Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mjumbe wa Kamati Maalum, Mariam Ukiwaona Ditopile Mzuzuri ( kushoto)akiikagua kadi ya CCM ya Mwanachama , Mzee Athuman Mohamed Dume ( kulia) wa CCM Tawi la Fulwe, Kata ya Mikese, Wilaya ya...
0 Reactions
44 Replies
11K Views
Huu kama mwaka wa uchaguzi ningependa kupata maoni yako juu ya kitu kimoja ambacho ungependa serikali ya awamu ya tano ikipe kipaumbele. Jaribu kuwaza kama umepata nafasi ya kukaa na Wagombea...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wana JF nina swali linaloniumiza kichwa sana hapa...hii mnafahamu ni nani aliyeanzisha ideas hizi 2 1) Rais kuchangiwa kuchukua fomu 2) Kutangaza nia ya kugombea mwaka 2010 Rais kuchangiwa fedha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
VITA vya kuwania ubunge Jimbo la Same Mashariki vimechukua sura mpya baada ya mbunge wa jimbo hilo, Anne Kilango-Malecela kudai mpinzani wake anataka kumaliza maisha yake na uzao wake. Kilango...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Makamu wa Rais Dk Ali Mohammed Shein ambaye jina lake linatajwa kuwa ni miongoni mwa wagombea wa urais Zanzibar Salma Said, Zanzibar na Boniface Meena MAKAMU wa Rais, Dk Ali Mohammed Shein...
0 Reactions
100 Replies
10K Views
Nimesikia kuwa kwenye Chadema kuna kasheshe kubwa ya kumpata mgombea Urais mwaka huu. In fact, wazee wa chama hiki wanaombea kigogo atoke CCM kutoka miongoni mwa Wabunge maarufu au viongozi...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
HABARINI WANA JAMVI? Katika mishemishe zangu nimepitia maeneo ya Mbezi Beach baada ya kipindi kirefu. mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2005 kipindi cha karibu na uchaguzi mkuu. Mwaka ule 2005...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nikiwa mdogo, mjomba wangu aliwahi kuniuliza, ninapenda kifaa gani kizuri cha muziki? mimi kwa kuwa nilipenda filimbi nikasema filimbi ndo kifaa kizuri, akaniuliza kwa nini? nikasema kwakuwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ukitaka kujua tofauti ya kimitazamo hasa kuhusu siasa na uendeshaji wa serikali yetu basi tazama bunge. Bado bajeti za mawizara zinaendelea kujadiliwa huko. Juzi msemaji wa kambi ya upinzani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mozambique drug network includes SA: US June 10 2010 at 12:02PM Get IOL on your A Mozambican businessman designated a druglord by the United States trafficked drugs to South Africa among...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Jamani yule mgombea wa Chadema Finias Magesa yupo wapi? Mwaka jana aligombea kwenye jimbo la Busanda na kushindwa vibaya sana, amekuwa kimya sana na sijasikia kama anampango wa kurudi tena Busanda...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Marmo amebariki kampeni ya nyumba hadi nyumba lakini hajatufafanulia kuhusu kukusanya habari za wapiga kura nyumba hadi nyumba hasa zinazofanywa na chama tawala. Kabla ya kupiga kura kuna chama...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimeifuma habari hii ya kutisha kuhusu aina ya siasa zinazofanyika katika jimbo la Moshi mjini mkoani Kilimanjaro. Wastaarabu someni TAMKO hili la Katibu wa CHADEMA mkoa wa Kilimanjaro na...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Lowassa amhujumu Mwandosya Na Saed Kubenea NYARAKA za siri zinazoonyesha mpango wa kumtokomeza kisiasa Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Mark Mwandosya zimevuja. MwanaHALISI limepata...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Ndugu John Mnyika,naandika barua hii kuwakilisha mawazo na vilio vya wana Ubungo kuhusu matatizo ya miundombinu hususani ubovu wa barabara zao. Wana Ubungo wengi wamenituma niwasiliane nawe ili...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Yaani kila inachofanya CCM bwana Marmo anakibariki na kuwa ni Sehemu ya Maisha au Kanuni za Uchaguzi, kaaazi Kweli kweli Marmo aruhusu vyama vya siasa kampeni ya nyumba kwa nyumba Na Muhibu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa yeyote menye wasifu wa bwana Christopher Winea Mushi anayetaka ubunge jimbo la hai na ambae amechaguliwa kuwa kamanda wa vijana wilaya ya Hai please, ili tuweze kumfahamu kama anastahili...
0 Reactions
71 Replies
9K Views
Je watanzania wanapenda kudanganywa? Je watanzania ni wavivu kweli wa kufikiri? Je watanzania hawana uwezo wa tenganisha ukweli na uwongo? Nimesukumwa na hasira kuleta maswali haya, baada ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo Chama cha Chadema jimbo la Bukoba mjini lilikutanisha viongozi wake ili kuwapa elimu ya sheria mpya za uchaguzi na mambo mengine yahusuyo uchaguzi. Ikiwa ni maandalizi kwa ajili ya uchaguzi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
KIGOGO wa siku nyingi serikalini, Dk Dalaly Peter Kafumu ametangaza nia ya kuwania kiti cha ubunge cha jimbo la Igunga mkoani Tabora ambako atapambana na mbunge wa sasa, Rostam Aziz. Uamuzi wa Dk...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom