wa mwakani, umekamilika...
0 Reactions
221 Replies
24K Views
Kususia FUTARI za kisiasa na za Wamarekani. VIONGOZI wa dini ya Kiislamu wamejifungia katika Msikiti wa Mtambani wakiandaa tamko muhimu katika historia ya Uislamu nchini. Shur aya Maimamu...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Hidaya Kivatwa na Salim Said http://www.mwananchi.co.tz/newsrids.asp?id=14158 SHURA ya Maimamu wa Tanzania, kesho inatarajia kuzindua rasmi mwongozo kwa Waislamu kuhusu uchaguzi mkuu wa 2010 na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Na Salim Said Salim KIFUPI cha marefu, mkato wa maneno na kurahisisha magumu yawe mepesi, nasema Zanzibar hakuna uchaguzi bali "uchafuzi." Inazoeleka kuwa kupiga kura si haki kwa raia, bali zawadi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kijarida chako ukipendacho kimetoka; jipatie nakala yako, wasambazie wengine, na waalike wajiandikishe waweze kupata dozi ya fikra mpya za mabadiliko ambazo hutangulia mabadiliko ya kura!
0 Reactions
81 Replies
10K Views
Mara nyingi huwa tunajadili nani anastahili kuwa rais, nani ana nafasi kubwa ya kuwa rais, nk. Mimi najiuliza swali moja ambalo labda lingemsaidia yeyote anayeingia IKULU kujua watanzania...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama unayo: 1. Ihifadhi vizuri kwenye sefu! 2. Katu usikubali kuwauzia mafisadi! Na kama huna: 1. Jiandikishe upate hati yako! 2. Kamwe usikubali kutojiandikisha...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Uchaguzi unakuja, pombe, pilau, kanga na fulana! Ayub Rioba Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo Agosti 5, 2009 TUNAHITAJI fikra mbadala katika siasa zetu. Hili ni dhahiri. Nilijaribu kujadili...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kama kuna kitu kinachonifanya nijiulize maswali mengi kichwani ni wagombea viti vya uraisi vyama vya upinzani. Toka mwaka 1995 wanaogombea ngazi ya uraisi wengi ni wale wale! Hii inaleta picha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Malecela ahofia CCM kuwa katika hali ngumu 2010 *ASEMA WABUNGE WENGI WATABWAGWA Jackson Odoyo na Neema Rugemalira MAKAMU Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, John Samuel Malecela amekitabiria chama...
0 Reactions
82 Replies
10K Views
Waislamu nao wameamua kujipanga ili kuhakikisha kuwa Rais, wabunge na madiwani hawachaguliwi kwa misingi ya kidini. Ikiwa ni counter attack dhidi ya kanisa wanazuoni wa kiislamu pamoja na...
0 Reactions
68 Replies
8K Views
Wakati umewadia kwa wachambuzi wa siasa kuanza kubashiri yatakayojiri - na kutoa mwelekeo wa hali ya kisiasa - wakati wa uchaguzi mkuu wa 2010. Moja ya masuala ambayo yatakiumiza na pengine...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu zangu wanajamii katika siku za karibuni tumeshuhudia kauli mbali mbali ya viongozi kuhusu kukemea ufisadi!Kauli ya Mh.John Malecela,Dr.Makongoro,SpIka wa Bunge Samweli Sitta n.k .Hivi hawa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom