Tatizo la Kikwete, ndiyoo.. huyu Raisi wetu..
Yeye anaaamini mtu yeyote yule anaweza kuwa Raisi, cha muhimu ni mbinu tu tena hasa mbinu chafu kama alizotumia yeye mwaka 2005 kuhonga wanahabari...
Mramba, Chenge `ruksa kugombea ubunge
Imeandikwa na Oscar Mbuza; Tarehe: 4th July 2010 @ 08:40
WAKATI kukiwa na shauku ya kutaka kujua iwapo mawaziri wa zamani, Basil Mramba na Andrew Chenge...
wengi wa watanzania akili yao ni ya kutingisha, maana hainingii akilini kama akili yao iko standard ama lah,
we mtu anawezaje kuuza haki yake, tena kwa kulaghaiwa na furana, doti za khanga na...
Bunge la Tanzania likiendelea na mikutano yake
Kizito Noya, Dodoma na Boniface Meena Dar
WAZIRI Mkuu mstaafu, John Malecela amesema atafanya kila linalowezekana kuhakikisha kuwa Spika wa...
Watanzania uchaguzi umewadia ila nashindwa kuuliza kama tumejitayarisha kwani hata mwenyewe bado nina maswali. Uchaguzi huu naufananisha na ile nyimbo inayoitwa Tomorrow people ni kama muimbaji...
Seif: Nitatimiza Ndoto Ya Karume
Salim Said
KATIBU mkuu wa CUF, Seif Sharif Hamad ametangaza vipaumbele 10 katika uongozi wake iwapo atachaguliwa kuwa rais wa Zanzibar, akisema kuwa anakusudia...
Mkapa aliita awamu yake ya uwazi na ukweli lakini wote tunajua hakuwa muwazi wala mkweli. Pia alijiita Mr Clean lakini ukweli hakuwa na usafi wowote kwa kuhusika kwa karibu na kashfa nyingi ambazo...
Wana JF
Raisi wetu kila siku anatoa vioja, hivi ni afunike zaidi au adidimize zaidi. Ninahakika hapa hakumaniisha alichosema.
source: HabariLeo | Nipeni mitano mingine 'nifunike' zaidi-Kikwete
Tanzania zaidi ya uijuavyo, inaonyesha watanzania kampeni za namna hii ndiyo unawapata. Kwa kumbukumbu Raza si wa kwanza kuahidi kusacrifice mshahara wake!
Raza: Mshahara wa urais nitawapa...
Wana JF,
Katika pitapita yangu leo nimeweza kugudua kauli mbiu ya Mh Jakaya atakayo tumia katika uchaguzi mkuu mwaka huu kama ifuatayo:
KASI ZAIDI
NGUVU ZAIDI
ARI ZAIDI
TULIAHIDI...
Mgombea pekee wa urais CCM
HAKUNA shaka kwamba Jakaya Mrisho Kikwete ndiye mteule wa CCM atakayegombea urais baada ya kuwa mwanachama pekee aliyechukua fomu na ambaye anazirejesha kwa mbwembwe...
Habari nimerushiwa kuwa ndani ya kikao cha Halmashauri kuu ya CCM ,kinachoendelea akutoshi kati ya makundi ya waliotangaza nia ya Uraisi zenji na mafisadi wa bara.
Ebu leteni data mlio karibu na...
Ilikuwa katika mkutano wa hadhara wiki iliyopita hapo Dar. Lakini wao watafanya nini na Panya, kwa vipi na kwa muda gani wakiingia madarakani? Isije kuwa na wao wataamua kukaa vikaoni na panya na...
Jana iliripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya Mr II atawania ubunge katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya CHADEMA, na jimbo analowania ni Mbeya...
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Juni 30, 2010
Watakiwa kujieleza kabla ya uteuzi
Wengi wahofia kukatwa majina
WABUNGE 275 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameagizwa kuandaa taarifa za utendaji wao...
Najua kipindi hiki cha uchaguzi wasanii wetu wa vikaragozi watatufundisha mengi na kutupa burudani safi kuhusiana na uchaguzi kwa kutumia vikarosi. Ninaomba thread hii itumike kutunza vikaragosi...
baada ya malalamiko mengi dhidi ya mwanae Januari na kutokubalika katika jimbo la bumbuli, Mzee Makamba amedokeza huenda akaamua kuingia mwenyewe kwenye ulingo...mzee Makamba alinukuliwa akiyasema...
Mbunge wa Kawe, Rita Mlaki, ametangaza rasmi kutogombea tena jimbo la Kawe.
Rita Mlaki ametangaza kutogombea huko akiwa Bungeni mjini Dodoma, wakati akichangia makadirio ya Bajeti ya Miundombinu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.