Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Hii ni Openda maalum ambayo ni miongoni mwa 'sample' 2,000 zilizoletwa na wana DIASPORA huku zikiwa kivutio kwa Rais Jakaya Kikwete ambapo ametoa oda ziletwe 100,000 zitakazotumika kama moja ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa ujumla sielewi sheria gani zinachukuliwa mtu akitaka kugombea ubunge,Labda mtu yoyote yule anaweza kwenda kuchukua form na kujaza basi,Sidhani kama kuna sheria zozote zinaangaliwa kama...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Tanzania ilirejea katika mfumo wa Vyama vingi vya Siasa mnamo mwaka 1992, toka kipindi hicho tumeshuhudia Chaguzi tatu 1995, 2000, 2005 na mwezi October 2010 tunatarajia kufanya Uchaguzi wa nne...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nawapongeza wanachama 16, wa CCM waliopiga kura ya HAPANA,kwa JK wameonyesha ukomavu wa kisiasa, hiyo ndio demokrasia.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nilishangaa kumuona dokii kwenye mkutano wa ccm, mara flora mbasha mara marlaw........ Sijui kama ni burudani au ni kuganga njaa.... But honestly ....nimeona kama hawa wasanii wamejidhalilisha...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Ndugu wana JF Mimi binafsi sijafurahishwa na vile Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ulivyotumika kuwananga viongozi na wanachama wa vyama vya siasa kwa kuitwa ‘mavuvuzela’...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WAKATI vyama mbalimbali vikijitokeza kuwania nafasi ya Urais, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakina papara ya kumtangaza mgombea wa nafasi hiyo mapema kwa kuhofia...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
MENEJA Uhusiano wa Benki ya NMB, Shyrose Sadruddin Bhanji, amejitosa kuwania nafasi ya ubunge jimbo la Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa lengo la kuwa...
0 Reactions
47 Replies
7K Views
Wana JF, Nilipita mikoani katika safari yangu na kwali niliyo yaona ni mengi sana esp. ktk kinyang'anyiro cha Ubunge kweli kuna makubwa sana mfano mtu yuko mwanza anataka agombee udiwani mwanza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani inakera ndio maana naona huu upinzani wizi mtupu na thaman kwako ukiwa ndani ya hicho chama ..naona lipumba kwenye tv ya tbc anawahadaa watu kuna rais alianza kugombea toka 1975 amepata...
0 Reactions
97 Replies
9K Views
Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, imeishauri Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, kulifanyia kazi suala la mafuta kuwa la Muungano ama la ili kulitolea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wananchi wenzangu, wapiga kura, wapigiwa kura na wapigwa kura 2010. Kuna tetesi zimezagaa kwenye kitaa chetu hapa uswazi, na jamaa wananihakikishia kuwa wamepata nyeti kutoka White House zote...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwaka 2010 Tanzania inaingia kwenye mchakato wa kuchagua viongozi wake, kwa miaka mingine mi-5!! Wakati mwingine najiuliza sana nini umuhimu wa kujihusisha na uchaguzi wakati nchi hii haina...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana JF, nilimsikiliza mwenyekiti wa TLP, I was realy fed up!!! Jamaa nadhani amepukutika upstairs. Hivi anaweza kuwa ndiye Malaria sugu humu jamvini nini? Hivi akiingia bungeni kupitia (anakodai...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Baada ya Dr. Slaa kukaa kimya nimeona heri tumpe suport huyu ambaye anasema anafikiria kugombea. Haitakuwa mbaya sana tukimuonyesha moyo wa kuwa na imani na yeye baada ya kuvunjwa imani na CCM kwa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wanaa JF, hebu nifahamisheni, nitamuitaje mgombea urais kama atachaguliwa wakati mimi binafsi sikushiriki kumpa kula yangu?
0 Reactions
17 Replies
2K Views
JK ndio ametoka kutangaza mgombea mwenza wa nafasi ya makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano ambaye ni: Gharib Bilal.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Haya tena wanajamii CCM imetowa uamuzi utakaogusa mustakbali wa nchi kwa kumteua Dr. Shein kuwa mgombea wa urais wa sehemu moja ya Muungano (Zanzibar) Tulisikia mengi kutoka kwa wana CCM...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Gazeti la habari leoiImeandikwa na Ikunda Erick, Dodoma; Tarehe: 9th July 2010 CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Dodoma kwa kushirikiana na Polisi wanawahamisha wapangaji kwa nguvu kwenye nyumba...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom