Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Inasemekana kuna mtu katoka marekani anakoishi amekuja kumpokea ubunge dr ngasongwa, kama kuna mtu anahabari zozote kuhusu jamaa tunaomba atujuze tafadhali. jamaa nasikia ni mtu mkali.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamvi naomba mnijuze kama Mh Basili Mramba bado amechukua fomu kutetea kiti chake cha ubunge Rombo huku kesi yake ya matumizi mabaya ya madaraka ikiwa bado yaendeleaa!!!! Kisheria imekaaje...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwandishi wetu “UFISADI umeishika nchi pabaya. Tukiendelea kuwa na wabunge legelege na madiwani legelege, watendaji wetu wa halmashauri wataendelea kufanya vitendo vya ajabu hujapata kuona...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kama mtu kapoteza kitambulisho chake cha mpiga kura na tayari anayo Police Loss Report, afanye nini ku-replace kitambulisho chake? anaishi jimbo hilo hilo aliliojiandikishia.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, niliibabatiza hii kutoka stesheni flani ya redio flani asubuhi hii ktk mishe zangu za kuhemea..! John Momose Cheyo(UDP): Ubunge ni wa wazee... nawashauri vijana wajenge maisha... waoe...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MKUTANO Mkuu wa Chama Cha Siasa, Tanzania Labour Party[ TLP] juzi kilifanikiwa kumpitisha Mutamwega Mugahywa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao. Mkutano huo...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
WanaJF nimekuwa najiuliza kwanini CHaDEMA mpaka sasa hawajatangaza Rais atakayechuana na JK au Chibuda etc. Kimya hiki kinanipa wasi wasi kinaweza kuwa kizito na cha kutingisha Medali ya siasa za...
0 Reactions
91 Replies
8K Views
Nape katangaza kuwania ubunge kupitia jimbo la ubungo. Kati ya wagombea watano wa ccm waliotangaza nia ni wazi kuwa nape atapenyeza na hatimaye kukutana na kijana mwenzie, mnyika kwenye mchuano wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ati mgombea mmoja wa urais waganga wake wamedhibitiwa na mmoja wa watu wake wa karibu kiasi kwamba ameambiwa hawezi kumtimua huyo jamaa kwa sababu akimtimua tu mambo yake yataenda kombo. Kumbe...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wapendwa wanaJF, Wabunge waliomaliza ngwe ya kwanza ya awamu hii ya nne wanaranda sana majimboni kumwaga vijisenti ambavyo yumkini wamelambishwa toka Bungeni baada ya kutumikia Bunge kwa miaka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Alhamisi saa sita ya usiku tutamuuliza tena Pweza mrume.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifuatilia sana vipindi (miaka) ya chaguzi na kugundua kuwa fedha nyingi sana hapa Tanzania zinapotea kisa tu kufanikisha demokrasia. Naomba nieleweke, tatizo hapa sio demokrasia bali...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Chama gani kitakwenda mahakamani kupinga uteuzi wa Dr Shein? Kufuatana na story ya kuu Mwanahalisi wiki hiiuteuzi wa Dr Ali Mohamed Shein kuwania kiti cha urais wa Visiwani ni batili...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mtikila alikomaa hadi akapata usajili wa kudumu. Subira na uvumilivu na ari ya kupambana ndizo zilipeleke D. P kusajiliwa. Hawa viongozi wa C . C. J waliojitoa, sidhani kama wana nia ya kudhati ya...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Kama CCM ikichukua Zanzibar, Mh. Nahodha hawezi kuwa Waziri Kiongozi. Je ni nafasi gani atapewa? 1. Naibu Waziri wa Mambo ya Nje? 2. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano? 3...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wananchi wenzangu kipindi cha Kampeni kimefika tena - Kipindi cha ulaji , Neema ya muda inafunuliwa Ni kipindi ambacho wananchi mtaonekana ni lulu, mtawaona hao waheshimiwa na suti zao...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mgombea ubunge mtarajiwa kupitia chama tawala (CCM) mkoani Tabora Bwana CLEMENT NSANYAMA, ambaye in PLANNING OFFICER WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO, amembambikiziaa kesi kijana aitwaye October,Bwana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM ndio wanaingia sasa katika kikao na kwa sasa upepo wa Dk. Shein unaelekea kumng'aria ila kwa CCM lolote linaweza kutokea MATOKEO: Shein kura 117 Bilal kura 54 Nahoda...
0 Reactions
277 Replies
27K Views
Wakuu Nimesoma kwenye blog moja kuwa mmoja wa wanachama wa CCM ametanagaza kugombea jimbo la karamagi ambaye nasye alikwisha sema kutetea nafasi yake licha ya kashfa za richmond,buzwagi nk...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Jamani imenishangaza sana kuona kwamba Chama chenye nguvu, wasomi, sera nzuri leo wanaingia kwenye mtego wa CCM. Wameanza kwa kumtumia Mfadhili wa CCM kupewa fedha za msaada, Chadema...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom