Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

tangu kijana mpambanaji kupitia chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kutangaza nia ya kumng'oa mwanasiasa mzee bw samwel malecela. hali ya mzee huyo imezidi kuwa mbaya kisiasa kiasi cha hivi...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Sitaki kusahau issue ya muhimu eti kisa Liyumba kaenda jela miaka miwili,hukumu gani hii inayohamasisha wizi wa mali za umma yaani ni nani ataogopa kuiba zaidi ya bilioni 200 kwa kwenda jela miaka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, miaka 5 ya kwanza awamu ya Rais Kikwete iko ukingoni. Kila kiongozi hupimwa na mazuri na mabaya yake ili aweze kuaminiwa na kupewa kipindi kingine cha uchaguzi. Viongozi wa Taifa letu tangu...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
KWELI MWAKA WA UCHAGUZI UNA MAMBO YAKE. JANA NIMEMSIKIA NAPE AKIELEZA NIA YAKE YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA UBUNGO HUKU AKIMPIGA VIJEMBE SHAMSA, NAPE ANAKUWA MWANACCM WA TATU (SHAMSA, ALFRED...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
1.dr slaa maji barabara vitongoji mpaka vijiji, 2, desamburu, mji kuwa msafi na wananchi kuwa na uelelwa wa mazingira yao, 3. wananfunzi wa masekondari kusoma buree kutokana na rasilimali za eneo...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Katika pita pita.. nimekutana na hii, nadhani inatoka kwenye commercial fulani popular.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kila mfanyabiashara atakiwa kutoa Sh. milioni 10 Lowassa aongoza kamati ya kutembeza ?bakuli? CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea "kuwakamua fedha" wafanyabiashara na wanachama wake mkoani...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kule Muheza mmojawapo wa watu wenye kutaka kugombea kule ni Balozi Andrew Daraja na Mbunge wa sasa Herbert Mntangi. Lakini siku chache zilizopita (kuanzia hii tarehe 19 Mei) kuna tetesi kuwa...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Kama kuna nchi ambayo raia wake hawaoni uhusiano wa uongozi na maisha ya kila siku basi ni TANZANIA.Hebu angalia masual na matukio haya ?SI KIPIMO TOSHA kuwa tunahitaji kiongozi mbadala kama si...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekishutumu Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa kimeanza mkakati wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tume ya Uchaguzi pia yatangaza kata zake Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Lewis Makame. Hatmaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetaja majimbo...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Wana jamii asubuhi hii wakati napitia magazeti, nimeona kichwa cha habari kikisema "kuelekea kampeni, Ikulu yazui mawaziri kwenda nje ya nchi...... Hii ikanishtua kidogo, nikasema ngoja niiweka...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wadau na wapenda mabadiliko....natangaza rasmi nia ya kugombea ubunge jimbo la UKONGA kwa tiketi ya CHADEMA. Michango ya mawazo, ushauri na ki-mikakati inakaribisha! Sihitaji michango ya pesa kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa Kauli ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa ya kutangaza kuipa kipaumbele Sheria ya Gharama za Uchaguzi katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
HOFU ya kung'oana madarakani imegubika mkutano wa baraza kuu la ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) unaofanyika kesho, huku mwenyekiti wake, Hamad Yusuph Masauni, ambaye anadaiwa kuwa alighushi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakubwa, Mimi ni mtanzania ninayependa maendeleo ya nchi yangu na mtazamo chanya wa mambo. Naomba nitumie post hii kutoa wito kwenu mtakaobahatika kusoma post hii kushauri ni nini hasa uongozi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kauli ya CCM Kuhusu Kuanzishwa kwa Chama Kipya cha Upinzani – CCJ Hivi karibuni vyombo vya habari vimekuwa vinaandika sana habari za kuanzishwa kwa Chama kipya cha upinzani kiitwacho Chama...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kama ccm itamsimamisha jk basi wabunge wa ccm wachaguliwe kutoka hospital ya vichaa milembe watanzania tuamke mungu ibariki tanzania
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimekuwa nikifikiria jinsi mambo yanavyobadilika tukifika kwenye mwaka wa uchaguzi na hasa nikafikiria je ni kweli kwamba asilimia kubwa ya watanzania wanafaidika na kampeni au ndo wanaandaliwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom