Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Tatizo la Kikwete, ndiyoo.. huyu Raisi wetu.. Yeye anaaamini mtu yeyote yule anaweza kuwa Raisi, cha muhimu ni mbinu tu tena hasa mbinu chafu kama alizotumia yeye mwaka 2005 kuhonga wanahabari...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mramba, Chenge `ruksa’ kugombea ubunge Imeandikwa na Oscar Mbuza; Tarehe: 4th July 2010 @ 08:40 WAKATI kukiwa na shauku ya kutaka kujua iwapo mawaziri wa zamani, Basil Mramba na Andrew Chenge...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Asema ilikuwa kazi binafsi si ya chama Aeleza miaka miwili alikuwa anajifunza Aahidi hana mpango wa kuongeza mke Rais Jakaya Kikwete...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
wengi wa watanzania akili yao ni ya kutingisha, maana hainingii akilini kama akili yao iko standard ama lah, we mtu anawezaje kuuza haki yake, tena kwa kulaghaiwa na furana, doti za khanga na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Bunge la Tanzania likiendelea na mikutano yake Kizito Noya, Dodoma na Boniface Meena Dar WAZIRI Mkuu mstaafu, John Malecela amesema atafanya kila linalowezekana kuhakikisha kuwa Spika wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Watanzania uchaguzi umewadia ila nashindwa kuuliza kama tumejitayarisha kwani hata mwenyewe bado nina maswali. Uchaguzi huu naufananisha na ile nyimbo inayoitwa “Tomorrow people” ni kama muimbaji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Seif: Nitatimiza Ndoto Ya Karume Salim Said KATIBU mkuu wa CUF, Seif Sharif Hamad ametangaza vipaumbele 10 katika uongozi wake iwapo atachaguliwa kuwa rais wa Zanzibar, akisema kuwa anakusudia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mkapa aliita awamu yake ya uwazi na ukweli lakini wote tunajua hakuwa muwazi wala mkweli. Pia alijiita Mr Clean lakini ukweli hakuwa na usafi wowote kwa kuhusika kwa karibu na kashfa nyingi ambazo...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wana JF Raisi wetu kila siku anatoa vioja, hivi ni afunike zaidi au adidimize zaidi. Ninahakika hapa hakumaniisha alichosema. source: HabariLeo | Nipeni mitano mingine 'nifunike' zaidi-Kikwete
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tanzania zaidi ya uijuavyo, inaonyesha watanzania kampeni za namna hii ndiyo unawapata. Kwa kumbukumbu Raza si wa kwanza kuahidi kusacrifice mshahara wake! Raza: Mshahara wa urais nitawapa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wana JF, Katika pitapita yangu leo nimeweza kugudua kauli mbiu ya Mh Jakaya atakayo tumia katika uchaguzi mkuu mwaka huu kama ifuatayo: KASI ZAIDI NGUVU ZAIDI ARI ZAIDI TULIAHIDI...
0 Reactions
60 Replies
11K Views
Mgombea pekee wa urais CCM HAKUNA shaka kwamba Jakaya Mrisho Kikwete ndiye mteule wa CCM atakayegombea urais baada ya kuwa mwanachama pekee aliyechukua fomu na ambaye anazirejesha kwa mbwembwe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari nimerushiwa kuwa ndani ya kikao cha Halmashauri kuu ya CCM ,kinachoendelea akutoshi kati ya makundi ya waliotangaza nia ya Uraisi zenji na mafisadi wa bara. Ebu leteni data mlio karibu na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba maoni yako kuhusu hawa: Shamsi vuai na dr.shein
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ilikuwa katika mkutano wa hadhara wiki iliyopita hapo Dar. Lakini wao watafanya nini na Panya, kwa vipi na kwa muda gani wakiingia madarakani? Isije kuwa na wao wataamua kukaa vikaoni na panya na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jana iliripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya Mr II atawania ubunge katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya CHADEMA, na jimbo analowania ni Mbeya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwandishi Wetu Raia Mwema Juni 30, 2010 Watakiwa kujieleza kabla ya uteuzi Wengi wahofia kukatwa majina WABUNGE 275 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameagizwa kuandaa taarifa za utendaji wao...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Najua kipindi hiki cha uchaguzi wasanii wetu wa vikaragozi watatufundisha mengi na kutupa burudani safi kuhusiana na uchaguzi kwa kutumia vikarosi. Ninaomba thread hii itumike kutunza vikaragosi...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
baada ya malalamiko mengi dhidi ya mwanae Januari na kutokubalika katika jimbo la bumbuli, Mzee Makamba amedokeza huenda akaamua kuingia mwenyewe kwenye ulingo...mzee Makamba alinukuliwa akiyasema...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mbunge wa Kawe, Rita Mlaki, ametangaza rasmi kutogombea tena jimbo la Kawe. Rita Mlaki ametangaza kutogombea huko akiwa Bungeni mjini Dodoma, wakati akichangia makadirio ya Bajeti ya Miundombinu...
0 Reactions
49 Replies
8K Views
Back
Top Bottom