Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Tundu Antipas Lissu: Ataka ubunge Singida Kusini-Mashariki Gazeti MwanaHalisi MIAKA mitatu iliyopita, katika viwanja vya Mwembeyanga jijini Dar es Salaam, yalitokea mambo makubwa mawili...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
http://www.eastafricantube.com/media/29055/Bonta_-_Nauza_Kura_Yangu/
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Helo Members wa JF. na watanzania kwa ujumla. Tunajiandaa na uchaguzi hapo oktoba 31/10/2010. kila nikijaribu kuangalia na kutafakari kwa makini na nikijumlisha matamsha ya wanasiasa mbalimbali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Akitangaza ratiba hiyo Dk Slaa alifafanua kuwa fomu kwa wanachama wanatakaowania nafasi za ubunge, uwakilishi na udiwani zinaanza kutolewa Mei 3 kwenye ofisi za majimbo yaliyopo nchi nzima...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
LICHA ya kutangaza kutogombea urais mwaka 2010, waziri mkuu mstaafu, Frederick Sumaye bado anatajwa katika anga za kisiasa baada ya kuelezewa kuwa ni mmoja wa watu wanaoweza kujitokeza kupambana...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Mohammed Seif Khatib amependekeza mgombea wa kiti cha urais atakayemrithi rais wa sasa Jakaya Kikwete, atoke visiwa vya Zanzibar. Waziri...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Ni muda mrefu tumekuwa tukichangia humu kwa point nzuri sana, kwa uchungu mkubwa sana dhidi ya mambo yanavyoendeshwa katika nchi hii. Ni wakati umefika kuonyesha commitment yetu katika nchi yetu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nikama hakuna uchaguzi mkuu Tz 2010 kwani kilichopo ni kuthibitisha wana CCM watakao endelea kuitafuna Tanzania. Mwezi October na Novemba utasikia hivi CCM IMESHINDA KWA KISHINDO. Kikwete rais...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC). Jeshi la Polisi nchini limeamua kuondoa utaratibu wa kuweka askari wenye sare na silaha katika vituo vya wapiga kura ili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mchungaji Christopher Mtikila akionesha waandishi wa habari walaka wake ambao amesema atausambaza hadi nje ya nchi. Akizungumza nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Slaam jana, Mwenyekiti...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Ameanza Spika na sasa kaja Mwanasheria Mkuu; na sitoshangaa baadaye atakuja waziri Mkuu na Rais au squadi zima la viongozi walioshindwa. Ati wanataka Zitto agombee wanakotaka wao! Kwa ubavu gani...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
naomba tujaribu kutabiri nani anaweza kuwa waziri mkuu mwakani katika serikali ijayo ya JMT. inasemekana Mh.Pinda hakuwa chaguo la mzee la kwanza, Je kuna wengine??? wapo pia waliotangaza nia ya...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Nampenda sana rais wa nchi yangu prezdaaa Kikwete,hata kama watu wanamponda lakini mimi naona kuwa baba wa watu anajitahidi,hata Obama kuna aliyoahidi lkn bado hajatekeleza! watu ni wavivu...
0 Reactions
69 Replies
7K Views
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbrod Slaa ameongea na waandishi wa habari kwamba chama chake kitatumia Tsh bil 5 tu na kuishinda CCM ambayo itatumia bil 50! SOURCE: TBC1.
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Hivi unajua kwamba mzee makamba aliwahi kufukuzwa shule baada ya kumpa mimba mwanafunzi wake yeye akiwa mwalimu???? Jee unajuaaliyemshauri nyerere makamba apewe nafasi kwenye chama ni marehemu...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Rostam aibiwa zana za kumng’oa Selelii VIFAA vya kampeni vya Mbunge wa Igunga (CCM), Rostam Aziz, vimedaiwa kuibwa katika mazingira ya kutatanisha. Wizi huo ulifanyika ofisi za kampuni ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Imenichukua zaidi ya siku mbili kuitafakari riport ya REDET waliyoitoa juzi kuhusu mwelekeo wa siasa nchini, mwanzo nilikuwa siiamini lakini nilipoiangalia kwa undani nimeona kuna ukweli fulani...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa mara ya kwanza, wagombea uwaziri mkuu wa Uingereza walikutana ktk mdahalo na kuelezea sera zao na maono yao ya jinsi na wapi wanataka kulipeleka taifa lao kama wakibahatika kuchaguliwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom