Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Bunge latibuka kwa homa ya uchaguzi, LITAKUWA LA WIKI TANO, KUVUNJWA JULAI 16 Monday, 07 June 2010 Ramadhan Semtawa UCHAGUZI mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, umegusa ratiba ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
NA SULEIMAN JONGO KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Arusha, Daniel ole Porokwa, aliyetangaza nia ya kuwania ubunge Monduli katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, mwaka huu, amejiondoa kwenye...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
NA JOSEPH BURRA CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuwa, Juni 21 hadi Julai mosi, mwaka huu, itakuwa kipindi cha kuchukua na kurudisha fomu kwa wanaowania urais wa Zanzibar na Jamhuri ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Na Exuper Kachenje 05 June 2010 Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)Rajabu Kiravu, akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja kati ya tume hiyo na viongozi wa vyama vya siasa Dar es...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Chama cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) kimeanza kuwafuatilia kwa karibu wanachama wanaojipigia kampeni za Urais wa Zanzibar kabla ya muda na wakithibitika kitawafutia uteuzi. Hatua hiyo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
CCJ: Msajili kabadili namba za wanachama Na Moshi Lusonzo Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa Uongozi wa Chama Cha Jamii (CCJ), umeibuka na kutoa madai ya kufanyiwa hujuma baada ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kilango adaiwa kusambaza kadi feki za CCM Same Saturday, 05 June 2010 Elias Msuya MBUNGE wa Jimbo la Same Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Anne Kilango amedaiwa kusambaza...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Pius Msekwa amesema chama hicho hakiwezi kushindwa katika uchaguzi mkuu ujao kwa kuwa ni sawa na mto Rufiji ambao hauwezi kukauka. Alifafanua mto...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kumbukumbu za kura za maoni zilizopigwa na watembeleaji katika mtandao huu: Maoni ya habari za mtiririko: Mpigie kura mshindi wa golden member award 2009/2010 Ally Saleh (53%, 55 Votes)...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni maswali mengi yayoelea vichwani mwa Watanzania kwa sasa, na bado majibu ni Kitendawili. (a)Ni nani maarufu kati ya Dr Slaa na Kikwete kwa sasa? (b) Je ni kweli Dr slaa anafahamika hadi huko...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Friends, Sio siri,matangazo ya biashara ya CCM radioni yana ni bore sanaaaaaaaaaaaaaaaa
0 Reactions
21 Replies
3K Views
WanaJF Hakuna chanzo kinachosema Brazil Kama wenyewe wanataka shilling ngapi. 7 billion wanazosema ni za TFF na serikali ndo wanasema. Kuna habari kwamba mechi kati ya brazil na Tanzania ni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Na Yassin Kayombo, Kibaha CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kina uhakika wa kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kutokana na kukubalika kwa wananchi na mikakati yake...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Maalim Seif ajitosa tena urais Zanzibar SIKU moja baada ya mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba kutangaza nia yake ya kugombea urais wa Muungano, katibu wake, Maalim Seif Sharif Hamad...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tundu Lissu: CCM imeanza kucheza rafu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)kimekishutumu Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa kimeanza mkakati wa kununua shahada za kupigia kura za vijana...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Spika wa Bunge, Samuel Sitta. Spika wa Bunge, Samuel Sitta, amewataka wananchi kuepuka kasumba ya kuchagua viongozi wenye uchu wa kutafuta maslahi binafsi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MWINJILISTI wa Kanisa la Penuel Healing Ministry, Alphonce Temba amewataka wachungaji na maaskofu kuacha kushinikiza kubadilishwa kwa siku ya kupiga kura na badala yake kuwataka watumie siku...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mtikila akusudia kuzuia Uchaguzi Mkuu Mwenyekiti wa Democratic Party (DP), Mchungaji Chritopher Mtikila, ameungana na azma ya Chama Cha Jamii (CCJ), kutangaza kusudio la kuiomba Mahakama Kuu...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Ninaitwa Bandora ni kijana niliye tayari kwa kulitumikia taifa langu....Baada ya kutafakari kwa mda mrefu juu ya namna ya kulitumikia taifa hili nikaona njia iliyo rahisi na wazi ni kupitia nafasi...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
KATIKA kile kinachoonekana ni kujipanga vema na kujihami kwa maswali magumu wakati wa kampeni za uchaguzi, Ikulu imetoa waraka wa kuzuia mawaziri kusafiri nje na badala yake kuwaagiza kuzunguka...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom